Mrejesho wa Albadiri

Mrejesho wa Albadiri

Imejibu
 

Attachments

  • IMG-20170916-WA0014.jpg
    IMG-20170916-WA0014.jpg
    12.6 KB · Views: 29
Albadiri?Rekebisheni Lugha,na wengine waislam hata hawaijua inavyotamkwa,kaazi kweli
Ndio lugha gani hiii.

Hivi mnafikiria waislam ni mazuzu kiasi hiki?Makanisa yamekaa kimyaaa,ila mazuzuti ndio wanajifanya kibembelembele.

Wawaulzie CUF kama walipata chochote zaidi ya balaa kurudia kwao.
Na wengine wanatafuta kiki za Uganga wa Kienyeji tu hapo,kwenye Tukio huku watu watapiga pesa.Basi likitokea hambo tu watatajwa Waislam hata kama ni la kawaida halihusiani na ushirikina huo.
Kabisa mkuu,yaani kwa sasa kiongozi yoyote wa kitaifa akipatwa na jambo baya tu waliosoma albadir watalihusisha na kisomo hicho hata kama siyo.
 
MNA hamu na matokeo sana aisee du. Mtasubiri sana nothing will happen.
Nami naona ni bora imesomwa kwa sababu itaishia kuwasafisha wale ambao wanatajwatajwa kuhusika pale tutakapoona bado wanaendelea kudunda,ila sasab isije ikawageukia hao wanaotajataja wenzao bila kuwa na uhakikaka.
 
Ilishasomwa na tayar huku kwetu kijiji cha mtakuja na mtaa Wa ujamaa watu tayara
5abf02072935461bc7b03f5ba44dadd0.jpg
 
Nami naona ni bora imesomwa kwa sababu itaishia kuwasafisha wale ambao wanatajwatajwa kuhusika pale tutakapoona bado wanaendelea kudunda,ila sasab isije ikawageukia hao wanaotajataja wenzao bila kuwa na uhakikaka.
Jana tu Diwani kafariki Mbeya mjini Mh Ester wa Chadema
 
kama kweli albadiri iko na inafanya kazi basi wamsomee Lipumba au Jecha mbona wanasumbua hivi?....mimi nitaamini hii kitu wakianzia hapo
 
Back
Top Bottom