ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,728
- 34,847
Porojo.
HahahahahaImejibu
Uhusiano wao ni kwa kuwa wote ni binadamuNaomba mnijuze waislam na lisu wanahusianaje
Kabisa mkuu,yaani kwa sasa kiongozi yoyote wa kitaifa akipatwa na jambo baya tu waliosoma albadir watalihusisha na kisomo hicho hata kama siyo.Albadiri?Rekebisheni Lugha,na wengine waislam hata hawaijua inavyotamkwa,kaazi kweli
Ndio lugha gani hiii.
Hivi mnafikiria waislam ni mazuzu kiasi hiki?Makanisa yamekaa kimyaaa,ila mazuzuti ndio wanajifanya kibembelembele.
Wawaulzie CUF kama walipata chochote zaidi ya balaa kurudia kwao.
Na wengine wanatafuta kiki za Uganga wa Kienyeji tu hapo,kwenye Tukio huku watu watapiga pesa.Basi likitokea hambo tu watatajwa Waislam hata kama ni la kawaida halihusiani na ushirikina huo.
Nami naona ni bora imesomwa kwa sababu itaishia kuwasafisha wale ambao wanatajwatajwa kuhusika pale tutakapoona bado wanaendelea kudunda,ila sasab isije ikawageukia hao wanaotajataja wenzao bila kuwa na uhakikaka.MNA hamu na matokeo sana aisee du. Mtasubiri sana nothing will happen.
Haahaaaaa[emoji23] [emoji23]Imejibu
Jana tu Diwani kafariki Mbeya mjini Mh Ester wa ChademaNami naona ni bora imesomwa kwa sababu itaishia kuwasafisha wale ambao wanatajwatajwa kuhusika pale tutakapoona bado wanaendelea kudunda,ila sasab isije ikawageukia hao wanaotajataja wenzao bila kuwa na uhakikaka.
Miss you....Unajua maana ya albadir wewe?jee huyo mnayetaka kusoma kwa ajili yake ameridhia?vipi kama yeye ameshasamehe?
Albadir ina shuruti zake,haisomwi hovyo hovyo tu kama nyimbo za kizalamo wewe.
I do too mamaa!Miss you....
Oukei darling...I do to mamaa!
Call u Friday next week Insha'Allah!
Luv u darling.Oukei darling...
Mapenzi mubasharaOukei darling...