Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,357
- 100,368
Mbona kama vile imeshakupata tayari
Mbona kama vile imeshakupata tayari
Imesomwa nini sijui leo kwa hao wasiojulikana lakini ndiyo kwanza mbuzi wa pili hapo kwa Morombo Arusha anakatika taratibu.
MNA hamu na matokeo sana aisee du. Mtasubiri sana nothing will happen.Kwa huu muandiko itakua imekupata.
Ndiyo nani huyo?Ishakupata Mkuu![]()
Ishakupata Mkuu![]()
......MNA hamu na matokeo sana aisee du. Mtasubiri sana nothing will happen.
TULIA SINDANO IKUINGIEEE...Atakufa lowassa hiyo albadiri yenu
MNA shida nyie.........
......tayari
Tokeni na takataka zenu hapa eti Albadili Albadili. Mtasubiri sana hayo matokeo mpaka macho yatawatoka.acha kuogopa
Wasife ila wawe vichaa na waropoke yote waliyoyafanya na aliyewatuma ni nani..Naomba mungu waliomdhuru tundu lisu wafe hata leo