Mrejesho wa Albadiri

Mrejesho wa Albadiri

Naomba kujua, Albadir ni kitabu cha dini au la?
Nijuavyo mimi Mungu hakubaliani na ulipizaji kisasi.
 
sidhan kama kusoma Albadiri ni kumjaribu Mwenyezi Mungu
Unajua maana ya albadir wewe?jee huyo mnayetaka kusoma kwa ajili yake ameridhia?vipi kama yeye ameshasamehe?
Albadir ina shuruti zake,haisomwi hovyo hovyo tu kama nyimbo za kizalamo wewe.
 
Naomba kujua, Albadir ni kitabu cha dini au la?
Nijuavyo mimi Mungu hakubaliani na ulipizaji kisasi.
Ni upuuzi tu... In short ni USHIRIKINA.

"Hakika Allaah Hasamehe kushirikishwa, na husamehe yaliyo duni ya hilo kwa Amtakaye. Na anayemshirikisha Allaah basi hakika amezua dhambi kubwa” (4: 48).
 
Back
Top Bottom