Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,380
Awe na amani ni Mungu tu anaejua watu wasiojulikanaBashite yupo bize kwa trip za choo.. anaharisha mbaya😀😀
Awe na amani ni Mungu tu anaejua watu wasiojulikanaBashite yupo bize kwa trip za choo.. anaharisha mbaya😀😀
Albadiri?Rekebisheni Lugha,na wengine waislam hata hawaijua inavyotamkwa,kaazi kweli
Ndio lugha gani hiii.
Hivi mnafikiria waislam ni mazuzu kiasi hiki?Makanisa yamekaa kimyaaa,ila mazuzuti ndio wanajifanya kibembelembele.
Wawaulzie CUF kama walipata chochote zaidi ya balaa kurudia kwao.
Na wengine wanatafuta kiki za Uganga wa Kienyeji tu hapo,kwenye Tukio huku watu watapiga pesa.Basi likitokea hambo tu watatajwa Waislam hata kama ni la kawaida halihusiani na ushirikina huo.
.....View attachment 589114 picha hii imeambatana na nyingine (ambazo siwezi kuzipamdisha hapa kwasbabbu sijazithibitisha kama kweli ni za tukio hili ama la) zimetumwa huko wasap...!!!
.....Albadiri ni Siri huku kwetu kigoma wamesoma
....Ni upuuzi tu... In short ni USHIRIKINA.
"Hakika Allaah Hasamehe kushirikishwa, na husamehe yaliyo duni ya hilo kwa Amtakaye. Na anayemshirikisha Allaah basi hakika amezua dhambi kubwa” (4: 48).
Mbona kama vile imeshakupata tayariImesomwa nini sijui leo kwa hao wasiojulikana lakini ndiyo kwanza mbuzi wa pili hapo kwa Morombo Arusha anakatika taratibu.
aiseeIle kitu haijawahi mwacha mtu salama, isipompata yeye inatembea hadi kwa vitukuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Kitu cha hivyo ukiwa mchawi lazima wachawi wenzako watakujua na kukufuata popote pale.Mbona kama vile imeshakupata tayari
.....Imesomwa nini sijui leo kwa hao wasiojulikana lakini ndiyo kwanza mbuzi wa pili hapo kwa Morombo Arusha anakatika taratibu.
Hakuna Kitu cha hivyo ukiwa mchawi lazima wachawi wenzako watakujua na kukufuata popote pale.
Njoo Tule mbuzi huku tukitoka tu namalizia Triple A
Hakuna Kitu cha hivyo ukiwa mchawi lazima wachawi wenzako watakujua na kukufuata popote pale.
Njoo Tule mbuzi huku tukitoka tu namalizia Triple A