KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,883
- 40,053
Huwezi kujua kama dunia Ina mambo mpaka likukute jambo......
Dunia uwanja wa fujo
Akili yako ndiyo dira yako
Dunia uwanja wa fujo
Akili yako ndiyo dira yako
Na mimi naliona hilo,kuna kitu unaficha dada
Mapenzi niupofu songa mbele mama !!!.Ahsante mkuu, Nina hofu ya Mungu nawaza tu MTU kama mume wangu adhabu gani anastahili.
Mwisho niseme Mapenzi upofu
Hujajibu swali, nyumba yako aliwezaje kuchukua mkopo bila ya idhini yako?Ndugu zangu ndoa ni taasisi tumewekwa vikao na ndugu wa pande zote mbili, mume anadai amekosa sina budi kumsamehe na kuanza upya kusorve tatizo. Tulikosa MTU wa kutukopesa pesa hiyo nikaona bora niuze mwenywe maana wala jamaa wakija kupiga mnada wanaweza kuuza hata mill15 nikapata hasara zaidi
hata mie nimeshangaa, namfahamu mzee 1 alieeka kiwanja dhamana kwa kuchukua mkwanja bila mkewe kufahamu. alipokuja kufahamu (miaka 2 badae) akaliamsha maana hakuridhia na mali ilipatikana kwenye ndoa.Na anachoficha ni kuwa anataka kumsaliti Mumewe , nyumba hata ukiwa na hati benki haiikubali kama dhamana mpaka consent ya spouse wote na hati ya ndoa plus picha zenu....Usaliti
Ulijibu sio ulichoulizwa labda iwe unamalizia bando lako la chuo ,lakini stori hii umetungaNdugu zangu ndoa ni taasisi tumewekwa vikao na ndugu wa pande zote mbili, mume anadai amekosa sina budi kumsamehe na kuanza upya kusorve tatizo. Tulikosa MTU wa kutukopesa pesa hiyo nikaona bora niuze mwenywe maana wala jamaa wakija kupiga mnada wanaweza kuuza hata mill15 nikapata hasara zaidi
Mkuu usimpinge kana kwamba unajua yote. Mi nilikutana na case kama hiyo nikiwa banker arusha na mkopaji ananyumba mwanza ambayo aliiweka dhamana na wife's consent ikasainiwa na mfanyakazi mwenzake badala ya mke wake. Zipo case nyingi sana za hivi sema bahati tu mkopo mtu anamaliza. Kama mnakosoa kosoeni kwa kuuliza ila sio kubisha...game zinawenyewe hizi kuanzia kwa wafanyakazi wa benki hadi wakopajiHaiwezekani ukoo mzima wasijue hii sheria. Alipoleta hii kesi hapa alipewa ushauri kama huu. Siku hizi ukikopa benki kama umeoa lazima na mkeo ashirikkishwe hata kama nyumba ni ya mume, sasa hii nyumba ya mke iwekwe dhamani bila mke aka mwenye nyumba kushirikishwa benki gani hio? Au mlichukua hela kwa papaa msafi?!
Bank watakuwa wazembe na vilazaa,mnashindwa kufanya uhakiki Wa kujua mwenye Mali ,pumbaf KabisaMkuu usimpinge kana kwamba unajua yote. Mi nilikutana na case kama hiyo nikiwa banker arusha na mkopaji ananyumba mwanza ambayo aliiweka dhamana na wife's consent ikasainiwa na mfanyakazi mwenzake badala ya mke wake. Zipo case nyingi sana za hivi sema bahati tu mkopo mtu anamaliza. Kama mnakosoa kosoeni kwa kuuliza ila sio kubisha...game zinawenyewe hizi kuanzia kwa wafanyakazi wa benki hadi wakopaji
Poole madam V.Jaman ni story ndefu, naomba niachie hapo. HV mwanaume akutaka lake anashindwa kufanya so anaweza akachukua hati akaepeleka dadaake kumsainisha. Niacheni jaman msiendelee kunitoa machoz nimeshalia SNA, nahitaji faraja yenu na Maneno yenye kunijenga
Samehe na sahau mali utafutwa,heri wwe umeuza wenzio wamebomolewa nyumba nne ,ghorofa Mbili na za kawaida mbili, wanalala nje,km we ni MTU wa imani amini afya ndo msingi mali utafutwa.Amin utapata tu.Ahsante mkuu, Nina hofu ya Mungu nawaza tu MTU kama mume wangu adhabu gani anastahili.
Mwisho niseme Mapenzi upofu
Well said mkuu, hakuna benki inayofanya upuuzi wa namna hiyo kwa sasa,Bank watakuwa wazembe na vilazaa,mnashindwa kufanya uhakiki Wa kujua mwenye Mali ,pumbaf Kabisa