Mrejesho: Nimeamini huyu sio wa mizinga 100%

Mrejesho: Nimeamini huyu sio wa mizinga 100%

Mkuu huyo demu anafaa, mimi nilikuwa na binti wa kilimakyaro mtoto miguu usiseme ,demu alikuwa na msambwanda si wa nchi hii. Nilimuhudunia sana tena sana lakini wakati fulani aliomba 200K nilikuwa nayo ila nikamwambia kwasasa sina akaanza kubadilika mpaka tukaachana. Nikaenda mkoa mwingine nikamtokea mwanachuo fulani ijumaa kufika jumamosi nikaombwa 50000 nikatoa 20000 kwamba nyingine nitampa jumapili, asubuhi ya j2 nikatafutwa kuulizwa kuhusu hiyo pesa hata kabla ya salamu , nikapiga chini hatimaye nilimpata demu amabye hakuwa na sifa zangu za awali, hakuwa na miguu wala misambwanda ila dogo alikuwa anaweza shinda njaa mara 2 asiniombe pesa. Anaweza kuumwa ya kulazwa asioniombe hata sh kumi, dogo aliweza kushinidia mikate siku 3 bila hata kuniomba kitu. AISEE NIKAONA MUNGU KANIKUMBUKA MAANA MIGUU NA MATAKO NI FURAHA YA MACHO TU , YULE BINTI NILIMUOA NA KWASASA TUNA MTOTO MOJA , KWELI MUNGU AMENIONA ,BINTI HANA MAKUU TUKIPATA TWALA TUKIKOSA TUNAMSHUKURU MUNGU.
 
Hapana wengine watunaga makuu, sasa hususani sisi tusiotumia vile vinywaji vya gharama. Sana sana tutakunywa juice na maji (soda sipendelei kihivyooo, na majitu yenye sukari nyingiii)..

So sio kwamba anamsubiri amlipue na sio wanawake wote wanafanana, wengine maisha ya ghari hatujazoea tunaonaga ni UBATILI NA KUJILISHA UPEPO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
3 months... Haitoshi?
Miez ni 3 Ni midogo sana kutambua tabia ya mtu .. ...mimi nilipo fikisha miez 10 na mwanamke wng ,ndipo nkaanza kugundua makucha yake ninavyoongea dakika hii huyo mwanamke nimemkimbia amekua too much....... Subiri akuzoee mkuu
Kila lael bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi viumbe vilipotea miaka mingi sana na nasikia kwa karne kinaweza kutokea duniani mara moja na naona umekibahatisha. Chukua hicho kiumbe kiweke ndani kabisa ili sisi wengine tuwe tunakuja kujifunzia kwako na hivi viATMS vyetu. utadhani vilizaliwa benki.
 
Wakuu, habari zenu...

Wiki moja iliyopita, nilileta post humu, nikimuelezea huyu demu wangu wa ajabu na adimu sana kwa nyakati hizi kutokea..

Nilieleza kwamba, huyu demu hata niende nimtoe out, hanaga gharama kabisa, na simzuii yeye kuitafuna cent yangu, lah!

Nilielezea ukubwa wa mapenz yake na vile asivyopenda makuu,.. Ana sifa zote na sikosi chochote na wakati wowote kwake, lakini hapendi matumizi makubwa...

Nilipoleta hapa furaha na sifa za huyo demu wangu, wengi wakasema, sijiongezi,.. Mara kitonga, wengine ananivizia anilipue,.. Nikayachukua nikayafanyia Kazi nisije nikampoteza mtamu huyu...

Hot Friday jion, nikawa nae maeneo mazuri saana, nimpe uhuru wa kujiachia, lakini kaishia kula pizza tu na juice... Nikaona isiwe tabu, nikaona busara ile pesa ambayo niliitenga weekend kwa ajili yake, nimpe awe huru kwa matumizi ayatakayo mwenyewe...

Ajabu sana;... Ile pesa kaenda shopping bhana, kakusanya zawadi na Jana jioni kaniletea aliponitembelea home, .. Kaniambia Ile pesa nilompa ndio kaamua kununua zawadi!
Wakuu,.. Hii nayo imekaaje, maana kama ni timing ya kunilipua, basi huo mzinga utakua sio wa mchezo!

Ila ninachoamini mimi, ni mapenz tu, nimebahatika,.... Au niendelee kuchukua tahadhari?
ni kama unafikiria kutumia mat*ko mkuu.... Samahani kwa hilo lakini... sasa wewe ulitakaje kwa mfano?? yaani huamini kama kuna wanawake wa aina hiyo duniani?? unataka tukuambie nini sasa? no wonder umeshaanza kufikiriakuwa mguu nje mguu ndani wakati unakiri kwamba mtoto kakuonyesha mapenzi ya dhati na unafurahia kuwa nae... kaa humo humo kwa sasa hali ikibadilika basi badilika nayo ila for now keep on enjoying first class love kama kuna daraja huko mbele basi utalicross upon reaching it acha uoga usio na maana..
 
Amini unachokiamini... Mengine tupa pembeni...

Huu ndiyo wakati wako, kila zama na zama zake...

Ila usisahau pia

" when the deal is to good, definitely there is something wrong"


Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom