Mrejesho: Nimeamini huyu sio wa mizinga 100%

Mrejesho: Nimeamini huyu sio wa mizinga 100%

Jiamini ondoa wasiwasi
Usikute karidhika na Hali yake na hapendi makuu
 
..Wakuu,.. Hii nayo imekaaje, maana kama ni timing ya kunilipua, basi huo mzinga utakua sio wa mchezo!

Anza sasa kuwasiliana na Mr. Mapanki akupe mbinu za kuzuia bomu la nuclear maana mzinga unaokuja akishasimika mizizi yake moyoni mwako utakuwa sio wa Nchi hii (joke).

Kuna watu wema na wastaarabu bado wapo. Huyo anajielewa na huenda anaona future kati yako na yake. Usimtupe.
 
Ipo siku utaombwa hiyo hela hautakaa kuamini na hiyo ndo itakuwa mwanzo wa kupigwa vizinga tena kuanzia laki 5 kwenda juu.......anza kujichanga kabisa
Mmh! Kwanini hamuamini kwamba mapenz bila mizinga yapo?
 
labda nikuandae tu sasa hivi mna mapenzi ya asubuhi yakifika mchana ndiyo uje na mrejesho mkuu mapema sana.... halafu haina maana ahana mapungufu yapo mengi sana jiandae
Unaamini kuwa hamna mapenz ya kweli?
 
Anza sasa kuwasiliana na Mr. Mapanki akupe mbinu za kuzuia bomu la nuclear maana mzinga unaokuja akishasimika mizizi yake moyoni mwako utakuwa sio wa Nchi hii (joke).

Kuna watu wema na wastaarabu bado wapo. Huyo anajielewa na huenda anaona future kati yako na yake. Usimtupe.
.. Poa mkuu
 
Wanaume mnamatatizo sana baadhi yenu
Mkiombwa shida
Msipoombwa matatizo



RubiiKimimi
Rubii mbona kama signature yako umeikosea.... Hapo kwenye "m" ya kwanza nadhani ilikua uweke "S" au me ndio nimekosea.... Anyway!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom