Mrejesho: Nimeamini huyu sio wa mizinga 100%

Mrejesho: Nimeamini huyu sio wa mizinga 100%

Watu wanakushauri umwoe kumbe umeshaoa na una watoto ebu mwache binti wa watu atafute wa kumuoa aaaggggrrr

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ye mwenyewe hajawaona? Nishamwambia na anajua kila kitu,.... Na yeye hao ambao hawajaoa anawaona, wala sijamfungia Kamba, kinachomfurahisha anakijua mwenyewe.... Mi nifanyeje sasa!
 
Unaoa mke wa pili? Mkeo anazo taarifa au utafanya siri?
Wala mwenyewe hajakerwa mimi kuwa na mke.. Kinachompa raha mie sijui... Ngoja nikupe namba yake umuulize..... Muosha rungu kakupa break.!
 
Basi sawa inawezekana anataka umuoe mapema kama sivyo kuna kitu nyuma ya pazia
Unampa hela then badala ajinunulie vitu vyake anakununulia tena wewe zawadi kupitia ile pesa uliyompa!!

Inaweza ikawa bahati kweli au majanga mbele ya safari
Bahati tu...
 
Wala mwenyewe hajakerwa mimi kuwa na mke.. Kinachompa raha mie sijui... Ngoja nikupe namba yake umuulize..... Muosha rungu kakupa break.!
Haya nipe namba. Muosha rungu anipe break ya nini? Watu kwa kukuza mambo mpo vizuri
 
Sasa wewe endelea kumtega na mizinga utashangaa wenzio washaweka ndani
Sijamzuia kuolewa kwani mimi nina mke tayari... Wala haijalishi,... Hata wewe Ukitaka kuoa ntakutumia namba yake
 
Hahahahaha wanaume huwa hatukimbii matatizo
Sasa unafikiri hayo majukumu ulonitajia wewe, unafikiri yataniacha salama! Thubutuuuu.. Nasepa tu!
 
Mkuu huyo demu anafaa, mimi nilikuwa na binti wa kilimakyaro mtoto miguu usiseme ,demu alikuwa na msambwanda si wa nchi hii. Nilimuhudunia sana tena sana lakini wakati fulani aliomba 200K nilikuwa nayo ila nikamwambia kwasasa sina akaanza kubadilika mpaka tukaachana. Nikaenda mkoa mwingine nikamtokea mwanachuo fulani ijumaa kufika jumamosi nikaombwa 50000 nikatoa 20000 kwamba nyingine nitampa jumapili, asubuhi ya j2 nikatafutwa kuulizwa kuhusu hiyo pesa hata kabla ya salamu , nikapiga chini hatimaye nilimpata demu amabye hakuwa na sifa zangu za awali, hakuwa na miguu wala misambwanda ila dogo alikuwa anaweza shinda njaa mara 2 asiniombe pesa. Anaweza kuumwa ya kulazwa asioniombe hata sh kumi, dogo aliweza kushinidia mikate siku 3 bila hata kuniomba kitu. AISEE NIKAONA MUNGU KANIKUMBUKA MAANA MIGUU NA MATAKO NI FURAHA YA MACHO TU , YULE BINTI NILIMUOA NA KWASASA TUNA MTOTO MOJA , KWELI MUNGU AMENIONA ,BINTI HANA MAKUU TUKIPATA TWALA TUKIKOSA TUNAMSHUKURU MUNGU.
Wapo, watu hawaamini tu
 
Hapana wengine watunaga makuu, sasa hususani sisi tusiotumia vile vinywaji vya gharama. Sana sana tutakunywa juice na maji (soda sipendelei kihivyooo, na majitu yenye sukari nyingiii)..

So sio kwamba anamsubiri amlipue na sio wanawake wote wanafanana, wengine maisha ya ghari hatujazoea tunaonaga ni UBATILI NA KUJILISHA UPEPO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mh!
 
Wakuu, habari zenu...

Wiki moja iliyopita, nilileta post humu, nikimuelezea huyu demu wangu wa ajabu na adimu sana kwa nyakati hizi kutokea..

Nilieleza kwamba, huyu demu hata niende nimtoe out, hanaga gharama kabisa, na simzuii yeye kuitafuna cent yangu, lah!

Nilielezea ukubwa wa mapenz yake na vile asivyopenda makuu,.. Ana sifa zote na sikosi chochote na wakati wowote kwake, lakini hapendi matumizi makubwa...

Nilipoleta hapa furaha na sifa za huyo demu wangu, wengi wakasema, sijiongezi,.. Mara kitonga, wengine ananivizia anilipue,.. Nikayachukua nikayafanyia Kazi nisije nikampoteza mtamu huyu...

Hot Friday jion, nikawa nae maeneo mazuri saana, nimpe uhuru wa kujiachia, lakini kaishia kula pizza tu na juice... Nikaona isiwe tabu, nikaona busara ile pesa ambayo niliitenga weekend kwa ajili yake, nimpe awe huru kwa matumizi ayatakayo mwenyewe...

Ajabu sana;... Ile pesa kaenda shopping bhana, kakusanya zawadi na Jana jioni kaniletea aliponitembelea home, .. Kaniambia Ile pesa nilompa ndio kaamua kununua zawadi!
Wakuu,.. Hii nayo imekaaje, maana kama ni timing ya kunilipua, basi huo mzinga utakua sio wa mchezo!

Ila ninachoamini mimi, ni mapenz tu, nimebahatika,.... Au niendelee kuchukua tahadhari?
Wewe chukua mtoto huyo acha ujinga, mi nakwambia adimu sana hao, huyo umepewa na Mungu...
 
Hivi viumbe vilipotea miaka mingi sana na nasikia kwa karne kinaweza kutokea duniani mara moja na naona umekibahatisha. Chukua hicho kiumbe kiweke ndani kabisa ili sisi wengine tuwe tunakuja kujifunzia kwako na hivi viATMS vyetu. utadhani vilizaliwa benki.
Hahahaaah.. Nimecheka mwenyewe mpaka nalia, teeteeeh... Daah! Umenivunja mbavu mkuu.. Jf kuna vituko sana
 
Wewe unachanganyikiwa na maneno yetu humu? Wengine ni wivu tu na ku pass time endelea mkuu. Halafu uache ushamba wa mapenzi kila kitu Kuripoti humu kama una kifungo cha nje aisee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom