KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Bro Kwa dodoma serikali imeweka nguvu mno ule mji wa serikali ndo maana nasema hivo japo bado mji ni wakawaidaArusha unaiacha wapi? Umeenda Arusha siku za hivi karibuni?
Bro Kwa dodoma serikali imeweka nguvu mno ule mji wa serikali ndo maana nasema hivo japo bado mji ni wakawaidaArusha unaiacha wapi? Umeenda Arusha siku za hivi karibuni?
Jamaa ana wivu wa kijinga mno kana ni baba wa familia mm nawapa pole TU Wana mzazi kichaa,,maana mwanza haimtambui,haimjui Wala haimuwaz na inapepea kibabe nazan ipo siku atakufa Kwa pressure.
Na ukifatilia Hana Kaz ya kufanya huwa ypo bize kuchochea TU Kanda Ili zifatiluane alafu ndo roho yake inarizika
Mm na wezangu tumeshauriana tuachane na haya mambo tunaonekana kama wehu Kwa kudili na punguani mmoja asiye na Hela,
We jaribu kuwaza humu mtu wa arusha ushawah ona anapost picha za kushindanisha? Tofaut na hili senge la NJOMBE limeshindwa kudili na mkoa wake linachochoe Arusha na mwanza wavutane na kujenga chuki kisa some one crazy
Bro ukifikir sana utagundua tunafanya upuuzi sana ndo maana mm huon sku hiz nakomaa na Uzi wa uchochoz
Hilo ni choko Sasa Kanda ya ziwa tushalipuuza,, limebaki na chuki za laana ya ukoo ndo zinaluwashaKwakweli mada zinazoletwa na huyu choice kuhusu Mwanza ni za kupuuzia! Jamaa amejaa chuki na Kanda ya Ziwa hadi anashangaza aiseee!
Dar ni kubwa sana kwa hiyo huwezi kusema yote iko hovyo. Ni mchanganyiko wa maeneo changanyikeni yaani yale ya zamani na ya sasa. Manzese, Buguruni, Vingunguti hakuwezi kuwa sawa na maeneo ya wastani kama Tabata, Goba, Mbweni, Mbezi Beach, Kigamboni Kibada ambayo ni mfano wa maeneo ya Dodoma kama Swaswa, Njedengwa, Nzuguni nk.Kama ni mpangilio hata dar inabidi wajifunze Dom,maana dar nayo haijapangwa ipoipo tu
Kwa hiyo huyu ni Choice Variable si ndio? 🤣🤣Kwakweli mada zinazoletwa na huyu choice kuhusu Mwanza ni za kupuuzia! Jamaa amejaa chuki na Kanda ya Ziwa hadi anashangaza aiseee!
Kweli hata huku Dar sijawahi ona huo mkate..Namba 5 ni ukweli mtupu, Mwanza haina mitaa kwa ajili ya wenye pesa ni full changanyikeni,
Pia umesahau Mwanza Sehemu za vyakula ni za kutafuta sana na mapishi yenyewe sasa ni shida tupu,
Ile Rockcity mall yao hakuna kitu pale watu wanaendaga kupiga picha tu, tangu nifike pale niulizie mkate wa Brwon na wahudumu kuniambia hawaujui na hawajawahi kuuona nilishangaaa sana.Mwanza ni ya kishamba sana
Uzunguni,Medeli,Kisasa,Itega nk nkDodoma maeneo ya ushuani ni wapi?
Ili na mimi nijue kama naishi ushuani au uswekeni 🙂
We unaona tabata ni mji wa Sasa!?..tabata gani iliyopangiliwa kuzidi temeke na tandika mitaa ya chihota!?..dar ni vurugu tu,Bora miji ya mwanzo magomeni,kkoo,ilala na temeke,baada ya hapo ni vurugu tu si kimara si tabataDar ni kubwa sana kwa hiyo huwezi kusema yote iko hovyo. Ni mchanganyiko wa maeneo changanyikeni yaani yale ya zamani na ya sasa. Manzese, Buguruni, Vingunguti hakuwezi kuwa sawa na maeneo ya wastani kama Tabata, Goba, Mbweni, Mbezi Beach, Kigamboni Kibada ambayo ni mfano wa maeneo ya Dodoma kama Swaswa, Njedengwa, Nzuguni nk.
Ukitoa Chadulu,Mkalama,na baadhi ya maeneo ya Chang'ombe na Kizota kwingine kote ni mitaa ya ushuaniDodoma maeneo ya ushuani ni wapi?
Ili na mimi nijue kama naishi ushuani au uswekeni 🙂
Wewe unaishi porini huko Nkasi unajua maana ya Jiji ?Uzunguni,Medeli,Kisasa,Itega nk nk
Mwanza ni Jiji la mabanda ya nguruwe, umaskini na uswazi Kila sehemu.Wewe unaishi porini huko Nkasi unajua maana ya Jiji ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha ukorofi weweMimi sijawahi kupaelewa, naona kama vile watu wanatumia nguvu kubwa kupakuza. Iringa ni pazuri mara 100 ya Mwanza
Usishuhudie uongo wewe ulishawahi kufika Capri point wewe?Bora hata Mbeya unaweza Kuta block za watu matajiri au mitaa iliyopimwa,Mwanza haina hiyo distinction..
Mbeya Ile forest Mpya na ya zamani zimepimwa,kule Iwambi nk imepimwa ila Mwanza ni Jiji zima.liko hovyo hovyo sana.