Nachopendea mwanza, utulivu, gharama nafuu za maisha..YEYOTE ANAYEFIKIRI BAADA YA DAR ES SALAAM JIJI LINALOFUATA NI MWANZA, AKAPIMWE AKILI.
Kule capri point mbona niliona majumba ya uhakika hivi, na niliambiwa hata lami walichangishana mabosi na kuitandika kuleNamba 5 ni ukweli mtupu, Mwanza haina mitaa kwa ajili ya wenye pesa ni full changanyikeni,
Una uhakika kote ni ushuani..vp kuhusuWote mnaosema mwanza hakuna mitaa ya ushuani wote hamujawahi kutembea mwanza na wote ni mapoyoyo niwatoe tongotongo ili siku zingine mukienda mwanza mkatembee hiyo mitaa, mitaa mibovu pia niyazamani ni Sahara, igogo na mabatini tu, inayofaata yote yamoto,ushuani kwa mwanza ni 1.Capripoint 2.Bwiru press 3.Ibanda 4.mwananchi 5.kiseke 6.Nyegezi majengo 7.Nyasaka 8. Nyamhongoro 9.luchelele ziwani, bado zipo nyingi tu
Nenda katembee hiyo mitaa niliyokutajia halafu urudi tujadiri hapa acha kukalili na kufaata mikumbo ya watuUna uhakika kote ni ushuani..vp kuhusu
-ubora wa mipango miji
-mtandao wa barabara za lami
-ubora wa miundombinu
-strategic plans
-tatizo la maji
![]()
Jiji la Mwanza lifanyiwe mabadikliko
Naomba nimuombe Rais ikimpendeza afanye mabadiliko makubwa kwa Jiji la Mwanza. Mwanza ni jiji lakini miundombinu yake haina hadhi ya JIJI lolote duniani. Barabara za mitaa ni tope, makorongo, mtandao wa Lami za mitaa Mwanza ina zidiwa na Manispaa nyingi Tz. Main Roads zipo chini ya Kiwango cha...www.jamiiforums.com
Eti strategic plan ... paper plan au ....Kwamba Kuna jiji ambalo halina strategic plan ...Kwa taarifa yako Mwanza Iko under master planUna uhakika kote ni ushuani..vp kuhusu
-ubora wa mipango miji
-mtandao wa barabara za lami
-ubora wa miundombinu
-strategic plans
-tatizo la maji
![]()
Jiji la Mwanza lifanyiwe mabadikliko
Naomba nimuombe Rais ikimpendeza afanye mabadiliko makubwa kwa Jiji la Mwanza. Mwanza ni jiji lakini miundombinu yake haina hadhi ya JIJI lolote duniani. Barabara za mitaa ni tope, makorongo, mtandao wa Lami za mitaa Mwanza ina zidiwa na Manispaa nyingi Tz. Main Roads zipo chini ya Kiwango cha...www.jamiiforums.com
Hujajibu swali hata moja mkuu😆😆Nenda katembee hiyo mitaa niliyokutajia halafu urudi tujadiri hapa acha kukalili na kufaata mikumbo ya watu
Unachekesha sana aisee Tanzania hii Jiji linalofuata master plan ni Dodoma pekee.Eti strategic plan ... paper plan au ....Kwamba Kuna jiji ambalo halina strategic plan ...Kwa taarifa yako Mwanza Iko under master plan
Hizo nyumba zimejengwa miaka ya 70 huko ,,,master plan imezinduliwa mwaka 2014 .. kaangalie ujenzi wa mji ulivyo Sasa hv uone kama wanajenga mabanda kma ya chang'ombe au swasaUnachekesha sana aisee Tanzania hii Jiji linalofuata master plan ni Dodoma pekee.
Mwanza ingekua under master plan isingekua na makazi holela mji mzima[emoji116][emoji116]
Acha kudanganya watu master plan gan ... ikiwa city center wanajenga frame za chini kama za mitaani unasema mna master plan,,,bas master plan yenu ni ya hovyo ...... CBD haieleweki hata vituo vya daladala,,wanapaki barabarani unasema mna master plan.....ukija mwanza huwezi ona huo ujinga.. CBD ipo well organized na ujenzi ni ghorofa 10 and plus ukijenga fremu kama za Njia ya general ni mkasiUnachekesha sana aisee Tanzania hii Jiji linalofuata master plan ni Dodoma pekee.
Mwanza ingekua under master plan isingekua na makazi holela mji mzima[emoji116][emoji116]
Unaokoteza okoteza porojo tu ...kuna mji wowote Tanzania hii unaofikia hata robo ya ubora wa master plan ya Jiji la Dodoma.!?Kama miji mingine mfano Abuja,Nigeria na Gitega Burundi wote hao walikuja kuiga master plan ya Jiji la Dodoma kamwe usilinganishe Dodoma iliyopangiliwa vizuri na Mwanza iliyojengwa ovyoovyo+makazi holela kwa zaidi ya asilimia 50👇👇Acha kudanganya watu master plan gan ... ikiwa city center wanajenga frame za chini kama za mitaani unasema mna master plan,,,bas master plan yenu ni ya hovyo ...... CBD haieleweki hata vituo vya daladala,,wanapaki barabarani unasema mna master plan.....ukija mwanza huwezi ona huo ujinga.. CBD ipo well organized na ujenzi ni ghorofa 10 and plus ukijenga fremu kama za Njia ya general ni mkasi
Unachekesha sana eti miaka ya 70.....Mwanza ilipewa hadhi ya Jiji tangu mwaka 2000(kipindi hicho mji mzima ghorofa refu lilikua hospital ya Bugando)Hizo nyumba zimejengwa miaka ya 70 huko ,,,master plan imezinduliwa mwaka 2014 .. kaangalie ujenzi wa mji ulivyo Sasa hv uone kama wanajenga mabanda kma ya chang'ombe au swasa
Mwanza ni a primitive town. Not even a city. Mwanza ni likijiji likubwa tu.Unachekesha sana aisee Tanzania hii Jiji linalofuata master plan ni Dodoma pekee.
Mwanza ingekua under master plan isingekua na makazi holela mji mzima👇👇
Hayo matatizo yote yapo Kila jiji ...unavyosema shida ya maji ,,,ujue sio Kuna uhaba wa maji sema Kuna mitambo michache ya kutoa maji ziwani na hyo shida inaenda kuisha mwezi huh baada ya mradi wa butimba .... dodoma hii unayoisema wew Ina Giza barabara zote isipokuwa hapo CBD na barabara ya kuelekea nanenane kwingine na Giza tororo. Jiji gan hili ,,,,jiji Gani public transport ni shida ,,,,,unasema Kuna master plan hapa [emoji706][emoji706][emoji706]Unachekesha sana eti miaka ya 70.....Mwanza ilipewa hadhi ya Jiji tangu mwaka 2000(kipindi hicho mji mzima ghorofa refu lilikua hospital ya Bugando)
Miaka 23 mbele bado changamoto ni zilezile[emoji116][emoji116] Miundombinu mibovu,mipango miji mibovu isiyoendana na hadhi ya Jiji,ujenzi wa makazi holela,tatizo la maji(hii ndio kichekesho zaidi licha ya kuzungukwa na Ziwa Victoria) ndiomana baadhi ya wakazi wa Mwanza huwa wanalalamika mji kutengwa na Serikali.....wanasema Serikali inapendelea majiji ya Dar na Dodoma [emoji38][emoji38]
Kama kawaida yako uwezo wako wa kujenga hoja upo chiniMwanza ni a primitive town. Not even a city. Mwanza ni likijiji likubwa tu.
kama waskuma.Kama kawaida yako uwezo wako wa kujenga hoja upo chini
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]kama waskuma.