FANALEKI
JF-Expert Member
- Jul 28, 2023
- 237
- 439
Dom hii ya chang'ombe, swaswa, kikuyu pale majengo nk kuna mpangilio gani pale dodoma ..?? 😁😁😁Kama ni mpangilio hata dar inabidi wajifunze Dom,maana dar nayo haijapangwa ipoipo tu
Dom hii ya chang'ombe, swaswa, kikuyu pale majengo nk kuna mpangilio gani pale dodoma ..?? 😁😁😁Kama ni mpangilio hata dar inabidi wajifunze Dom,maana dar nayo haijapangwa ipoipo tu
Dom imepangiliwa,huwezi tokea kwenye choo Cha mtu Kama dar,makole mitaa imepangipa,chang'ombe,area c,iringa road nkDom hii ya chang'ombe, swaswa, kikuyu pale majengo nk kuna mpangilio gani pale dodoma ..?? 😁😁😁
Aisee dom hii hii mitaa ya chang'ombe aisee nimeishi dom hapo chang'ombe si unatokea kabsa unamkuta mtu ananyaa zakeDom imepangiliwa,huwezi tokea kwenye choo Cha mtu Kama dar,makole mitaa imepangipa,chang'ombe,area c,iringa road nk
Nimeishi chang'ombe hapo shuleni uwanja wa mpira,acha uwongoAisee dom hii hii mitaa ya chang'ombe aisee nimeishi dom hapo chang'ombe si unatokea kabsa unamkuta mtu ananyaa zake