Mrejesho, Mwanza is overrated, ni kama shamba la Bibi

Mrejesho, Mwanza is overrated, ni kama shamba la Bibi

Kupima na kupanga miji si kazi ya kampuni binafsi,Kuna idara za ardhi kila wilaya nchi hii,uwe unafikiri
Sasa Kwa taarifa Yako Wizara inatoa leseni Kwa kampuni binafsi zinafanga unless hujui maana ya real estates

Matangazo kama haya hapa chini huwezi kuyakuta Mwanza
Screenshot_20230509-120456.jpg
Screenshot_20230509-120513.jpg
 
Hizo observation zako ziko negative tu ..mbona positive hatujaona ..huoni kama observation yako itakuwa imeongozwa na chuki na sio uhalisia
😁😁😁 Positive ni chache na nimesema Mji unakua Kwa hiyo wachukue hadhari usizidi kuharibika zaidi..

So positive zipo chache sana Mzee.
 
Hizo observation zako ziko negative tu ..mbona positive hatujaona ..huoni kama observation yako itakuwa imeongozwa na chuki na sio uhalisia
Nimeshangaa sana kuona unamjibu huyu fala wa sumbawanga
 
Wakati wengine tunaangalia fursa za kimaisha mwanza na wengine wanaangalia uzuri wa mji na barabara za lami.
Kwa kifupi Tanzania nzima inafanana Tu bado tupo nyuma Sana kimiundombinu..
Nimezaliwa DAR na kukulia DAR ila nikienda mikoani huwa moyo wangu unafurahi Sana Kutokana na mazingira na Hali hewa.
 
Wakati wengine tunaangalia fursa za kimaisha mwanza na wengine wanaangalia uzuri wa mji na barabara za lami.
Kwa kifupi Tanzania nzima inafanana Tu bado tupo nyuma Sana kimiundombinu..
Nimezaliwa DAR na kukulia DAR ila nikienda mikoani huwa moyo wangu unafurahi Sana Kutokana na mazingira na Hali hewa.
Hayo niliyoeleza yanahusika pia na fursa za kiuchumi
 
Afu wengi wao unakuta katoka huko alikotoka kapita barabara ya mjini kati pale kuelekea kijijini kwao. Anaanza kuponda.

Sasa mtu analilia hakuna matangazo ya apartment wakati yamejaa mitandaoni tena zinapangishwa. Mfano hotel kingdom wana apartment tena zinaanzia 700k kwa mwezi niliwai panga moja.

Ujinga tuu
 
Mleta mada ni ms'''' kafikia Mkuyuni huko kwa shemeji yake anadhani kamaliza Mwanza nzima,,
Mwanza ni ya kuifananisha na Mbeya na Dodoma kweli,,!?
Muombe shemeji yako akutembeze Ujionee jiji lilivyo aache ubahili unless na yeye mshamba tu aliyeoa ushambani,,
 
Hamna Cha observation hapa Bali umeongozwa na ego zako ... kwanza Koma kabisa kufananisha mwanza na vijiji...hyo shinyanga au tabora,,,,, idadi ya taa ilizonazo haifikii hata nusu ya taa zilizopo barabara ya kiseke buswelu na barabara ya nyasaka buzuruga.....
By the way..hujatembea mwanza na unaposema mwanza hamna mitaa ya kishua ..sijui capripoint ni mtaa wa waokota makopo ....
Anyway hizo zote ulizotaja hapo hamna jiji tanzania Lina quality hizo zote unazozihitaji...kama unabisha sema suu nikuonyeshe uchafu wa Arusha,dodoma na dar es salaam
 
Afu wengi wao unakuta katoka huko alikotoka kapita barabara ya mjini kati pale kuelekea kijijini kwao. Anaanza kuponda.

Sasa mtu analilia hakuna matangazo ya apartment wakati yamejaa mitandaoni tena zinapangishwa. Mfano hotel kingdom wana apartment tena zinaanzia 700k kwa mwezi niliwai panga moja.

Ujinga tuu
Denial of facts won't help you,kipi nimedanganya?
 
Wewe umekuja mwanza ukaenda kulala lodge za 20000 kule nyegezi ukajibiwa vibaya na mhudumu, ukauliza sehemu ya kutembea ukachukua bajaji ikupeleke rock city mall baada ya hapo ukaulizia beach za bei rahisi ukapelekwa kwa kupitia njia za milimani alafu ukaja na conclusion hapa
 
Acha upumbavu ...Hilo swali kawaulize mbeya , dodoma na Arusha.STUPID
mpumbavu ni wewe unaekuja kutukana hapa wakati swali limeulizwa,ugumu wako wa maisha na stress zako usizilete hapa pambana na hali yako acha watu wenye akili na uelewa waje wajibu

ni mwehu tu(kichaa) ambae anaweza kujibu matusi kwenye swali lisilokuwa na tusi,kenge we
 
Back
Top Bottom