Mrejesho, Mwanza is overrated, ni kama shamba la Bibi

Mrejesho, Mwanza is overrated, ni kama shamba la Bibi

Kumbe hata Mwanza hupajui Kwamba hakuna real estate? Unaongea kujifurahisha au unaropoka tu mzee?
 
Arusha Public garden[emoji1484]
images.jpg
images (1).jpg
 
Tuliwahi kupanga mimi na baba chanja mtaa fulani (kapuni) nyumba nzuri kinoma! Yaani nzuri sana! Hao majirani zetu sasa! 😅🤦🏻‍♀️🤦🏻‍♀️

Mwanza pangeni mji acheni ubishi aisee, mwanza ina potential ya kuwa mji mzuri sana ikiwa wahusika watafanya kazi, ikiwa atapatikana mkurugenzi kijana ambitious kama Godwin Kunambi, Former mkurugenzi wa Dodoma.

Mwanza kuna watu wana pesa na wanaweza kujenga majengo na majumba mazuri sana, ila hata wakijenga huko uswekeni hayataonekana hivyo hayawezi kupendezesha mji. Hata hiyo Capripoint bado haijafikia full potential, endapo wangeiplan vizuri ingekuwa sehemu moja ya kitasha sana.
 
Sasa Kwa taarifa Yako Wizara inatoa leseni Kwa kampuni binafsi zinafanga unless hujui maana ya real estates

Matangazo kama haya hapa chini huwezi kuyakuta Mwanza View attachment 2615432View attachment 2615433
Mwambie hivi…. Wold Bank imetoa kibunda cha kutosha kwa serikali kwaajili ya kupanga miji, upimaji etc. Na tenda yote wamepewa makampuni binafsi, serikali na wadau wanaweza kushirikiana kwa hilo, wala si jinai.
 
Wewe utapata kisukari kwa kuiwaza Mwanza yaan nimekufatilia una wivu sana na Mwanza
Mwanza ni Jiji la hovyo sana..
Ukiona matangazo kama haya hapo Mwanza is big slum anitag 😁😁
 
Daah[emoji23][emoji23] wakina KONK MASTER Kitombile wakikuskia
Unajua hyo kama unafatilia utagundua ni mtu asiyejitambua bro Sasa Kila kitu anataka kiwe mwanza sjui but Kila mkoa unacho chake na dodoma ni makao makuu haiwezekani kinachojengwa dodoma na mwanza lazima kiwepo but huo mjinga ana chuki zake binafsi nazan alibakwa
 
Daah[emoji23][emoji23] wakina KONK MASTER Kitombile wakikuskia
Jamaa ana wivu wa kijinga mno kana ni baba wa familia mm nawapa pole TU Wana mzazi kichaa,,maana mwanza haimtambui,haimjui Wala haimuwaz na inapepea kibabe nazan ipo siku atakufa Kwa pressure.

Na ukifatilia Hana Kaz ya kufanya huwa ypo bize kuchochea TU Kanda Ili zifatiluane alafu ndo roho yake inarizika

Mm na wezangu tumeshauriana tuachane na haya mambo tunaonekana kama wehu Kwa kudili na punguani mmoja asiye na Hela,

We jaribu kuwaza humu mtu wa arusha ushawah ona anapost picha za kushindanisha? Tofaut na hili senge la NJOMBE limeshindwa kudili na mkoa wake linachochoe Arusha na mwanza wavutane na kujenga chuki kisa some one crazy

Bro ukifikir sana utagundua tunafanya upuuzi sana ndo maana mm huon sku hiz nakomaa na Uzi wa uchochoz
 
Huyu Yamaha Choice variable ni msenge kumbe hata Mwanza hapajui,
Kwamba hii kampuni ipo mbeya
emoji116.png
emoji116.png
emoji116.png
View attachment 2615436

Jamaa ana wivu wa kijinga mno kana ni baba wa familia mm nawapa pole TU Wana mzazi kichaa,,maana mwanza haimtambui,haimjui Wala haimuwaz na inapepea kibabe nazan ipo siku atakufa Kwa pressure.

Na ukifatilia Hana Kaz ya kufanya huwa ypo bize kuchochea TU Kanda Ili zifatiluane alafu ndo roho yake inarizika

Mm na wezangu tumeshauriana tuachane na haya mambo tunaonekana kama wehu Kwa kudili na punguani mmoja asiye na Hela,

We jaribu kuwaza humu mtu wa arusha ushawah ona anapost picha za kushindanisha? Tofaut na hili senge la NJOMBE limeshindwa kudili na mkoa wake linachochoe Arusha na mwanza wavutane na kujenga chuki kisa some one crazy

Bro ukifikir sana utagundua tunafanya upuuzi sana ndo maana mm huon sku hiz nakomaa na Uzi wa uchochoz
Jamaa jinga tu hili,ni ndezi moja kubwa jinga,sana
 
Ukitoa dar Jiji la pili kuwa na Barabara nyingi za lami ni mwanza but now sjui kama Dom imezid maana serikali nguvu nyingi imewekeza
Huyu Yamaha Choice variable ni msenge kumbe hata Mwanza hapajui,



Jamaa jinga tu hili,ni ndezi moja kubwa jinga,sana
 
Wakati wengine tunaangalia fursa za kimaisha mwanza na wengine wanaangalia uzuri wa mji na barabara za lami.
Kwa kifupi Tanzania nzima inafanana Tu bado tupo nyuma Sana kimiundombinu..
Nimezaliwa DAR na kukulia DAR ila nikienda mikoani huwa moyo wangu unafurahi Sana Kutokana na mazingira na Hali hewa.
Dar unakaa tandale?
 
Back
Top Bottom