Mrejesho, Mwanza is overrated, ni kama shamba la Bibi

Mrejesho, Mwanza is overrated, ni kama shamba la Bibi

mpumbavu ni wewe unaekuja kutukana hapa wakati swali limeulizwa,ugumu wako wa maisha na stress zako usizilete hapa pambana na hali yako acha watu wenye akili na uelewa waje wajibu

ni mwehu tu(kichaa) ambae anaweza kujibu matusi kwenye swali lisilokuwa na tusi,kenge we
We ndo mwehu ..hamna mtu mwenye akili timamu na Yuko matured atauliza swali la kijinga kama Hilo ..labda physcho ...
By the way kamuulize mkapa pengine atakujibu Hilo swali
 
Hamna Cha observation hapa Bali umeongozwa na ego zako ... kwanza Koma kabisa kufananisha mwanza na vijiji...hyo shinyanga au tabora,,,,, idadi ya taa ilizonazo haifikii hata nusu ya taa zilizopo barabara ya kiseke buswelu na barabara ya nyasaka buzuruga.....
By the way..hujatembea mwanza na unaposema mwanza hamna mitaa ya kishua ..sijui capripoint ni mtaa wa waokota makopo ....
Anyway hizo zote ulizotaja hapo hamna jiji tanzania Lina quality hizo zote unazozihitaji...kama unabisha sema suu nikuonyeshe uchafu wa Arusha,dodoma na dar es salaam
huyo ni hater wa mwanza, katakuwa kameandika huu uzi kapo geto hata mwanza hakajafika.
 
Mleta uzi uliishia nyamagana,kwa kifupi mwanza utaielewa ukienda ILEMELA.
 
Back
Top Bottom