Mrejesho hatua ya tatu na ya mwisho

Mrejesho hatua ya tatu na ya mwisho

Hivi Ushirombo ndoo wapii ,,,,
Ushirombo ni siku za nyuma ilikuwa iko ndani ya wilaya ya KAHAMA shinyang, ila kwa sasa imetengwa, in short ukifika Kahama ni masaa machache kuingia USh
 
Kwanini unatafuta mpenzi?
Kwasababu hauna? Akusaidie matumizi? Unaona umri unaenda bila mchumba wa kukuoa? Au kwa ajili ya sex?
Natafuta kwasababu sina, hapana si anisaidie matumizi,, sikwasababu ya sex lkn sex nivitu ambavyo vipo kwa wapenzi unajua D mapenzi ni neno pana sana sema wengi wanalitafsiri kwa wanavyojua wao pia hapa siwezi kukupa jibu LA wazi kutoka moyono why natafuta mpnz,,,,,,
 
Natafuta kwasababu sina, hapana si anisaidie matumizi,, sikwasababu ya sex lkn sex nivitu ambavyo vipo kwa wapenzi unajua D mapenzi ni neno pana sana sema wengi wanalitafsiri kwa wanavyojua wao pia hapa siwezi kukupa jibu LA wazi kutoka moyono why natafuta mpnz,,,,,,
Acha maneno nipigie tuongee 0655920008 kolomije line
 
Hahahahh!pole asee

Isaac kama unaona hii thread jua kwamba ulivuta moyo wa jovitha
 
Natafuta kwasababu sina, hapana si anisaidie matumizi,, sikwasababu ya sex lkn sex nivitu ambavyo vipo kwa wapenzi unajua D mapenzi ni neno pana sana sema wengi wanalitafsiri kwa wanavyojua wao pia hapa siwezi kukupa jibu LA wazi kutoka moyono why natafuta mpnz,,,,,,

Hapo Umenichanganya saana ila twende tu maana sina nia mbaya.

Kwangu naona kwa umri wako mdogo unatafuta mpenzi kwa kutumia nguvu saana. Ilihali watakuja tu.

Lakini kama umenyea kambi. Yaani mtaani umeharibu kutongozwa tegemea asilimia 0.003.

Lakini pia kama hauvutii pia utachelewa kutongozwa.
 
Hapo Umenichanganya saana ila twende tu maana sina nia mbaya.

Kwangu naona kwa umri wako mdogo unatafuta mpenzi kwa kutumia nguvu saana. Ilihali watakuja tu.

Lakini kama umenyea kambi. Yaani mtaani umeharibu kutongozwa tegemea asilimia 0.003.

Lakini pia kama hauvutii pia utachelewa kutongozwa.
kuna kitu anaficha huyu Daby
 
Hapo Umenichanganya saana ila twende tu maana sina nia mbaya.

Kwangu naona kwa umri wako mdogo unatafuta mpenzi kwa kutumia nguvu saana. Ilihali watakuja tu.

Lakini kama umenyea kambi. Yaani mtaani umeharibu kutongozwa tegemea asilimia 0.003.

Lakini pia kama hauvutii pia utachelewa kutongozwa.
Wewe sivutiii sijui nikwambiaje, wananitongoza sawa lkn vjana wa mtaani kwetu sitaki,
 
yani hata hajakutia unamlilia hivi???...
pole sana....
unajisikia hivyo kwa sababu ni mpweke bado,ila ukishapata mwingine utamsahau tu eventually.....
halafu hawa wa mitandaoni em achana nao,kwani huko kitaa hamna wanaokutongoza....
Wa mitandaoni watamu
 
basi jaribu kutembelea sehemu ambazo kuna aina ha wanaume unaowataka....

kwa mfano leo mimi naenda clouds kupeleka tangazo,hope ntakutana na George Bantu wangu(hahha kidding though)
Ndiyo katembelea JF ila isaac kamdump
 
Back
Top Bottom