Mramba: Another Challenge!

Kula tano kaka!!
Uchaguzi Rombo Need Revulution.

1. walalahoi: wakipewa mbege na T-shirt Mramba oyeee!!
2. Mafisadi:(matajiri) Dont talk against Mramba Near Them
3. Wasomi: Wote wako Dar

Wanaharakati kilio chetu kinaishia JF.

Ben: natamani sana sauti yako iwafikie wanarombo wote. Je itafikaje?

We will die complaining men!!!!

Mkuu Vivie,

Umenena,ila walalahoi wanastahili kuamshwa,watu wapige kampeni nyumba kwa nyumba.Jimbo la Rombo linahitaji mpambanaji kijana ktk kupiga kampeni za kulikomboa jimbo na kutekeleza yale niliyoyasema na mengine mengi

Mkuu,Kilio kitafika tu.Mikakati ikianza utakua wa kwanza kujulishwa,tunabanwa na mambo flani kwa sasa ila mkakati unasukwa.

Mabadiliko ni lazima,Rombo yenye neema inawezekana kabisa!
 
So,mkuu unashindwa kweli kufanya calculations hapa?ndoto ya huyu mama kutaka kugombea ubunge haikuanza alipotangaza,kupanda mlima kwa ajili ya fund raising ni ktk mbwembwe za kisiasa tu.

So,kitu alichofanya ni kujitafutia umaarufu wa kisiasa,coz hata hilo la ku-raise fund ingawa si mbaya but kalifanya kipindi cha kampeni ya kujitangaza

Ok,katika jimbo la Rombo mkuu yeyote mwenye dataz tafadhali aje hapa atuambie kafanya nini?

Otherwise wananchi wa rombo inabidi kuwa makini ili asijejitokeza Mbunge wa hovyo asiye na vision na Jimbo la Rombo.Kuna baadhi ya changamoto ambazo nimezitaja huko page za nyuma.Rombo inahitaji mbunge msikivu,mchapa kazi,mwenye PR nzuri na watu,mwenye malengo ya muda mrefu hasa ktk kuanzisha miradi mikubwa na vitega uchumi vitakavopandisha pato la mwananchi ambalo kwa sasa linawaweka wananchi ktk high degree of poverty.Per capital income ya Mrombo inakadiriwa kuwa 0.5 $ (us dollars) au sawa na sh.650.

Ina maana watu wanaishi chini ya poverty line by far.Mbunge anayetakiwa ni mwenye PR nzuri ili aweze kuunganisha raslimali,of which record ya huyu mama si mchapa kazi badala yake ni mtishaji according to maelezo ya watu waliofanya nae kazi.

By the way kuna mtu huko nyuma kaita huyu mama ni kijana..hebu tupeni CV yake na umri wake.Harakati za kupigania maendeleo kwenye jimbo lililokaa kimkakati kama la Rombo si masikhara,hata mramba yangemshinda kama si kutumia madaraka yake vibaya na nguvu nyingi ili kuleta maji na babrabara
Hapa Tanzania kuna blogu nyingi ila kuna ambazo naziheshimu ikiwa ya aliye-break nyuzi za huyu mama kama anagombea yaani From Butiama and beyond by Madaraka Nyerere! huwa nasoma article zake za Daily News na nafahamu ni mtu jamii inaweza kumuamini na blogu yake ndio iliyosema kuhusu suala la Mwl Nyerere na hatujui kama alishawahi kushiriki kabla au vp so tusiwe negative namna hiyo!

Soma blogu ya Madaraka ameaambatanisha na press release/speech yake ndo utapata fununu ni mtu wa aina gani! in short to me naona ana upeo wa mambo from the press release/speech na ningependa kama angegombea jimbo langu mimi! Na kuhusu suala la michango inaruhusiwa regardless wakati upi ilhali inaenda kwa jamii for a communal cause na sio in a form of rushwa au takrima! so kama Mwl Nyerere walikuwa wana raise fund last year that means waliomba na hiyo shule msaada na yeye kujitolea kushiriki sioni tatizo? Au ulitaka hiyo institution isifanye fund raising that time kwa vile atagombea? Je Mwl Nyerere foundation ilijua kwamba atagombea au alitangaza baada ya hapo? Na je kama walijua; hii taasisi ina watu wenye Integrity na kama waliruhusu yeye kushiriki then basi nae ni mtu safi!

Jiulize wewe ushachangia community? Na kama hapana, kwanini na una uhakika ya kuwa msaada wake ni mbwembwe na sio desturi yake kila anapoweza kujishika? Kwa taarifa yako dunia hii, hakuna mtu anae-vie for a post ambaye hatafuti publicity! Politics is to introduce yourself to the public and sell your sera! Tuwe constructive wakati mwingine! hizo $10 mio. za Mramba zinazompeleka puta mahakamani zimekusaidia vipi wewe? kama mwananchi wa Tanzania au kama wewe ni mtu wa jimbo hilo?
 
Hapa Tanzania kuna blogu nyingi ila kuna ambazo naziheshimu ikiwa ya aliye-break nyuzi za huyu mama kama anagombea yaani From Butiama and beyond by Madaraka Nyerere na yeye ndo alisema kuhusu suala la Mwl Nyerere na hatujui kama alishawahi kushiriki kabla au vp so tusiwe negative namna hiyo!

Soma blogu ya Madaraka ameandika speech yake ndo utapata fununu ni mtu wa aina gani! in short to me naona ana upeo wa mambo! Na hata michango inaruhusiwa regardless wakati upi ili mradi inaenda kwa jamii for a community cause na sio in a form of rushwa au takrima! so kama Mwl Nyerere walikuwa wana raise fund last year akajitolea kushiriki tatizo nini? Au ulitaka hiyo institution isifanye fund raising that time kwa vile atagombea? Je Mwl Nyerere foundation ilijua kwamba atagombea au alitangaza baada ya hapo? Na je kama walijua, hii taasisi ni ya watu wenye Integrity na kama waliruhusu yeye kushiriki then basi nae ni mtu safi!

Jiulize wewe ushachangia community? Na kwanini na una uhakika ya kuwa msaada wake ni mbwembwe na sio desturi yake na anapoweza kujishika? Kwa taarifa yako hakuna mtu anae-vie for a post ambaye hatafuti publicity politics is to introduce yourself to the public! Tuwe constructive wakati mwingine! hizo $10 mio. za Mramba zinazompeleka puta mahakamani zimekusaidia vipi wewe? kama mwananchi wa Tanzania na kama wewe ni mtu wa jimbo hilo?

Mkuu,

Usikasirike coz hatutaweza kutoa mjadala unaotokana na akili zetu timamu.

Nakushauri kwa sasa upumzike kidogo ili uweze kuchangia katika hali tulivu.

Pia naona umeanza kunijadili mimi badala ya kujadili hoja iliyoletwa,au huyu mama na CV yake kama kweeli anao uwezo wa kufanya kitu cha maana katika jimbo la Rombo.so dont undermine the level of this debate.Just try to avoid some arguinments which are based on rhetoric assumptions and narrow scope ambitions.

Naomba usome post yangu vizuri,kuhusu wewe kutetea fund raising kwani kuna watu wangapi wamefanya fund raising? Kwani Jk nyerere faundation wamefanya fundraising mara ngapi na waliaanza lini?

Mramba paia anafanya hayo hayo anayofanya huyu mama but still hata Mramba hafai kuwa mbunge wa Rombo.Mramba pia anafanya Fund raising na tena huwa anaita vikao kwa wanajimbo wake walioko Dar.So basing on this arguinment unaona hata Mramba anafaa sasa?

Pia mkuu naona husomi post zangu vizuri coz unadhani labda mimi namtetea mramba.no kuna hata thread nilianzisha huku JF last year nikajenga hoja kwamba kwa kuwa alikua accused na kuhusishwa na ufisadi basi ajiuzulu!So mkuu usichjangie kwa jazba mpaka unaingia ktk personalities coz hapa ndipo mafisadi wanapotukamata,i mean pale ambapo sisi wananchi tunaposhindwa kuchambua hoja kwa akili zetu timamu zinatufanya tufanye maammuzi yasiyo ya busara

Pia kuhusu kusoma hizo speech zake,nilizipitia vizuri.si kaiandika mwenyewe?kwani unategemea nini kutoka kwa mtu anayejipigia kampeni.Kwani si hata JK alikua anakuja na maneno matamu matamu? Kumbe ndiyo maana hata wananchi wasomi walimfagilia Jk na wengine hata kumpa divine endorsement ati chaguo la Mungu.Huko ndiko unakotupeleka sasa.

Based on written speech,let say kwamba sasa hivi akijitokeza Mramba akaakndika speech noma kuliko hiyo utamkubali?

Kwa mara nyingine,kuniuliza kwamaba 10$ milions zinazompeleka mramba puta zimenisaidia nini mimi kama mtanzania au mrombo NI TUSI zito kwangu mkuu,hapa nitake radhi.Unataka ijengeke hisia kwamaba mimi namtetea mramba huku ukijua kwamba aidha umepotosha au kwa sababu ya hasira akili haiko sawa.

Hebu tuchangie hoja kwa sasa.kuna changamoto ambazo nimeainisha huko nyuma zinazolikabili jimbo la rombo,tuambie huyo mtu anawezaje kusaidia hilo jimbo na Taifa kwa ujumla.

Hoja ya kwamba niko negative si kweli coz hata Mramba nimemsifia kwa aliyolifanyia jimbo na nimempiga mawe kikweli kweli.Nitarudi tena
 
Mkuu,

Usikasirike coz hatutaweza kutoa mjadala unaotokana na akili zetu timamu.

Nakushauri kwa sasa upumzike kidogo ili uweze kuchangia katika hali tulivu.

Pia naona umeanza kunijadili mimi badala ya kujadili hoja iliyoletwa,au huyu mama na CV yake kama kweeli anao uwezo wa kufanya kitu cha maana katika jimbo la Rombo.so dont undermine the level of this debate.Just try to avoid some arguinments which are based on rhetoric assumptions and narrow scope ambitions.

Naomba usome post yangu vizuri,kuhusu wewe kutetea fund raising kwani kuna watu wangapi wamefanya fund raising? Kwani Jk nyerere faundation wamefanya fundraising mara ngapi na waliaanza lini?

Mramba paia anafanya hayo hayo anayofanya huyu mama but still hata Mramba hafai kuwa mbunge wa Rombo.Mramba pia anafanya Fund raising na tena huwa anaita vikao kwa wanajimbo wake walioko Dar.So basing on this arguinment unaona hata Mramba anafaa sasa?

Pia mkuu naona husomi post zangu vizuri coz unadhani labda mimi namtetea mramba.no kuna hata thread nilianzisha huku JF last year nikajenga hoja kwamba kwa kuwa alikua accused na kuhusishwa na ufisadi basi ajiuzulu!So mkuu usichjangie kwa jazba mpaka unaingia ktk personalities coz hapa ndipo mafisadi wanapotukamata,i mean pale ambapo sisi wananchi tunaposhindwa kuchambua hoja kwa akili zetu timamu zinatufanya tufanye maammuzi yasiyo ya busara

Pia kuhusu kusoma hizo speech zake,nilizipitia vizuri.si kaiandika mwenyewe?kwani unategemea nini kutoka kwa mtu anayejipigia kampeni.Kwani si hata JK alikua anakuja na maneno matamu matamu? Kumbe ndiyo maana hata wananchi wasomi walimfagilia Jk na wengine hata kumpa divine endorsement ati chaguo la Mungu.Huko ndiko unakotupeleka sasa.

Based on written speech,let say kwamba sasa hivi akijitokeza Mramba akaakndika speech noma kuliko hiyo utamkubali?

Kwa mara nyingine,kuniuliza kwamaba 10$ milions zinazompeleka mramba puta zimenisaidia nini mimi kama mtanzania au mrombo NI TUSI zito kwangu mkuu,hapa nitake radhi.Unataka ijengeke hisia kwamaba mimi namtetea mramba huku ukijua kwamba aidha umepotosha au kwa sababu ya hasira akili haiko sawa.

Hebu tuchangie hoja kwa sasa.kuna changamoto ambazo nimeainisha huko nyuma zinazolikabili jimbo la rombo,tuambie huyo mtu anawezaje kusaidia hilo jimbo na Taifa kwa ujumla.

Hoja ya kwamba niko negative si kweli coz hata Mramba nimemsifia kwa aliyolifanyia jimbo na nimempiga mawe kikweli kweli.Nitarudi tena
Naomba msamaha mzee, ila naomba ujitangaze nawe kama wewe na mimi hatujitokezi then lets listen to those wanaojitokeza na kuamua ila haya mambo ya character assasination hayasaidii haswa ukizingatia hatumjui ila naweza kuamini so far anaweza kuwa bora ukimlinganisha na huyo Mramba! Labda atokee mtu mwingine bora zaidi ajitangaze!
 
Naomba msamaha mzee, ila naomba ujitangaze nawe kama wewe na mimi hatujitokezi then lets listen to those wanaojitokeza na kuamua ila haya mambo ya character assasination hayasaidii haswa ukizingatia hatumjui ila naweza kuamini so far anaweza kuwa bora ukimlinganisha na huyo Mramba! Labda atokee mtu mwingine bora zaidi ajitangaze!


Mkuu,
Salute,now its ok!

Ofcourse nikijichunguza nikaona nina uwezo wa kusaidia wananchi wa Rombo Nitajitangaza,NASHUKURU KWA KUNIOMBA NIGOMBEE.

On a serious note.Si lazima ujitokeze kugombea ndipo uchangie upatikanaji wa uongozi bora.Unaweza kuhamasisha,kuelimisha na hata kusaidia katika kampeni pamoja na kupiga kura.Huu ni wajibu ambao ninapoandika hapa sasa hivi nautekeleza bila kujali dini,rangi,itikadi za vyama nk nikiwa nimesukumwa tu na utayari,dhamira na kiu ya kutaka kuoina jimbo la Rombo linapata mwakilishi anyefaa na mwenye uzalendo,mapenzi na nia ya dhati kabisa katika kuharakisha maendeleo ya jimbo na zaidi ya yote mwenye mchango wa hoja nzuri katika kupamabana na janga letu la taiafa UFISADI na pia mwenye mtazamo wa kulifanya taifa letu lipige hatua kimaendeleo.

Kuhusu suala la character assassination..hakuna mahali popote umeniskia nikiingia ktk personalties za mtu.Sina huo utamaduni mkuu.So hapo umenisingizia,ila watu tumekuja na hoja ,tukaijadili CV na utendaji kazi wa huyu mama.kama hiyo ni Character assassination basi JF tunaongoza kwa character assassination hasa pale tunapojadili uwezo wa mawaziri,wabunge,mabalozi,na hata JK pamoja na kuhoji competence zao katika ku-deliver

Kuhusu kuwa Bora kuliko Mramba sina uhakika coz Mramba pia anafanya Fundraising!Ni kipi alichofanya huyo mama ambacho Mramba hakuafanya?sasa hii ni debate nyingine kuhusu Mramba vs Netburga.Na ikiwa hivyo waliokwisha kutangaza nia ya kugombea kama Joseph selasini na Edward kinabo unawawaeka wapi?Anyway,still watu wengi watajitokeza..tutahoji,tutauliza,tutakosoa na hata mimi kama kuna siku nitajitokeza pia,nihojiwe,niulizwe,nipingwe na nipewe support.Huu ndio mchakato mzuri wa kumpata kiongozi ktk mazingira Demokrasia.Hizi ndiyo rangi zake halisi na ndiyo matunda ambayo wanaharakati wengi walipigania 1990's mkuu.Tuko pamoja,tuendelee na mjadala.Mawe na maua ya waridi yatarushwa tu pale yanpostahili.Hatuwezi rusha rose flowers sehemu ambako mawe yanahitajika na kinyume chake vilevile

 
..serikali inaelekea kukwama ktk hoja ya mgombea binafsi.

..nina wasiwasi CCM wakimtema Mramba anaweza kugeuka na kugombea kama mgombea binafsi.
 
Hivi kwanini uzito wa tuhuma hazitoshi kumfanya mwanasiasa wa Tanzania kukaapembeni? Mramba by now angetakiwa hata kuamua kujitangaza mapema kutokugombea kutokana na uzito wa tuhuma unaomkabili.
 
Hivi kwanini uzito wa tuhuma hazitoshi kumfanya mwanasiasa wa Tanzania kukaapembeni? Mramba by now angetakiwa hata kuamua kujitangaza mapema kutokugombea kutokana na uzito wa tuhuma unaomkabili.
Kha kaka umelonga watu wanakalia kulilia mafisadi hapa hiyo barabara aliyoleta ni kodi zenu! na ilikuwa wajibu wake kama Mbunge amechemsha na aende nyumbani! Tuwe na ustaarabu huu la sivyo hii nchi haitaenda mbali we will pacify a tendency to honor corrupt people as long as they deliver to us no matter their integrity and ethics to the nation as a whole!:( huu ni ubinafsi wajameni!
 
Hivi kwanini uzito wa tuhuma hazitoshi kumfanya mwanasiasa wa Tanzania kukaapembeni? Mramba by now angetakiwa hata kuamua kujitangaza mapema kutokugombea kutokana na uzito wa tuhuma unaomkabili.

Sidhani kama atakaa pembeni,kwa kutambua kwamba yeye ni fisadi anayebaguliwa tu kwasababu wenzake wanapigiwa debe na waziri mkuu....Kuwa fisadi bado haijawa na consuquences za kumfanya fisadi mwenyewe aogope.
 
- Wakuu mnyonge mnyongeni, hivi nini dhambi za Mramba maana wenye akili sana wanaseema alikua akitumwa kununua Radar na Mkapa, kama ni kusamehe kodi ulikuwa ni uamuzi wa Cabinet nzima, au? Just trying to be fair!

Respect.


FMEs!
 
- Wakuu mnyonge mnyongeni, hivi nini dhambi za Mramba maana wenye akili sana wanaseema alikua akitumwa kununua Radar na Mkapa, kama ni kusamehe kodi ulikuwa ni uamuzi wa Cabinet nzima, au? Just trying to be fair!

Respect.


FMEs!

Mkuu Wa-Rombo hawana utani....walimpiga chini huyu bwana kipindi fulani na walimuambia wazi wazi mapungufu yake..........aliporudi kuomba tena uheshimiwa.....BWM ilibidi ashuke kumsemea.....walau ile ilisaidia kumrudisha kwenye ubunge.........maombi ya wananchi kwa wakati ule kwa Mramba yalikuwa
1.Maji
2.Barabara....(wa-Marangu walikuwa wakiwacheka sana wa-Rombo kuwa wakitoka kwao huko Rombo kuingia Marangu huwa wanavua viatu kwa sababu ya barabara ya lami iliyoko Marangu.............)

Hayo mawili hapo juu najua pesa zilipatikana na miradi ilifanyika ila sijui kama imeisha....mwenye picha atuwekee please..........

Kulikuwa na Kiwanda cha viberiti.....kule Mkuu karibu na Sister's Convent sijui kama kilifufuliwa........hicho nacho kilikuwa kwenye ajenda ya Mramba.....No wonder ana maskandali sasa hivi...............

Jamaa kafanya kazi sana huko kwao........ila hizo skandali.............Ununuzi wa radar ndege ya rais kweli huo ni uamuzi wa Cabinet............
 
Mkuu Wa-Rombo hawana utani....walimpiga chini huyu bwana kipindi fulani na walimuambia wazi wazi mapungufu yake..........aliporudi kuomba tena uheshimiwa.....BWM ilibidi ashuke kumsemea.....walau ile ilisaidia kumrudisha kwenye ubunge.........maombi ya wananchi kwa wakati ule kwa Mramba yalikuwa
1.Maji
2.Barabara....(wa-Marangu walikuwa wakiwacheka sana wa-Rombo kuwa wakitoka kwao huko Rombo kuingia Marangu huwa wanavua viatu kwa sababu ya barabara ya lami iliyoko Marangu.............)

Hayo mawili hapo juu najua pesa zilipatikana na miradi ilifanyika ila sijui kama imeisha....mwenye picha atuwekee please..........

Kulikuwa na Kiwanda cha viberiti.....kule Mkuu karibu na Sister's Convent sijui kama kilifufuliwa........hicho nacho kilikuwa kwenye ajenda ya Mramba.....No wonder ana maskandali sasa hivi...............

Jamaa kafanya kazi sana huko kwao........ila hizo skandali.............Ununuzi wa radar ndege ya rais kweli huo ni uamuzi wa Cabinet............
upotevu wa $10 mio. je?
 
Mkuu Wa-Rombo hawana utani....walimpiga chini huyu bwana kipindi fulani na walimuambia wazi wazi mapungufu yake..........aliporudi kuomba tena uheshimiwa.....BWM ilibidi ashuke kumsemea.....walau ile ilisaidia kumrudisha kwenye ubunge.........maombi ya wananchi kwa wakati ule kwa Mramba yalikuwa
1.Maji
2.Barabara....(wa-Marangu walikuwa wakiwacheka sana wa-Rombo kuwa wakitoka kwao huko Rombo kuingia Marangu huwa wanavua viatu kwa sababu ya barabara ya lami iliyoko Marangu.............)

Hayo mawili hapo juu najua pesa zilipatikana na miradi ilifanyika ila sijui kama imeisha....mwenye picha atuwekee please..........

Kulikuwa na Kiwanda cha viberiti.....kule Mkuu karibu na Sister's Convent sijui kama kilifufuliwa........hicho nacho kilikuwa kwenye ajenda ya Mramba.....No wonder ana maskandali sasa hivi...............

Jamaa kafanya kazi sana huko kwao........ila hizo skandali.............Ununuzi wa radar ndege ya rais kweli huo ni uamuzi wa Cabinet............

- Lakini Mkapa si alishindwa kumpa ubunge shemeji yake huko kama alikuwa na huo ubavu wa kumpa mtu ubunge, halafu si angempa rafiki yake Quaresi, au?

Es!
 
Wakuu,

Tofauti ya Mramba na akina Mama Minde Muro ni kuwa Mramba hakua na upinzani sana ndani ya CCM na pia wananchi warombo pia wakishaona Rais kampiogia mtu kampeni basi wananmwagika+weakness kubwa opposition camp.

But wakijitokeza watu ambao ni wataalamu wa kampeni na wenye ajenda nzito,basi Mramba atabwagwa tu
 
- Mkuu Ben heshima yako sana, Mramba ana nguvu ya Kisumo (Mtandao) behind him na ninaamini sana kwamba anakubalika sana na wananchi wa huko Rombo, I mean mnyonge mnyongeni! au?

Respect.


FMEs!
 
- Mkuu Ben heshima yako sana, Mramba ana nguvu ya Kisumo (Mtandao) behind him na ninaamini sana kwamba anakubalika sana na wananchi wa huko Rombo, I mean mnyonge mnyongeni! au?

Respect.



FMEs!
Muda ukifika utajua kaka, nachojua mimi tangu nizaliwe hako kajamaa kako madarakani! sasa nadhani wapiga kura wanatafakari!
 
- Mkuu Ben heshima yako sana, Mramba ana nguvu ya Kisumo (Mtandao) behind him na ninaamini sana kwamba anakubalika sana na wananchi wa huko Rombo, I mean mnyonge mnyongeni! au?

Respect.

FMEs!

Kwamba Mramba yuko upande gani, ni suala ambalo huwa linanichanganya sana. Infact sijawahi kujua katika makundi ya checheme yuko kundi gani. Namuona kama ni lobist mkubwa sana he is everywhere depending on circumstance. Namuona kama yuko vuguvugu si moto si baridi....

Ila ni mzuri sana katika kuloby funds na miradi..that i can give him credit. Nafikiri knowledge yake ya uhasibu na bness anajaribu kuitumia sana
 
- Mramba ni mfuasi wa Mkapa, lakini pia ni mtu wa Kisumo ndiye aliyempa uwaziri kwenye awamu ya nne ingawa Mtandao hawakumtaka kabisa ndio maana walimtema mapema sana, record zake wizarani zinaonyesha ni mchapakazi hodari sana na alikuwa akikubalika sana na wafadhili, ingawa pia ana mapungufu flani hivi ambayo ni kupokea amri za wakubwa wake bila kuuliza, lakini inakubalika sana kwamba amelifanyia jimbo lake mengi mazuri, au?

Respect.


FMEs!
 
Muda ukifika utajua kaka, nachojua mimi tangu nizaliwe hako kajamaa kako madarakani! sasa nadhani wapiga kura wanatafakari!

- Sawa mkuu kumbe umeshafanya Scientific Research tayari na kujua kuwa hatarudi, sasa jaribu ku-share na sisi wengine matokeo ya utafiti wako mkuu kuliko hizi sweeping generalization statements, au?

Respect.


FMEs!
 
Kwamba Mramba yuko upande gani, ni suala ambalo huwa linanichanganya sana. Infact sijawahi kujua katika makundi ya checheme yuko kundi gani. Namuona kama ni lobist mkubwa sana he is everywhere depending on circumstance. Namuona kama yuko vuguvugu si moto si baridi....

Ila ni mzuri sana katika kuloby funds na miradi..that i can give him credit. Nafikiri knowledge yake ya uhasibu na bness anajaribu kuitumia sana
Mbona hamuongelei wizi wake pia? au hiyo miradi anayo-lobby imewafaidisha nyie huko Rombo mkasau kuna sehemu nyingine zilihitaji pia na alitumia madaraka ya uwaziri wake vibaya kujifaidisha mwenewe akiwa kiongozi wa kitaifa! US$ 10 mio. ziko wapi?
 
Back
Top Bottom