DOKEZO Mradi wa SGR Mwanza Ndio Basi tena

DOKEZO Mradi wa SGR Mwanza Ndio Basi tena

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
780
Reaction score
1,831
Kampuni ya CCECC inayohusika na ujenzi wa reli ya SGR ya Mwanza Isaka imewapa termination letter wafanyakazi wote waliokuwa katika mradi kutokana kukosa fedha ya kuendeshea mradi. Wakati wa kipindi cha kampeni tuliambiwa serikali imemlipa mkandarasi pesa yote. Baada uchaguzi kuisha tu mradi umesimama na maisha yamekuwa magumu kwa wafanyakazi hawakutegemea kilichotokea.

1767422669032.jpg

Mabeberu wanatuonea wivu wamegoma kuendelea na ujenzi, #MsiogopeTumeshinda

1767422680566.jpg
Pia soma:
~ Mbona ujenzi wa SGR hapa jiji la Mwanza na kwenda Isaka umekwama?
~ Serikali yaanza kulipa Tsh. 3.66 Bilioni kwa wananchi 2,471 wa mikoa ya Simiyu, Mwanza, Shinyanga na Tabora wanaopisha SGR
 
Hii ni hasara kwa taifa, Miradi iliyokwisha anza imaliziwe kwa namna yoyote.

Kuna siku tutajadili kwanini Kadogosa amekimbilia bungeni… Unadhani ni pesa za ubunge anataka? Mtu mwenyewe apartments kadhaa uturuki na kwingineko.
 
Bado tutaona mengi yani mpaka mtasema.Tukisema hapa JF wanakimbilia kufuta nyuzi.
Nchi inakoelekea sio kuzuri kabisa, hata hao wanawapiga risasi watanganyika wacheleweshewa Mishahara au kulipwa kwa mafungu,

Muda ni mwalimu mzuri sana, na hii haina cha CCM wala CHADEMA hiki kikombe tutakinywea wote, hakina dini huyu mgalatia wala mvaa kobasi,
 
Kampuni ya CCECC inayohusika na ujenzi wa reli ya SGR ya Mwanza Isaka imewapa termination letter wafanyakazi wote waliokuwa katika mradi kutokana kukosa fedha ya kuendeshea mradi. Wakati wa kipindi cha kampeni tuliambiwa serikali imemlipa mkandarasi pesa yote. Baada uchaguzi kuisha tu mradi umesimama na maisha yamekuwa magumu kwa wafanyakazi hawakutegemea kilichotokea.


Mabeberu wanatuonea wivu wamegoma kuendelea na ujenzi, #MsiogopeTumeshinda

Mmeanzisha jingine baada ya safari za sgr kurejea
 
Hii ni hasara kwa taifa, Miradi iliyokwisha anza imaliziwe kwa namna yoyote.

Kuna siku tutajadili kwanini Kadogosa amekimbilia bungeni… Unadhani ni pesa za ubunge anataka? Mtu mwenyewe apartments kadhaa uturuki na kwingineko.
Na huyo kadogosa ndio tapeli kubwa Kila siku yeye ni kuandaaa Misa za kumuomnea mama Yao
 
Serikali watatoa wapi pesa tena? Wametumia pesa nyingi Sana kwenye campaign pamoja na pesa za uchaguzi kumbuka miaka yote pesa za uchaguzi zinatoka nje.
CCM walitumia pesa Kwa fujo wakijua mwezi February watapokea bilioni 600 kutoka ulaya Ila Kwa bahati mbaya misaada imekatwa kwasababu ya mauaji , hakuna nchi ya Africa imepiga hatua bila wazungu
 
Serikali watatoa wapi pesa tena? Wametumia pesa nyingi Sana kwenye campaign pamoja na pesa za uchaguzi kumbuka miaka yote pesa za uchaguzi zinatoka nje.
CCM walitumia pesa Kwa fujo wakijua mwezi February watapokea bilioni 600 kutoka ulaya Ila Kwa bahati mbaya misaada imekatwa kwasababu ya mauaji , hakuna nchi ya Africa imepiga hatua bila wazungu
Hakuna hata mia.....kutoka popote...acha nchi ijifieeee wamechezeaa mipesaaa na kuua watuu wapuuzii sanaaa
 
Back
Top Bottom