E Engneeer Member Joined Dec 30, 2021 Posts 86 Reaction score 116 Feb 7, 2026 #1 Wakuu kwema unaweza kufanya taratibu gani kuanzisha mradi wa kuuza maji katka jamii mfano ukauza island ila ukafunga kabisa na mifumo yote na mita utaratibu ukoje mpk ukamilishe kila ktu na faida yake inakuwa vipi msaada wakuu
Wakuu kwema unaweza kufanya taratibu gani kuanzisha mradi wa kuuza maji katka jamii mfano ukauza island ila ukafunga kabisa na mifumo yote na mita utaratibu ukoje mpk ukamilishe kila ktu na faida yake inakuwa vipi msaada wakuu
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,751 Reaction score 184,601 Feb 8, 2026 #2 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw