Mr Rocky: UNATISHA MADHEE!!!!!

Mr Rocky: UNATISHA MADHEE!!!!!

Last edited by a moderator:
Hizi ndio taabu za hawa vijana wa dot com,
Kuhusu uzi huu, mimi naandaa ka-party kadogo kwaajili yako,
jioni kutakuwa na kosta mbili pale mianzini ili kubeba memba kwenda ngurudoto!
Idara ya vinyaji watakuwepo PakaJimmy, LiverpoolFC na Erickb52
chakula Mamndenyi, Baba V na Mzee Mtambuzi nikiwa chair wa shughuli


Mkuu Mwanyasi asante sana mkuu
Ila kumweka Erickb52 idara ya vinywaji ni balaa kesho ataamkia kwenye mtaro akiwa hajitambui ila akiwa salama Mamndenyi nimemiss sana aise na kuna mtu anaitwa kiwatengu pia nimemkosa sana
 
Last edited by a moderator:
mwekundu asante sana mkuu Heaven on Earth anatisha mbaya kabisa aise

Jerrymsigwa tumuulize watu8 kama kuna cheti aise ila asante sana mkuu

Mwanyasi namshangaa Arushaone anasema hakuna wazee wakati kuna Dark City na Asprin na Bishanga na mzee Mtambuzi aise
Asante sana mkuu


charminglady asante sana nafurahi kwa card na naamini yametoka moyoni mwako
Asante sana
Rocky city inasemaje


Ladymasa huyu jamaa 24hrs inabidi atafutiwe RB kabisa aseme yuko wapi na kwa nini kapotea hivyo aise

Aaaaaaaaaaaaaaaakabisa inabidi ufanye hivyo haraka iwezekanavyo
 
Mkuu Mwanyasi asante sana mkuu
Ila kumweka Erickb52 idara ya vinywaji ni balaa kesho ataamkia kwenye mtaro akiwa hajitambui ila akiwa salama Mamndenyi nimemiss sana aise na kuna mtu anaitwa kiwatengu pia nimemkosa sana

Kwa hiyo kazi hiyo Erickb52 atasaidiwa na Filipo ili ku'balance'
Mamndenyi tulikuwa nae kwenye kikao pale Travetine
lakini kasema anajiaandaa kwenda kusimamia kazi ya "uhesabuji" watu kule "Kibaha" mwezi ujao. kiwatengu anavuna gesi tu kule........
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom