Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,881
- 941
Mimi nadhani wote mnamshauri Rais wetu vibaya , Mimi namshauri ajuizulu kwenye hiko cheo cha AU mara moja . Kama mtu ameshindwa kutatua matatizo ya nchi yake ataweza matatizo ya afrika ?
Let us be serious ...nchi yetu inakufa , mafisadi kila kona nyie mnazungumzia Zimbabwe .
Let us be serious ...nchi yetu inakufa , mafisadi kila kona nyie mnazungumzia Zimbabwe .