Mwanagenzi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2006
- 700
- 213
Katika viongozi wote wa Afrika, Mugabe anamuheshimu Kikwete tu! Licha ya udogo wake kwake. Na Kikwete analijua hilo, na hivyo anatumia turufu yake vizuri, hataki kumkorofisha mzee. Bob anachotaka ni kuonyeshwa tu kuwa anaheshimiwa na kaondoka kwa hiari yake na si kwa kulazimishwa na mtu. Na hilo karibu atalifanya.
Tusubiri mkutano wa SADC kesho Mauritius.
Tusubiri mkutano wa SADC kesho Mauritius.