darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 1,893
- 4,023
Police kufanya maombi we unaona si jambo la kupinga kweli wajinga hawaishi humu dunianikuna watu humu kazi yao ni kupinga tu maombi hayafanyi kazi mara ooh fwateni maelekezo tu. niwakumbushe tu hakuna jambo lolote katika dunia hii ambalo halijaanzia katika ulimwengu wa roho maana huu ulimwengu ni kopi tu ya ulimwengu wa roho. Halafu hao walio matajiri na teknolojia za hali ya juu wapo wapi kama siyo tu wanalia hadi makamasi yanawatoka wakati Tanzania vifo ni vya kudunduliza. Na watatkuja na hoja muda bado lakini na wahakikishia kama ni Mungu huyu tunayemuabudu mjiandae kuaibika kwa maneno yeno na kebehi zenu juu ya huyu Mungu na nchi yetu ya Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app