Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,038
- 23,876
Amina!Mungu ibariki Tanzania.
Ahsante mkuu.
Wewe umeona wapi picha,wengine twaingoja kwanza tena usiwe Photoshop.Ataacha kucheka wakati anajua kabisa ni futuhi kama la kina Masanja? Maana polisi sio nyumba ya ibada, na serikali haina dini, ilikuwaje mpaka camera zikaletwa kwenye huo uhuni?
Waluomba kwa imani ipi au hicho kituo kina askari wakristo pekee hadi wote waombe kwa jina la Yesu!?Yesu alisema......." Mkutanikapo watu wawili au zaidi kwa jina langu mimi nipo katikati yenu"
Ile Ibada ilikuwa halisi, Mungu wa mbinguni ambariki afande Lusekelo na vijana wake!
Nivema kama hayo maombi waliyofanya yanaakisi matendo yao katika kutimiza wajibu waoAskari polisi wa kituo cha Mbalizi mkoani Mbeya leo wamefanya Ibada kituoni hapo kutimiza maelekezo ya Rais Magufuli ya kufanya maombi dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Ibada hiyo iliongozwa na mkuu wa kituo afande Lusekelo na kuhudhuriwa na mkuu wa wilaya.
Source ITV habari.
My take; Tukio hili la ibada na namna makamanda walivyokuwa wakikemea katika jina la Yesu limenibariki sana!
kuna watu humu kazi yao ni kupinga tu maombi hayafanyi kazi mara ooh fwateni maelekezo tu. niwakumbushe tu hakuna jambo lolote katika dunia hii ambalo halijaanzia katika ulimwengu wa roho maana huu ulimwengu ni kopi tu ya ulimwengu wa roho. Halafu hao walio matajiri na teknolojia za hali ya juu wapo wapi kama siyo tu wanalia hadi makamasi yanawatoka wakati Tanzania vifo ni vya kudunduliza. Na watatkuja na hoja muda bado lakini na wahakikishia kama ni Mungu huyu tunayemuabudu mjiandae kuaibika kwa maneno yeno na kebehi zenu juu ya huyu Mungu na nchi yetu ya Tanzania.
Umeongea kwa hisia sana mkuu!!Mkuu Wangari Maathai , To be honest! Toka nisome ule waraka wa Baba Askofu Niyemugizi, nimekaa nikafikiria sana.
This is a defining moment, not only for our beloved country, but the whole world!
Kwa uhakika kabisa, viongozi walioenda kwenye kikombe cha babu, wasingeweza kukabiliana na crisis Kama hii!
Ni kweli kabisa kuwa watawala wetu wanaya reflect sisi wananchi wenyewe na kuna mtu huwa alikuwa anasema tusijilaumu na kutaka tupate viongozi walio tofauti na sisi.
Sasa dini na imani ndivyo vimeachwa vilivushe Taifa ambalo kwa kiasi kikubwa liko nyuma kwasababu ya mambo kama hayo! I am sad beyond words to explain!
Kwa kumalizia, niseme tu huko mbeleni, tutatambuwa tabia halisi za wanadamu nyakati za dhiki. Huwa wanasema ukweli wa mtu alivyo, huwa unaonekana wakati wa shida! Na pia ni nasema kuwa viongozi wa ukweli, watajulikana kipindi hiki cha mahangaiko na shida na taabu za wananchi!
Ni wakati wa kufahamu huo ukweli, maana kuongoza siyo kukusanya kodi zetu pekee na kuzitumia unavyotaka!
Kuna mambo mengi tu ambayo Mungu atakuwa ameyaingilia kwa niaba ya watu walio wake.
Kama kuna wanaomuhubiri Mungu anayependa uonevu na ukatili, wajiandae. Hii ni kazi ya Mungu mwenyewe. Maana wenye macho hawakuona na wala wenye masikio hawakusikia!
Nachukia sana taarifa za aina hii,maneno tu,wafanya. ..utafikiri tulikuwepo wote tukamuacha pale...Hadi kufikia kesho asubuhi kavideo ka hio ibada hakajapandishwa hapa basi utakuwa umbeya tu
Yesu alisema......." Mkutanikapo watu wawili au zaidi kwa jina langu mimi nipo katikati yenu"
Ile Ibada ilikuwa halisi, Mungu wa mbinguni ambariki afande Lusekelo na vijana wake!
Unauhakika gani mkuu kama kulikuwa na sehemu mbili za maombi chombo cha habari kikaonesha sehemu moja tu kutokana na ufinyu wa muda..Jeshi la polisi halina dini lakini nashangaa wanageuza kituo cha polisi kuwa kanisa nina uhakika ingekuwa waislamu ndio wamefanya hayo kelele zingekuwa nyingi sana, waache upuuzi siku nyingine wakitaka kumuomba huyo wanayemuita Yesu waende kanisani
Wewe umeona wapi picha,wengine twaingoja kwanza tena usiwe Photoshop.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaaa, hata mie nlimwona chief, halafu macho yake kodo kwenye camera ya itvWakati wanaomba kuna askari bint wakike alikuwa anacheka.
Mkuu wa Wilaya bhana...natamani siku moja muongozwe na watu wenye akili sanaAtaacha kucheka wakati anajua kabisa ni futuhi kama la kina Masanja? Maana polisi sio nyumba ya ibada, na serikali haina dini, ilikuwaje mpaka camera zikaletwa kwenye huo uhuni?
Duh!...anawacheka wenzake?
Maombi yameingia Kwenye siasa hapo hakuna la maana zaidi ya kupiga kelele mbele za MUNGU
Ushauri: Tuepuke ibada za kinafiki. Mungu hadhihakiwi. Tunaweza kuwa tunaomba hukumu tusipokuwa makini katika maombi yetu. Tuache ibada za maigizo. Tuombe kwa ibada iliyo kuu mioyoni mwetu.
Tusiombe kwa nia ya kutengeneza habari, na kujionesha kwa aliyeagiza.
mie mwenyewe ningecheka kwanguvu
Wakokole ukiumwa kichwa wanaanza kukemea mapepo utasukumwa bichwa had utie adabu...ndo km hao
Ataacha kucheka wakati anajua kabisa ni futuhi kama la kina Masanja? Maana polisi sio nyumba ya ibada, na serikali haina dini, ilikuwaje mpaka camera zikaletwa kwenye huo uhuni?
Hadi kufikia kesho asubuhi kavideo ka hio ibada hakajapandishwa hapa basi utakuwa umbeya tu
habari bila picha hainogi
Wewe umeona wapi picha,wengine twaingoja kwanza tena usiwe Photoshop.
Sent using Jamii Forums mobile app
ANZIA DK YA 6Subiri taarifa ya habari ya saa usiku kituo cha ITV ili ujionee huo uhuni.