Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Mheshimiwa naomba na mie kusema, hii siredi ni kuhusu Mgeni lakini Mchungaji na mamaNkinda wameikomalia kama yao huku umeme hamna na madini yanaenda...nawakilisha tu...
Wasiwasi muhimu kaka ukizingatia ni kijana wa kwanza kwenda ughibuni na ukizingatia ukame wa mwaka huu. Akikosea kidogo tu mambo yameyumba....wasi wasi wa nini? dunia mwalimu!....atatia mwenyewe akili ughaibuni.
Mwambieni asiendekeze aibu. Atashindwa hata kuuliza kituo atachoshukia
nakujikuta anazunguka na basi siku nzima!
Hiyo hiyo inayohusiana na mimi kukaa mbele kama kiongozi.
Kukaa mbele kama Kishoia! Kiongozi wa yale mambo yetu yaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wasiwasi muhimu kaka ukizingatia ni kijana wa kwanza kwenda ughibuni na ukizingatia ukame wa mwaka huu. Akikosea kidogo tu mambo yameyumba.
Loh...KOSHOIA eeh?!Well tutajua nani kishoia pale utakapokula kuona na utakapoona kula.Kukaa mbele kama Kishoia! Kiongozi wa yale mambo yetu yaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hivi vijana wa siku hizi mmeharibika kapisa kapisa?!Mheshimiwa naomba na mie kusema, hii siredi ni kuhusu Mgeni lakini Mchungaji na mamaNkinda wameikomalia kama yao huku umeme hamna na madini yanaenda...nawakilisha tu...
...khaaaa? Abby wee....hhhahhhaaa!
Hivi vijana wa siku hizi mmeharibika kapisa kapisa?!
Walaa...niko mlimani.Hii Lugha Gani tena unatokea karibu na Mto Marangu?
...sawasawa,...sasa nimekuelewa. Atakuwa kwenye mikono salama ya Mch. Masa na Bi Lizzy.
kwa haraka haraka huyu mdogo wako atakuwa anachezea miaka 23-26... Damu mbichi kabisa hii.. Vipi mchungaji nakuona all the time uko kwenye hii thread .. Huyu binti anahitaji baraka zako kweli kweli.
Nitampokea. Vipi nimsubirie airport?
Walaa...niko mlimani.
...sawasawa,...sasa nimekuelewa. Atakuwa kwenye mikono salama ya Mch. Masa na Bi Lizzy.
haina kwere.Kama upo serious mi nitakupa contact zake, zaidi mtaelewana na dogo mwenyewe.
Wapendwa wanajamvi nina mdogo wangu anaenda kusoma masters ughaibuni-Swiss kwa hiyo ndugu zangu Wabongo na East Africa kwa ujumla mlio wenyeji huko naomba mmpokee na kumsaidia mambo mbalimbali ili ajione yupo nyumabani.
Atakuja huko mwezi September na atakuwa maeneo ya Neushatel.
...LOL...nadhani umuwahishe shopping ya winter warmers kabla pupwe halijaingia....
Mwenzako katokea kwenye Summer ya Bongo, atakushangaa unafurahia jua la nini...