Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,317
Mmmh mambo ya kuanza kubishana kwamba Xpress train sio xpress SITAKI!akiwa wa kabila langu je? lol...!
Mmmh mambo ya kuanza kubishana kwamba Xpress train sio xpress SITAKI!akiwa wa kabila langu je? lol...!
Umesahau kitu Muhimu! Jinsia na Umri
Jamani kabila ni mtanzania. Atakae kuwa tayari kumpokea wataongea zaidi. Ingawa jaribuni kukumbuka msamaria mwema alimsaidia mtu ambae si wa kabila lake.
Yeye si wa kwanza. Inapendeza unapokwenda sehemu ukawa na wenyeji, na ingekuwa yeye ni wa kwanza basi uzi huu isingekuwa na maana kwa sababu ingekuwa sawa na kuomba jamvi msibani.
Mmmh mambo ya kuanza kubishana kwamba Xpress train sio xpress SITAKI!
Me miaka 30. Jamani lakini mujue issue ni serious
Nashukru sana mkuu sasa naanza kupata msaada ninaouhitaji...Mwananyiha umefanya vyema sana kuuweka unyuzi huu...uenyeji unasaidia sana ugenini.... miezi mitatu ya kwanza home sickness mnaweza shtukia kijana karudi Bongo. Tanzania Associations zimetapakaa kila mahala...
Tanzania Association in Switzerland chungulia hapo kwanza mjue pa kuanzia japo naamini utapata pm mbili tatu pia.
There you go again....orait orait basi mwache afate taratibu za chuo na za ndege naamini wamampa mwongozo, mengine yatajiseti. Hakuna haja ya publicity
.....unatupa kapu zima.Lolzzz...lol...sie Muha mie...! haya bana, 'samaki mmoja akioza....!'
Asante sana ! Nitajitahidi nionane naye, Neuchâtel kule lazima ajue Kifaransa, ...Week end ijayo nitamtembeza kwenye ziwa Neuchâtel na hii summer atafurahi...nidondoshee details za jina na alipofikia
Acha wivu bana...ndio yeye ni wa kwanza kwao...kwenye ukoo...kijijini....shuleni kwao/chuoni...ofisini....na pia TANZANIA.Sidhani kama kuna ubaya akimtafutia mdogo wake wenyeji sehemu ambayo hakuwahi kufika kabla...
why do you have to make this so public? whats so special yeye ndo wa kwanza?
Basi we ni mwepesi kudanganyika....Si poa jamani, ni kama mnamkejeli badala ya kumsaidia.
Si poa jamani, ni kama mnamkejeli badala ya kumsaidia.
Sio miaka yako...miaka ya mdogo!!
"penye wengi kuna mengi,...!" mtustahmilie tu. Wachangiaji hawana nia mbaya kihivyo,
Dhihaka na vijembe ni sehemu ya mazungumzo...
Naamini hata mwenyewe muanzisha unyuzi huu sasa ameelewa.
Soon mdogo mtu naye apende asipende atakuwa memba wa JF huko Uswizi.
JF ni kijiwe cha wengi waliopo Ughaibuni.
Nimekusoma sasa...nwy wenyeji wapo ila asiende tu na tabia za ajabu ajabu...na uswahili kama anao auache DIA.Hapo nimejibu kwa kifupi jinsi na umri. Umri wangu ni zaidi ya huo.
kazi kweli......naona kwenu huyo ndo wa kwanza kupata mastaz........
Nimekusoma sasa...nwy wenyeji wapo ila asiende tu na tabia za ajabu ajabu...na uswahili kama anao auache DIA.