mwananyiha
JF-Expert Member
- Mar 11, 2008
- 248
- 43
Wapendwa wanajamvi nina mdogo wangu anaenda kusoma masters ughaibuni-Swiss kwa hiyo ndugu zangu Wabongo na East Africa kwa ujumla mlio wenyeji huko naomba mmpokee na kumsaidia mambo mbalimbali ili ajione yupo nyumabani.
Atakuja huko mwezi September na atakuwa maeneo ya Neushatel.
Atakuja huko mwezi September na atakuwa maeneo ya Neushatel.