mwananyiha
JF-Expert Member
- Mar 11, 2008
- 248
- 43
- Thread starter
- #41
Nimekusoma sasa...nwy wenyeji wapo ila asiende tu na tabia za ajabu ajabu...na uswahili kama anao auache DIA.
Uswahiliswahili ninavyomjua hana ila ana kaushamba kidogo.Ndio maana tunakuwa na wasiwasi.