Mpiga Picha Asiye Makini na Kazi Yake..!!!

Mpiga Picha Asiye Makini na Kazi Yake..!!!

Amewaangusha sana watu wa tasnia ya kupiga picha alitakiwa amtoe mzima kama aliyovyoo
 
Auto of focus,point of interest ameikosa kabisa.

Angekua yule ticha wetu wa photojournalism angesema tu hapa unapewa zero ya kumi!!
 
Cameraman huo akiona upaja anaweza kukipiga picha hata elfu 1 bureeeeee.....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
baada ya kuufotoa utamu anafotoa senyenge nan kakwambia anataka kuona senyenge ? aarrhhggg aargghh !!!
 
Mambo ya centre of gravity yanachanganya sana kwakweli
 
lengo lilikua kupiga picha senyenge wadau..mimi kama camera man wa hii picha

Kumbe ni wewe... dadadeki wallah.. inabidi chama cha wapiga picha mnato tukufungie kugusa kamera kwa muda wa miaka kumi,kwa upigaji picha wa hivyo utakuja sababisha maafa bure.
 
Back
Top Bottom