Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

Ipyana malelela yupo wapi Leo. Huyu ipyana aligombea iliwahi gombea na nchimbi UVCCM na Nchimbi yupo wapi Leo
Kihongosi na happy kuweni Makini
Jamaa ni mtu hatari sana huyu
Ipy aligombea umwenyekiti yuvisisiem mkoa wa Dar na alishinda,shangwe zikiendelea kwenda kuparty leaders then kokubichi na vijana wa istkosti na wale tiemkei haikufika saa kumi jioni jogoo akawa amewika kwa mzee Male...
Kijana alikuwa anaufuata umwenyekiti wa yuvisisiem taifa,ikawa ndio hivyo maskini ya Mungu.
Ima na Londa walizodolewa sana lakini hekima za mzee Male...
Ipiiii... Ipiiii... wewe Ipiiii (in Male's voice)
 
Ipy aligombea umwenyekiti yuvisisiem mkoa wa Dar na alishinda,shangwe zikiendelea kwenda kuparty kokubichi na vijana wa istkosti na wale tiemkei haikufika saa kumi jioni jogoo akawa amewika kwa mzee Male...
Kijana alikuwa anaufuata umwenyekiti wa yuvisisiem taifa,ikawa ndio hivyo maskini ya Mungu.
Ima alizodolewa sana lakini hekima za mzee Male...
Ipiiii... Ipiiii... wewe Ipiiii (in Male's voice)
Nyinyi watu wa zamani wekeni vizuri basi hii story tuijue na sisi kizazi cha nyuki
 
Nyinyi watu wa zamani wekeni vizuri basi hii story tuijue na sisi kizazi cha nyuki
Ipy alifariki siku moja baada ya kushinda uwenyekiti uvccm Dar.
Alisoma Highlands Iringa akiwa mcheza basketball mzuri
Kabla ya kifo chake kaka yake alikufa kwa ajali akiwa mwaka wa kwanza Ud,na dada yake Cath pia.
Alikuwa anajiandaa kwenda kwenye party Leaders,akawaacha wenzake chini nyumbani kwake akapanda ghorofani kubadilisha nguo,akashuka maiti...
 
Ipy alifariki siku moja baada ya kushinda uwenyekiti uvccm Dar.
Alisoma Highlands Iringa akiwa mcheza basketball mzuri
Kabla ya kifo chake kaka yake alikufa kwa ajali akiwa mwaka wa kwanza Ud,na dada yake Cath pia.
Alikuwa anajiandaa kwenda kwenye party Leaders,akawaacha wenzake chini nyumbani kwake akapanda ghorofani kubadilisha nguo,akashuka maiti...
Dadake alifariki kwa kunywa sumu kisa mapenzi
 
Ipy alifariki siku moja baada ya kushinda uwenyekiti uvccm Dar.
Alisoma Highlands Iringa akiwa mcheza basketball mzuri
Kabla ya kifo chake kaka yake alikufa kwa ajali akiwa mwaka wa kwanza Ud,na dada yake Cath pia.
Alikuwa anajiandaa kwenda kwenye party Leaders,akawaacha wenzake chini nyumbani kwake akapanda ghorofani kubadilisha nguo,akashuka maiti...
So aliuawa?
Na hawana masalia yoyote yaliyobaki kwenye siasa kutoka familia yao?

Samahani kwa maswali tunduizi sijawahi kumjua wala kumsikia kabisa mimi kizazi cha nyuki
 
Back
Top Bottom