Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,658
Kiukweli inaelekea unachagua maini,Watoto wazuri ndo mana wanaolewa mapemaaa ukiwaacha
kuna wanaume ukidate nao unapata bahati ya kuolewa nafikiri we ni mja wao .una umri gani tudte japo kwa one month?
kuna wanaume ukidate nao unapata bahati ya kuolewa nafikiri we ni mja wao .una umri gani tudte japo kwa one month?
hii nayo kali
ndo maana waganga wanabandua kumbe?
hayo ya uganga ni yako kuna mambo katika maisha ni mafumbo usipoyajua naturalyy hutayajua artificialy
.....nenda tu bi harusi wala hana time, pale atakuwa busyyyy kufurahia siku yake......
hukupata hata cha muagano?
Naweza kusema toka mwezi wa saba hadi kesho wapenzi wangu 4 watakuwa wameolewa..hapa naamanisha nilionza mahusiano toka nikwa Secondary mapenzi ya kuandikiana barua na kubadilishana albamu,High school,chuo,Kazini na kwingineko tulikokutana tuakaanza mahusiano ya mda mrefu kisha tukatofautiana kwa namna moja au nyingine na kuto-ombeana misamaha kila mtu akachukua zake basi kesho jioni atakuwa anafunga ndoa mpenzi wangu mwingine..Mbaya zaidi amenipa card ya Mwaliko..sijui niende sijui nitulie zangu home au tutatazamana kwa jicho la namna gani ukumbini??
Ngoja nijipe moyo nitapata anayenifaa..
MLISEMA HAOLEWIIIIIIIIIIII!!!!!! NDO ANAOLEWA HUYOOOOOOOOOOOOO!!!!!!!!! AIBU YETU? AIBU AKO? AIBU YAKO MWENYEWEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!
Uliiona YA NINI? Wenzio wakawaza WATAIPATA LINI!!!! NA WAMEIPATA WSHAIWEKA NDANI YA NYAVU!!!!!!!! We lako JOTO tuuuuu, hupati BARIDI maishaaaa!!!!!!!!!
Kesho mida ya jioni WE OGA, KOJOA ULALE SAA MOJA!!!!!!!! Usije KUTUBANA ukumbini, kwanza utaongeza joto tuuuuu!!!!!!!!!!