CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,999
Mimi wangu anaolewa tarehe 25...........namuonea huruma "shemeji" yangu mtarajiwa serously
kwanini mkuu... ???
Mimi wangu anaolewa tarehe 25...........namuonea huruma "shemeji" yangu mtarajiwa serously
kwanini mkuu... ???
he he he he, pole weye
ukisusa wenzio wala yakheee
Na wewe siku lile zombie likioa utalia mpaka kuche!
Alafu mkiachana na mtu katika mazingira ya utata huku wewe ndio mwenye makosa mara nyingi mkija kukutana unamkuta mtu wako yupo more than bomba na unatamani urudiane lakini inakuwa haiwezekani, nenda kanisani kwani anaweza asikubali kuolewa na huyo jamaa si unajua tena huwa wanauliza mara tatu
Mdada ni mzuri sana na anaongea politely. Kama sio mchunguzi huwezi kujua mienendo yake kabisa. Ila mtu kama mimi lazima nikufahamu tu kama si leo kesho:
1.Ana tabia ya kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja tena haonyeshi kumwachi mmoja
2. Mvivu sana na bahati mbaya anapenda kuonyesha anatoka familia ya matawi ya juu
3. Mwongo sana na hili ndilo gumu sana kuligundua toka kwake. Nilipogundua hii tabia akatokea kuniogopa sana sana. Na naamini itamchukua muda mrefu kwa huyo mtarajiwa wake kugundua hiyo tabia.
4. Tegemezi kupita maelezo
Tena hata leo alitaka kuja kwangu. Can you imagine mchumba wa mtu tena umebakisha siku kadhaa kufunga ndoa unataka kuja kwa B/F............tena si mara moja.
Honestly namuonea jamaa huruma, ingawa nina imani pengine atabadilika.
Ngoja nijipe moyo nitapata anayenifaa..
Chichunguze vizuri isije kuwa kati ya hao wannne hakuna aliyeona ungemfaa! tehe tehe!!!!!
he he he, liwowe tu
au niliwowe?
dah kumbe... lakini huenda akaja kubadilika....
hukupata hata cha muagano?