jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,988
- 1,437
Naweza kusema toka mwezi wa saba mpaka leo wapenzi wangu 4 watakuwa wameolewa..hapa naamanisha nilionza mahusiano toka nikwa Secondary mapenzi ya kuandikiana barua na kubadilishana albamu,High school,chuo,Kazini na kwingineko tulikokutana tuakaanza mahusiano ya mda mrefu kisha tukatofautiana kwa namna moja au nyingine na kuto-ombeana misamaha kila mtu akachukua zake basi mpaka kufikia leo jioni atakuwa amekwishafunga ndoa mpenzi wangu mwingine..Mbaya zaidi amenipa card ya Mwaliko..sijui niende au nitulie zangu home na nikenda tutatazamana kwa jicho la namna gani ukumbini na nkienda nimpelekee zawadi gani ?
Ngoja nijipe moyo nitapata anayenifaa..
WIVU SINA ILA ROHO INANIUMA..
Ngoja nijipe moyo nitapata anayenifaa..
WIVU SINA ILA ROHO INANIUMA..