Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,189
- 3,727
Asante. Vipi mapenzi bila pesa unayaonaje?Mic too
Asante. Vipi mapenzi bila pesa unayaonaje?Mic too
Mahusiano yako haya yanakujenga uwe bora mahusiano yajayo kingine Mshukuru Mungu kwa kukuepusha na huyo bibieAsant
Huwezi kutenganisha mapenzi na pesa hivi ni vitu muhimu tunavyo vihitaji kwa pamoja katika maisha yetu.Binafsi sioni sababu ya kumuacha nimpendaye kwa sababu ya pesa.Asante. Vp mapenz bila pesa unayaonaje?
Miaka 38 ni mzee??.Hivi unafahamu maana ya uzee kweli wewe??.Mwaka jana kama mwezi wa 8 nikiwa katika mazingira ya senta yetu nilikutana na mdada miaka 21 kwa jina Anita(si jina halisi)
Nikaanza mchakato wa kumuaproach niwe nawe katika mahusiano ambayo hatima yake itakuwa ni ndoa
Katika harakati zile za kumtaka pamoja na ugumu lakini baadae alinielewa na akakubali kuwa na mimi katika shida na raha
Kakusaidia sana maana pesa huna hata kile kidogo ungekuwa wamtaftia yeye.Mwaka jana kama mwezi wa 8 nikiwa katika mazingira ya senta yetu nilikutana na mdada miaka 21 kwa jina Anita(si jina halisi)
Nikaanza mchakato wa kumuaproach niwe nawe katika mahusiano ambayo hatima yake itakuwa ni ndoa
Katika harakati zile za kumtaka pamoja na ugumu lakini baadae alinielewa na akakubali kuwa na mimi katika shida na raha
Siku zikaenda,siku moja tukiwa faragha tukawa tunapiga stories za hapa na pale nikamgusia kabla yangu ni nani alikuwa naye kwenye mahusiano, akasema alikuwa na mwalimu mmoja wa sehemu fulani lakini baadae waliachana ,na ni mwaka umepita tangu kuachana
Pia akaeleza kwa siku za karibuni kuna mwanaume mtu mzima miaka 38 mwenye familia yake anamtaka ila hamtaki kwa sababu ana familia,ni mzee ingawa ana kazi nzuri ambayo inampa pesa ,kwa hiyo mapenzi si pesa
Aliposema mapenzi si pesa nikasema kwa sauti"Yeeeees asant,nashukuru kumpata mwanamke ambaye anajua maana ya kupenda (mapenzi) maana pesa si lolote katika mapenzi ya dhati
Kwa kuwa na mimi ndo nipo mtaani,nafanya kazi zisizo rasmi kupata kipato sikuwa vizuri kiuchumi ila Anita alionyesha kunipenda kwa hali niliyokuwa nayo akinipa matumaini siku moja tutapata pesa na tutaishi maisha mazuri
Mambo yalianza kubadilika baada ya siku moja kuniaomba elfu 30 anunue nguo,kiukweli sikuwa nayo nikamwambia avumilie nitafute
Kila siku jioni akawa ananitext anaulizia hiyo hela ,nikawa namwambia sijapata bado,sasa na mimi kwa sababu ya hiyo hela sikutaka kumuomba mchezo maana niliona aibu
Siku moja nilihisi kuzidiwa na ugwadu nikamwambia bila aibu akaja gheto nikamaliza,ila baada ya mchezo akaeleza mapungufu anayopungukiwa hadi nikahisi kuchanganyikiwa ,basi akaondoka
Baada ya siku 2 akanitext anaomba elfu 15 anunue mafuta ya kupaka na pedi,nikamwambia sina
Kuanzia hapo akaanza kupunguza mawasiliano,ikawa mimi ndo nimtafute,nikajua hela ndo tatizo ila namna ya kuipata sipati njia halali
Nikajikaza kuwa naye karibu lakini bila hela sioni mafanikio
Siku zinaenda ila nahisi kama mahusiano yanazorota ,siku moja rafiki yangu akanipigia simu akanambia amemuona Anita mjini maeneo ya hotel ila kama wapo na mwanaume mtu mzima kidogo
Nikajihisi kuchanganyikiwa,hisia zikanipeleka kwa yule jamaa ambaye aliniambia kuwa anamtongoza
Basi baada ya hiyo simu nikampigia Anita simu hakupokea,kama mara 20 hapokei,nikatuma sms hakujibu
Nikazidi kuumia zaidi,jioni nikamuona online WhatsApp ,nikamtumia sms seen hakujibu,nikapiga simu hakupokea,nikatext tena whasap akajibu" Staki kuwa na mwanaume mzigo ,asiyejali ,achana na mimi " ghafla akaniblock ,nikazidi kuumia
Nikamtumia sms za kawaida" pamoja na yote yale uliokuwa unaniambia hujali pesa ,na hutaki mwanaume mzee leo unakula matapishi yako?
Akanijibu"ukafungiwa kwenye chumba bila chakula kwa siku 5 lazima utakula kinyes na mkojo wako utakunywa usishangae na matapishi ,maisha mema"
Wadau siko vizuri,nahisi kuchanganyikiwa kabisa.
View attachment 1812977
Mwanamke pekee unaeweza kumwambia huna hela na akazidi kukupenda ni mama yako mzazi bhasi.jibu ili limenikumbusha mbali sana
Kwani unamuacha bhasi kwa kupenda au kuamua….unajikuta tu amekutoka moyoni yani humfeel tu tena.. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 labda kama anakukuna vizuriii japo nayo sio guaranteeHuwezi kutenganisha mapenzi na pesa hivi ni vitu muhimu tunavyo vihitaji kwa pamoja katika maisha yetu.Binafsi sioni sababu ya kumuacha nimpendaye kwa sababu ya pesa.
Kwani Tanzania ni Tajiri au wanaume wote ni billionea mbona wote wapo kwenye mahusiano asilimia kubwa watu wanaachana kwa sababu nyingine tatizo ya Mwanaume akiwa labla uchumi wake hauko sawa hata akifanya kosa anajificha kwenye mwavuli wa kwa sababu sina pesa ndio maana umeniacha.kama pesa ndio kutovunjika mahusiano mbona Mabilionea wameachana.kwani unamuacha bhasi kwa kupenda au kuamua….unajikuta tu amekutoka moyoni yani humfeel tu tena.. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 labda kama anakukuna vizuriii japo nayo sio guarantee
Pole sana,kwakuwa alikuwa ni mpenzi na sio mke,tafuta ambaye anafanana na hali yako,usipende vitu visivyokuwa vya hadhi yako na kuviruhusu kuumiza moyo wako...Mwaka jana kama mwezi wa 8 nikiwa katika mazingira ya senta yetu nilikutana na mdada miaka 21 kwa jina Anita(si jina halisi)
Nikaanza mchakato wa kumuaproach niwe nawe katika mahusiano ambayo hatima yake itakuwa ni ndoa
Katika harakati zile za kumtaka pamoja na ugumu lakini baadae alinielewa na akakubali kuwa na mimi katika shida na raha
Siku zikaenda,siku moja tukiwa faragha tukawa tunapiga stories za hapa na pale nikamgusia kabla yangu ni nani alikuwa naye kwenye mahusiano, akasema alikuwa na mwalimu mmoja wa sehemu fulani lakini baadae waliachana ,na ni mwaka umepita tangu kuachana
Pia akaeleza kwa siku za karibuni kuna mwanaume mtu mzima miaka 38 mwenye familia yake anamtaka ila hamtaki kwa sababu ana familia,ni mzee ingawa ana kazi nzuri ambayo inampa pesa ,kwa hiyo mapenzi si pesa
Aliposema mapenzi si pesa nikasema kwa sauti"Yeeeees asant,nashukuru kumpata mwanamke ambaye anajua maana ya kupenda (mapenzi) maana pesa si lolote katika mapenzi ya dhati
Kwa kuwa na mimi ndo nipo mtaani,nafanya kazi zisizo rasmi kupata kipato sikuwa vizuri kiuchumi ila Anita alionyesha kunipenda kwa hali niliyokuwa nayo akinipa matumaini siku moja tutapata pesa na tutaishi maisha mazuri
Mambo yalianza kubadilika baada ya siku moja kuniaomba elfu 30 anunue nguo,kiukweli sikuwa nayo nikamwambia avumilie nitafute
Kila siku jioni akawa ananitext anaulizia hiyo hela ,nikawa namwambia sijapata bado,sasa na mimi kwa sababu ya hiyo hela sikutaka kumuomba mchezo maana niliona aibu
Siku moja nilihisi kuzidiwa na ugwadu nikamwambia bila aibu akaja gheto nikamaliza,ila baada ya mchezo akaeleza mapungufu anayopungukiwa hadi nikahisi kuchanganyikiwa ,basi akaondoka
Baada ya siku 2 akanitext anaomba elfu 15 anunue mafuta ya kupaka na pedi,nikamwambia sina
Kuanzia hapo akaanza kupunguza mawasiliano,ikawa mimi ndo nimtafute,nikajua hela ndo tatizo ila namna ya kuipata sipati njia halali
Nikajikaza kuwa naye karibu lakini bila hela sioni mafanikio
Siku zinaenda ila nahisi kama mahusiano yanazorota ,siku moja rafiki yangu akanipigia simu akanambia amemuona Anita mjini maeneo ya hotel ila kama wapo na mwanaume mtu mzima kidogo
Nikajihisi kuchanganyikiwa,hisia zikanipeleka kwa yule jamaa ambaye aliniambia kuwa anamtongoza
Basi baada ya hiyo simu nikampigia Anita simu hakupokea,kama mara 20 hapokei,nikatuma sms hakujibu
Nikazidi kuumia zaidi,jioni nikamuona online WhatsApp ,nikamtumia sms seen hakujibu,nikapiga simu hakupokea,nikatext tena whasap akajibu" Staki kuwa na mwanaume mzigo ,asiyejali ,achana na mimi " ghafla akaniblock ,nikazidi kuumia
Nikamtumia sms za kawaida" pamoja na yote yale uliokuwa unaniambia hujali pesa ,na hutaki mwanaume mzee leo unakula matapishi yako?
Akanijibu"ukafungiwa kwenye chumba bila chakula kwa siku 5 lazima utakula kinyes na mkojo wako utakunywa usishangae na matapishi ,maisha mema"
Wadau siko vizuri,nahisi kuchanganyikiwa kabisa.
View attachment 1812977
Unaongea tu. Kumbuka ni binti 21 hana kipato na anahitaji pedi aipate wapi? Je, kuna urafiki usio na faida? Hata angalikuwa ni mwanamke mwenzako akiwa rafiki yako lazima kuna kitu unafaidi kutoka kwake naye vile vile hata kama ni umbea tu.Huwezi kutenganisha mapenzi na pesa hivi ni vitu muhimu tunavyo vihitaji kwa pamoja katika maisha yetu.Binafsi sioni sababu ya kumuacha nimpendaye kwa sababu ya pesa.
Kwa kijana miaka 19 anaona ni mzee maana anaweza kumzaa (19X2=38). Kwetu ni mtoto huyo wa 38Miaka 38 ni mzee??.Hivi unafahamu maana ya uzee kweli wewe??.
Mpendwa hujaielewa comment yangu soma vizuriUnaongea tu. Kumbuka ni binti 21 hana kipato na anahitaji pedi aipate wapi? Je, kuna urafiki usio na faida? Hata angalikuwa ni mwanamke mwenzako akiwa rafiki yako lazima kuna kitu unafaidi kutoka kwake naye vile vile hata kama ni umbea tu.
Turudi kwenye kesi ya huyu jamaa, yeye kampenda Anita kwa vile ana K. Anita naye alimkubali kwa vile alijua atapata ndoa na zaidi ya hapo atatunzwa. Kwa mtaji huo unamwona Anita ni mbaya au kukosa fedha ndiyo kubaya
We ni ke/me?kwani unamuacha bhasi kwa kupenda au kuamua….unajikuta tu amekutoka moyoni yani humfeel tu tena.. labda kama anakukuna vizuriii japo nayo sio guarantee