Akili 09 Nguvu 01
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 693
- 1,365
Mkuu! Kwanza mshukuru Mungu amekuonesha tabia ya uyu binti mapema, pia mshukuru uyo binti kwa kua amekuacha sababu huna pesa. Pesa zinatafutwa mwanamume mwenzangu. Je angekuacha kisa una Uume/Kigegedo kidogo ungeliaje? Maana huna namna yoyote ya kufanya ili kusolve tatzo ilo but una namna nying ya kufanya kusolve iyo ishu ya kukosa pesa. Tafuta pesa mwanamume vinginevyo mademu wazuri wote utawaita Shemeji