Mpenzi wangu ananizidi umri!

Mpenzi wangu ananizidi umri!

Mimi ni kijana wa kiume nina mpenz wangu ambaye tunapendana sana na tunatarajia kuoana lakini yeye ni mkubwa kwangu, je hili linawezekana kwa kuwa na mke anaekuzidi umri.
Ushauri wenu wakuu!

Muoe tu,age is nothing but only numbers
 
Mimi ni kijana wa kiume nina mpenz wangu ambaye tunapendana sana na tunatarajia kuoana lakini yeye ni mkubwa kwangu, je hili linawezekana kwa kuwa na mke anaekuzidi umri.
Ushauri wenu wakuu!

Kuoa mwanamke aliyekuzidi sana umri kwa mwanaume nisawa na kuoa mwanamke anayeelekea kulingana na mama yake. Hivyo hata kwa mwanamke mwenye kutafakari kutosha atajisikia kama anahusiana na mwanake badala ya mpenzie hata kama hajazaa.
 
Et ananichamba nilimcheka jana mi alikua anataka nilieeee
Eti Munkari we huchekagii

basi muyamalize its not good kusemezana namna hii in public like this even if hamjuani.right?
 
Last edited by a moderator:
basi muyamalize its not good kusemezana namna hii in public like this even if hamjuani.right?
Mimi na dina wangu wala hatuna tatizo mwenye huo ujumbe anajijua..thenx kwa ushauri lakini
 
basi muyamalize its not good kusemezana namna hii in public like this even if hamjuani.right?

Mi yashaisha nishamuacha nimemsamehee ,bado upo kijijini kwetu unacheka na ngedere
 
Back
Top Bottom