Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Sawa mai lavu twende bas
Unanichomesha mahindi ujue.
Sawa mai lavu twende bas
Ukisema wewe hakuna shaka....Tumekuelewa...
Mimi ni kijana wa kiume nina mpenz wangu ambaye tunapendana sana na tunatarajia kuoana lakini yeye ni mkubwa kwangu, je hili linawezekana kwa kuwa na mke anaekuzidi umri.
Ushauri wenu wakuu!
Usijali dogo. Ni ukaguzi tu.
Dinazarde Vaislay na ICHANA ... Hebu acheni hizi mambo bana. Hili ni jukwaa la Mapenzi Mahusiano na Urafiki... au sio.... kunangana kuwe kidogo but ikichukua masaa kadhaa haipendezi. Ni wazo tu, sio kwa ubaya[/QUOTE
Huyo mkeo wa kufikia Vaislay ananinanga nimwangalie tu kha!!mimi au mwinginee eti jana nilimcheka sasa eti niliee kwelii
Kichuna wangu,unakumbuka nilikuambia Tuko ni nani? haya msikilize...
Kwa hiyo utaacha kuzurula utulie la sivyo tusijuanee tumekutana kimjini mjini tutaachana kimjinimjinii
Unanichomesha mahindi ujue.
Dinazarde Vaislay na ICHANA ... Hebu acheni hizi mambo bana. Hili ni jukwaa la Mapenzi Mahusiano na Urafiki... au sio.... kunangana kuwe kidogo but ikichukua masaa kadhaa haipendezi. Ni wazo tu, sio kwa ubaya[/QUOTE
Huyo mkeo wa kufikia Vaislay ananinanga nimwangalie tu kha!!mimi au mwinginee eti jana nilimcheka sasa eti niliee kwelii
Ukisema wewe hakuna shaka....Tumekuelewa...
Mkuu Dinazarde mi nimekuja tu kama mwanaMMU ninayefurahia utani na mahusiano "ya hewani" ya huku MMU...
Wanasemaga conflicts are the creators of the society. Vaislay. .. cool down my dear...
Tangu jana jukwaa hiki limepoa kutokana na minyukano yenu.
Mnaonaje kama mmekoseana mkasameheana yakaisha. MMU bila minyukano inawezekana. ..
Mimi ni kijana wa kiume nina mpenz wangu ambaye tunapendana sana na tunatarajia kuoana lakini yeye ni mkubwa kwangu, je hili linawezekana kwa kuwa na mke anaekuzidi umri.
Ushauri wenu wakuu!
Kwa niaba ya Vaislay na Dinazarde ......Unajua kama mtu anabusara lazima atakufata na kukuambia flani umenikwaza,mnaongea yanaisha,Mkuu Dinazarde mi nimekuja tu kama mwanaMMU ninayefurahia utani na mahusiano "ya hewani" ya huku MMU...
Wanasemaga conflicts are the creators of the society. Vaislay. .. cool down my dear...
Tangu jana jukwaa hiki limepoa kutokana na minyukano yenu.
Mnaonaje kama mmekoseana mkasameheana yakaisha. MMU bila minyukano inawezekana. ..
Mtu asiye na akili anaanza kupayuka na kujichekesha kama malaya mtegoni, Sasa hata ukimya unachosha sometimes, Bora tu tumalizane kiivyo...ila mimi leo nimeshafunga mjadala atakayetaka kuendeleza ataendeleza kwasababu ya akili zake finyu.....
Mi huyu ni bwana mdogo kwangu nadhani unajua hilo,leo nilivyoongea hapa nimeshamsamehe mazima yani..
So nimeshakulu hun wangu,mimi nakuheshim sana wajua hilo,
Heaven on Earth kama utakuwa unatatizo zaidi na mimi naomba unitafute...otherwise am done
4 years mkuu!!!
Kwa niaba ya Vaislay na Dinazarde ......Unajua kama mtu anabusara lazima atakufata na kukuambia flani umenikwaza,mnaongea yanaisha,
Mtu asiye na akili anaanza kupayuka na kujichekesha kama malaya mtegoni, Sasa hata ukimya unachosha sometimes, Bora tu tumalizane kiivyo...ila mimi leo nimeshafunga mjadala atakayetaka kuendeleza ataendeleza kwasababu ya akili zake finyu.....
Mi huyu ni bwana mdogo kwangu nadhani unajua hilo,leo nilivyoongea hapa nimeshamsamehe mazima yani..
So nimeshakulu hun wangu,mimi nakuheshim sana wajua hilo,
Heaven on Earth kama utakuwa unatatizo zaidi na mimi naomba unitafute...otherwise am done
I am praying this should be the last post from you on this issue