Mwambie mbadilishane umri ili wewe ujione mkubwa kuliko yeye ili kuwawezezesha kuendelea na penzi lenu.
Mimi ni kijana wa kiume nina mpenz wangu ambaye tunapendana sana na tunatarajia kuoana lakini yeye ni mkubwa kwangu, je hili linawezekana kwa kuwa na mke anaekuzidi umri.
Ushauri wenu wakuu!!!
Kaa pembeni huko, niko busy na Honey Faith. Wewe labda itokee tu.
Mimi ni kijana wa kiume
nina mpenz wangu ambaye tunapendana sana na tunatarajia kuoana lakini
yeye ni mkubwa kwangu, je hili linawezekana kwa kuwa na mke anaekuzidi
umri.
Ushauri wenu wakuu!
kakuzid miaka mingapi
H.O.E hiv yule shem wetu aliekuzidi 10yr mmefikia wapi jamani? au ubweche teyar umeninyima maana na hamu nao.
Hadi hapo umeshindwa kujiamini.
Mbona mademu zangu wote wamenizidi umri?
Naenjoy na maisha yanaenda
We oaa mbona hata humu kuna wanawake wanachukuliwa na vijana wa humu wadogo ,umri ni namba tu mbona
tena mpk tunakabana....
hivi ulivyoniita niliitika wito? au nilikuchunia?