kuna members humu mnadanganya sana watu. sishauri hata kidogo mtu kuoa mwanamke aliyekuzidi umri kwa dunia ya leo.
Ngapi...50 au 30?
We koma....tunagombana wangapi
vingine mwenzangu walaa sio vya kurushiana, uchafu tuTaratibu kizuri kula na mwenzio
We koma....tunagombana wangapi
Just a jokes
Nilitaka kujua wivu wako na jinsi unavyompenda babu
Wee huyu babu ni mboni ya jicho langu ntamlinda kwa gharama yoyote...
Hii thread hata siielewielewi. hebu twenzetu PM nikakuambie kitu changu.
Sawa ila utakuwa unaniruhusu nakuja kuchungulia mara mojamoja
Hahahahah keimamae, nimeamini kwa mwanamke umbea ni sunna. usijali, ntakuwa nakusindikiza. usisahau, mi mzaramo.
Kaka ikizidi sana Wa-swahili wanasema ni mno,Hadi hapo umeshindwa kujiamini.
Mbona mademu zangu wote wamenizidi umri?
Naenjoy na maisha yanaenda
Dinazarde Vaislay na ICHANA ... Hebu acheni hizi mambo bana. Hili ni jukwaa la Mapenzi Mahusiano na Urafiki... au sio.... kunangana kuwe kidogo but ikichukua masaa kadhaa haipendezi. Ni wazo tu, sio kwa ubaya[/QUOTE
Huyo mkeo wa kufikia Vaislay ananinanga nimwangalie tu kha!!mimi au mwinginee eti jana nilimcheka sasa eti niliee kwelii