kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,506
- 18,872
Taratibu kizuri kula na mwenzio
kwanini hataki ...?
Taratibu kizuri kula na mwenzio
mkuu hili dudee nilaukwelii asilimia mia
Kwa hiyo chapa chapa dengooo!
Kaka ikizidi sana Wa-swahili wanasema ni mno,
Najaribu kuvuta picha,
Usipoangalia mzee unaweza ukafanya hivi;
Mko room, Shika hapa shika pale,.. nyonya hapa nyonya pale, tomasa ,binya biringisha, lambalambalamba.
HALAFU: Mkitaka kuingia mzigoni (main event)
Unamuangalia usoniii,Unagundua sasa unataka umkosee mtu mzima adabu lakini ufanyeje sasa.
Unamwambia "Samahani naomba nikuingile"
Bibie nae, "Bila samahani"
Watoto mna mabalaa nyie.
How many are they?
Kuoa mwanamke aliyekuzidi sana umri kwa mwanaume nisawa na kuoa mwanamke anayeelekea kulingana na mama yake. Hivyo hata kwa mwanamke mwenye kutafakari kutosha atajisikia kama anahusiana na mwanake badala ya mpenzie hata kama hajazaa.
Muoe tu,age is nothing but only numbers
kama hayana umri,huku street kwetu kuna kikongwe anahitaji bwana njoo umuoemapenzi na umri wapi na wapi?