Ww ni pungaEti wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ambaye sijawahi kua na mahusiano yoyote naombeni ushauri wenu,nitatokaje kwenye huu uduwanzi wa kutokuweza kutongoza ukizingatia nahitaji kua na family kama ilivo kawaida kwa kijana wa kiume
Hahaha tz kumechafuka
Mno madogo , sijui wamekumbwa na niniHahaha tz kumechafuka
Wanatakiwa wachapweMno madogo , sijui wa kumbwa na nini
Kwanza kuwa na familia sio lazima et kisa wewe ni mwanaume acha fikra kandamizi mdogo angu....
Halafu kwa umri wako bado mdogo sana kuwaza mapenzi na nimefurahi kuona umejitunza mpaka kufika hapo...
Muulize shangazi yako leo dada akwambie mapenzi yalivyokizungumkuti, utaunguaa...
Anza na wanawake wa bar. Utajenga confidence kidogo kidogo. Usijifanye nice guy, wanawake wa iyo age yako wanapendelea zaidi mwanaume mwenye character ya play boyEti wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ambaye sijawahi kua na mahusiano yoyote naombeni ushauri wenu,nitatokaje kwenye huu uduwanzi wa kutokuweza kutongoza ukizingatia nahitaji kua na family kama ilivo kawaida kwa kijana wa kiume
Tafuta Mbwa kwanza uanze kujifunza Dogy style.Eti wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ambaye sijawahi kua na mahusiano yoyote naombeni ushauri wenu,nitatokaje kwenye huu uduwanzi wa kutokuweza kutongoza ukizingatia nahitaji kua na family kama ilivo kawaida kwa kijana wa kiume
Unasema bado mdogo wakati anapaswa kuwa na mke kabisa!Kwanza kuwa na familia sio lazima et kisa wewe ni mwanaume acha fikra kandamizi mdogo angu....
Halafu kwa umri wako bado mdogo sana kuwaza mapenzi na nimefurahi kuona umejitunza mpaka kufika hapo...
Muulize shangazi yako leo dada akwambie mapenzi yalivyokizungumkuti, utaunguaa...
Udomo zege ni nature, sio kitu utaiondoa eti kwa kujifunza au kufundishwa. Kuna watu wamezaliwa waongeaji tu, maneno meeengi na kuna watu wamezaliwa wakimya tu. Kuwa mkinya sio udhaifu ni inborn kama ulivyo urefu, ufupi, weusi au weupe. Siku ukianza kujichetua ili eti uwe na maneno mengi usiwe domo zege, utajikuta unajikataa, kwamba huyo sio wewe.Eti wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ambaye sijawahi kua na mahusiano yoyote naombeni ushauri wenu,nitatokaje kwenye huu uduwanzi wa kutokuweza kutongoza ukizingatia nahitaji kua na family kama ilivo kawaida kwa kijana wa kiume