Mpenzi wangu ananitukana sana!

Mpenzi wangu ananitukana sana!

Nin
Ningekua na kwetu ningesharudi sikunyingi tu navyokwambia sina pa kwenda niamini ni vile tu siwezi kuweka wazi kilakitu humu
kwenu simaanishi nyumbani hata kwa dada kwa kaka kwa mjomba kwa shangaz hasa ukizingatia we n mtoto wa kike

Ina mana mjini huko we mgeni?? Sasa tukushaurije uendelee kustahamili matusi? Kuna siku utakuja kufukuzwa kama mbwa alete mwengine ukishuhudia thaman yako haioni.
 
kwenu simaanishi nyumbani hata kwa dada kwa kaka kwa mjomba kwa shangaz hasa ukizingatia we n mtoto wa kike

Ina mana mjini huko we mgeni?? Sasa tukushaurije uendelee kustahamili matusi? Kuna siku utakuja kufukuzwa kama mbwa alete mwengine ukishuhudia thaman yako haioni.
Sawa mpenzi nimekuelewa asante kwa ushauri.
 
Madam hili swala naona limekugusa sana..
Asante kwa ushaur tunapata pa kujifunzia
huwez kunitukana matusi mazito unambie ni maneno ya kawaida asee

Matusi yatabaki kua matusi haijalishi ni kubwa au dogo baya au la kawaida ni tusi na s vyema kumtukana mpenzio matusi hivo tena mbele za watu

Akufukuzae amhakwambi toka huyo anafukuzwa lakini mwenyewe haoni
 
I rarely comment on this platform, but let me share my 50 cents.
1.Kitaalam huyo mwanaume wako anakufanyia bullying, na kukutukana ni jambo moja, kuna siku atakudhuru, ameona wewe ni mzigo kwake na namna pekee ya kutaka muachane ni kukufanyia hivyo ili uondoke....
2. Huna pa kwenda, sijui hata niseme vijana wa siku izi mmeumbwaje.. yani kabisa huna pa kwenda? una uhakika? wewe ulizaliwa kwa huyo mwanaume? Jiongeze dada yangu...
3. Mna watoto? Kama ni ndio inabidi ueleze pia, lakini kuvumilia bullying and home violence kwa kisingizio cha "huna pa kwenda" ni utoto uliovuka mpaka....

Nimependa jina lako linafanana sana na la mwanangu..... Jitaid ufanye maisha yako bila kutegemea mwanadam mwenzako nawe utakuwa huru...
 
Ninawasiwasi huyo mwanaume atakuwa niwale wa vigodoro maana wanamatusi haoooo hawakwepeshi
 
unaishi na mtu asiyejitambua ...ila amua maana mapenzi sio...watu washapigana wakavuana nguo wakatukanana mmoja akaondoka..matusi kwa simu na kuwakiana lawama baada ya mwezi mara paaam..huyo tena yupo ndani anajinafasi tena jamaa akaiondoka anabaki kuongea na wengine...so hapo nahisi nikikushauri kazi bure maana kina kitu ndio unakitaka tu ila....
 
Kama hakupigi vumilia tu,inawezekana ana changamoto za kimapato.
 
Uzuri ni kwamba haujafunga nae ndoa alafu Pili unamalengo mazuri ya kusubiri ajila ,ila kwa ushauri jaribu kuuliza moyo wako je hicho unachotaka kukifanya eiza UK ukondoka au kuendelea kubaki hapo kipi kinakupa furaha ,coz watu wanaeza wakakushauri umuache kumbe we moyon mwako bado unampenda,

Fanya kile kinachokupa furaha changamoto ni kawaida kwa binadamu ,ila dawa ya tatizo sio kulikimbia coz hata kama ukisema umuache ukaja kua na mwingine hutakua umetatua tatizo
Coz ni heri yule mjue tabia yake kuliko yelu umuonaye tu brbrn
#kijanawamemkwa
 
Ukimuuliza kwnn anakutukana.. awez sema ukwel!! Hao chn kw chn wajuaji!!
Me nina experience ya kua na dem m1 fara fulan hiv... alikua anafany ujinga mkubw zen anakuskilizia maksud.. ila alipata zawad ake!!
Madem wa chuo n wapuuzi
 
Yaani humu kila mwana JF amemaliza Chuo Duuh hongereni
Siye wa shule ya Msingi Mburahati sijui tuandike wapi
Bora wewe wa mburahati, jijini, sisi wengine shule ya msingi tubize huku kasulu
 
Pole sana dadaangu utakuwa unapitia wakati mgumu sana.. Mungu yupo atakusaidia ..
 
Kwani hayo matusi yamening'inia kwenye masikio kama hereni husema yamekuwa mazito.
 
Pole sana Marisa kakuchoka huyo anaona umekua mzigo kwenye maisha yake. Hapo hamna watoto mkibarikiwa kuwa nao ataendelea na tabia yake hiyo hiyo na atawafundisha tabia mbaya watoto waone kusema neno mngese ni kawaida
 
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Utu Ni Bora Kuliko Kitu
Mpaka Sasa Hapo Hakuna Utu Hapo Ila Unaambulia Kadhia Tu Tena Unatukanwa Mbele Ya Hadhira


Ungeondoka Kwa Busara Yaani Uende Kwanza Home Ama Kwa Ndugu Mwingine Labda Huku Nyuma Angeona Umuhimu Wako

Nadhani Baadaye Ataanza Kukupiga Hapo Yaweza Kuwa Hatari Kubwa Sana Kwako
Ukapata Chongo Bure
 
Back
Top Bottom