Mpenzi wangu ananitukana sana!

Mpenzi wangu ananitukana sana!

Kwa kifupi kabisa ni kwamba sasa hivi hakupendi tena,amekuchoka,ameshajua kuwa yeye ndiye mungu wako na huenda ana kademu pembeni tayari!......Sepa zako,you have to find a way against all odds!
Angalau Leo swali linalohusu wale wadudu wanaokaa kwenye maji hukuuliza.
 
Una roho nzuri. Big up!
Yaani sometimes I feel so guilty anapotokea mwana akamnyanyasa mwanamke. The easiest and safest way kama umemchoka mtu si umuache tu kwa amani?? Unamdhalilisha na kumtukana ili iweje ?? Noma sana and it's not fair
 
Pole sana. Kwa hali hiyo, mweleze wazi wazi kuwa hakutendei chaki, na hakupi chaki yako kama binadamu (achilia mbali kama mke wake). Mpe muda kidogo wa kubadilika. Akibadilika ni vema, asipobadilia nakushauri uondoke kwani hapo patakuwa si mahali salama kwa kuishi.
 
Back
Top Bottom