witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,747
Haaahaaa....eti matusi ndo kodi ya nyumbaDah....vumilia tu....matusi ndiyo Kodi yenyewe ya nyumba hiyo... Vipi mzigo unampa?![]()

Haaahaaa....eti matusi ndo kodi ya nyumbaDah....vumilia tu....matusi ndiyo Kodi yenyewe ya nyumba hiyo... Vipi mzigo unampa?![]()

Ndugu wa nn siku hizi ukiwa na t*ko tuu unaishi kama princess anyway labda hajajaliwa !!Yaan hana ndugu mjomba au kaka kwenda kubanana huko,ukute analalamika hivi huku anampenda kufwaaa
Teh! na mimba na makofi juuUnataka kutuambia huna wazazi kabisa
Au ndugu
Ngoja akudunge mimba na makofi juu

Mkuu kama ni graduate ungetaja elimu yako huku kuna ma Ceo,Mameneja,wajasiriamali. Ungeweza kushauriwa na kusaidiwa pia kuliko kuendelea kutumikiswa kingono kisa hifadhi .Funguka usaidiwe mkuu
Si unaishi kwake inamaana hakubandui MKUUTeh! na mimba na makofi juu![]()
Yaani humu kila mwana JF amemaliza Chuo Duuh hongereni
Siye wa shule ya Msingi Mburahati sijui tuandike wapi

Mkuu kama ni graduate ungetaja elimu yako huku kuna ma Ceo,Mameneja,wajasiriamali. Ungeweza kushauriwa na kusaidiwa pia kuliko kuendelea kutumikiswa kingono kisa hifadhi .
naona umemixSorry mkuu![]()
![]()
naona umemix
Changamoto za maisha zikupeleke kwa bwana halafu akuheshimu? Endelea kusubiri maana kipo unachokitaka kwake, utakipataHabarini wapendwa. Nina jambo linaniumiza sana naombeni ushauri. Ninaishi na mwanaume mwaka wa pili sasa unaenda.
Naombeni msinihukumu kwanini naishi bila ndoa, nilipitia changamoto kubwa sn mpaka kufikia kukosa mahali pa kuishi huko nyuma kwahiyo kimbilio likawa kuishi na mpenzi wangu.
Tatizo sikuhizi ananitukana sana matusi ya nguoni. Yaani kosa dogo utasikia we mse*, wewe na mengine makubwa zaidi. Mbaya zaidi wakati mwingine ananitukana mbele za watu yani navumilia mpaka nachoka sasa.
Naombeni ushauri wa mawazo nifanyeje. Plz msinikejeli. Natamani sana kuondoka lakini kwasasa sina pa kwenda, nimemaliza chuo juzi nasubiri angalau nipate neema ya kazi ndo nitaweza kuondoka ila kwasasa nishaurini tu
Umenena vyema"Nsubiri nipate kazi ndo niondoke" ....... Kumbe hata naww umetega ? .
Natania...Anakutukana akiwa katika hali ipi?? Ni chapombe?? .
Huna pa kwenda?... Ndo kutaka Kuendelea kuishi mjini??.
Sasa basi, ili kuondoa lawama, asije kukulaumu wakat ambao umemuacha sababu unepata kazi, ni vema ufanye maamuzi ya kuondoka katika wakat huu huu ambao Unanyanyaswa na kutukana .
Ukija ondoka sababu umepata kazi, itaonekanaga wee ni mdada usokua na Fadhila wala shukran . Na watu hawataona kua ulikua ukitukanwa.
Yes life ni gumu mno , usione mbwembwe za humu ukazitaman , life ni gumu sana , Rudi kwa wazazi mdada, Wakat huo ukipigana .
Ndo shida yetu wa Dada ilipo tena apa mnamshauri usiku ukiingia anazima na data kabsa anaenda kumkatikia mshkaji...Yaan hana ndugu mjomba au kaka kwenda kubanana huko,ukute analalamika hivi huku anampenda kufwaaa
Unashughuli ya kufanya? Tuanzie apo kma huna jitaidi utafute ili uanzee kuishi kwa kujiwekea akiba maana mda c mrefu atakufukuza au atakueshimu anafanya ivyo sababu anahisi ww umekuwa mzigo kwakweHabarini wapendwa. Nina jambo linaniumiza sana naombeni ushauri. Ninaishi na mwanaume mwaka wa pili sasa unaenda.
Naombeni msinihukumu kwanini naishi bila ndoa, nilipitia changamoto kubwa sn mpaka kufikia kukosa mahali pa kuishi huko nyuma kwahiyo kimbilio likawa kuishi na mpenzi wangu.
Tatizo sikuhizi ananitukana sana matusi ya nguoni. Yaani kosa dogo utasikia we mse*, wewe na mengine makubwa zaidi. Mbaya zaidi wakati mwingine ananitukana mbele za watu yani navumilia mpaka nachoka sasa.
Naombeni ushauri wa mawazo nifanyeje. Plz msinikejeli. Natamani sana kuondoka lakini kwasasa sina pa kwenda, nimemaliza chuo juzi nasubiri angalau nipate neema ya kazi ndo nitaweza kuondoka ila kwasasa nishaurini tu