NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 11,291
- 14,573
Turushie picha zake na hizo vídeo tuzione
Am married baba wee..Ur a married parent?!
Single woman?!
Mjane?
Katapila?!
Gari za chuma matumizi yake miaka 800Am married baba wee..
Katapita ndio mtu sampuli gani?
HayaGari za chuma matumizi yake miaka 800
Nakuja inboboChepukia kwangu hamna jinsi sasa [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Kwani mawe hamna?? We vip nawwHalafu ukute hata kwa ngumi humuwezi..
Ungemzaba hata moja upunguze hasira..
Mkuu unaweza kusamehe ukigundua kuna mtu unashare nae Ikulu?
Hatuna wa kumuumiza ss ni halaliiEti bae...
Njoo na sisi tuchepuke tumuumize mtu
Pole mkuu,km unaweza kanyaga hao ndugu zakeg we kanyaga hadi ajue ili nae aumie au ukichemka bs tafuta demu lolote uliweke getovna umwite na akija awakute unalitafuna huenda akaumia.hilo la kuvujisha pic zake za uchi sio zuri unajuaje pengine nae anazako!!!Helloooooos....,
Mwenzenu yamenikuta jamn, nimeishi na mwanamke mmoja yapata mwaka sasa, mwanamke huyu alishakuwa na mtoto kwenye mahusiano yake yaliyopita, ikawa bado hatujaafikia hatua ya kuoana.
Kilichonifikisha hapa leo ni kwamba, huyu mwenzangu kuna kipindi aliniambia kuna mwanaume mmoja anamfuatilia, mwanaume ni mme wa mtu. lakini kadiri siku zilivyoenda nikaja kundua kuwa ametembea naye tayari na wanaendelea, nilivokuja kumwuliza akawa anakuja juu eti namfuatilia sana.
Kiukweli roho imeniuma mnooo, sijui hata ni kwann ila mpaka afya yangu imedorora, nikikumbuka hili tukio hata kula siwezi, najihisi kudharauliwa sana maana anatembea na mwanaume mwingine wakati nipo naye zaidi aliniambia habari zake kabla.
nimejitahidi nijisahaulishe hili suala ila bado tu, najaribu kumsamehe (siyo kurudiana naye) ili niwe mwepesi ila bado tuu.
nina picha zake za uchi, na videos pia.., kuna wakati natamani kuzivujisha ili kama mbwayi mbwayi tu labda nitapata amani ya moyo, au nimtumie yeye kwanza ili naye asiwe na amani kama ilivyo kwangu...
Najua hata sahv nikimwita aje geto atakuja, sometym nafikiria sijui nimtafute dem afu nimwite aje geto then anikute namgonga demu mwingine afu ye nimtoe baru labda kitamuuma na yy.
Nina contact za wadogo zake wawili ambao hawajui kama nilikuwa na date naye, kuna wakati napata msukumo nimtongoze mmoja wao ili kimuume naye apate machungu kama haya.
Kwakweli sijiewi, naombeni ushauri wenu nivuke hapa. Nibaki na amani na uanaume wangu utukuke.
Asante mkuu..., ila kwa sasa nina tatizo fulani hivi, kila demu nnayemwona ni kama namwona siyo mzuri kama yeye.... hata kama kiuhalisia siyo kweli, afu nikianza kumtongoza badaye kama naishiwa nguvu nakuwa kama sijali sifuatiliii vzr mpaka naonekana sipo serious....Broo jitahidi tu kumsahau,, hata mimi hii hali imeshanikuta yaani demu wangu alichepuka na akaanza kunisema vibaya kwa watu huku akimsifia mpenzi wake mpya,,, niliumia sana then nikajitahidi kuulazimisha moyo kumsamee na kumsahau nikaongeza bidii ya kutongoza wadada wazuri hatimae ndoano zika mnasa mrembo mmoja ambae mpaka sasa nipo nae na mapenzi yetu ni matamu sana,,, yule msaliti alivo pata mtu kwenye hela kuliko mimi tabia ilibadilika akawa anapokea simu kwa kujisikia sana,,, ila sasa hivi na mimi napigiwa simu mpaka saa 11 alfajiri na demu ambae ni mzuri hata kuliko yule msukule msaliti asie na adabu
True datMkuu pole ila potezea tu maana madem hawa wapo kama UKAWA hawajui wanataka nini
Hivi na zile video za porn huwazalilisha wanawake wote??[emoji15]Kuvujisha Video Za Uchi Ni Ujinga, we huoni Kama Utakuwa Umewadharilisha wanawake wote?