Mpenzi wangu amechepuka, natamani kumkomesha

Mpenzi wangu amechepuka, natamani kumkomesha

Kwani ww hujawahi kuchepuka? "Asiye na Dhambi na awe wa kwanza kumtupia mawe huyu..." wote wakatawanyika...
 
Piga chini fasta chukua kitu kingine kikali zaidi yake afu mpige shopping ya nguvu ili roho huyo imuume.afu chupi same zitundike room kwako akija azione apsuke
 
Helloooooos....,

Mwenzenu yamenikuta jamn, nimeishi na mwanamke mmoja yapata mwaka sasa, mwanamke huyu alishakuwa na mtoto kwenye mahusiano yake yaliyopita, ikawa bado hatujaafikia hatua ya kuoana.

Kilichonifikisha hapa leo ni kwamba, huyu mwenzangu kuna kipindi aliniambia kuna mwanaume mmoja anamfuatilia, mwanaume ni mme wa mtu. lakini kadiri siku zilivyoenda nikaja kundua kuwa ametembea naye tayari na wanaendelea, nilivokuja kumwuliza akawa anakuja juu eti namfuatilia sana.

Kiukweli roho imeniuma mnooo, sijui hata ni kwann ila mpaka afya yangu imedorora, nikikumbuka hili tukio hata kula siwezi, najihisi kudharauliwa sana maana anatembea na mwanaume mwingine wakati nipo naye zaidi aliniambia habari zake kabla.

nimejitahidi nijisahaulishe hili suala ila bado tu, najaribu kumsamehe (siyo kurudiana naye) ili niwe mwepesi ila bado tuu.

nina picha zake za uchi, na videos pia.., kuna wakati natamani kuzivujisha ili kama mbwayi mbwayi tu labda nitapata amani ya moyo, au nimtumie yeye kwanza ili naye asiwe na amani kama ilivyo kwangu...
Najua hata sahv nikimwita aje geto atakuja, sometym nafikiria sijui nimtafute dem afu nimwite aje geto then anikute namgonga demu mwingine afu ye nimtoe baru labda kitamuuma na yy.

Nina contact za wadogo zake wawili ambao hawajui kama nilikuwa na date naye, kuna wakati napata msukumo nimtongoze mmoja wao ili kimuume naye apate machungu kama haya.

Kwakweli sijiewi, naombeni ushauri wenu nivuke hapa. Nibaki na amani na uanaume wangu utukuke.
Mbona unaupa moyo kazi ngumu hivyo? Acha na hayo mambo ya kukomoa na angalia maisha yako, Mh ! Kwa mazingira haya tutatoboa uchumi Wa viwanda??????..
 
Wewe acha mambo ya kishamba ukivujisha pichazae Unahisi ndio utakuwa bingwa eeee?? Upuzi uwo achananae tafuta mkali zaidi yake
 
Wewe acha mambo ya kishamba ukivujisha pichazae Unahisi ndio utakuwa bingwa eeee?? Upuzi uwo achananae tafuta mkali zaidi yake
Kwa ukali wake... kumpata zaidi yake ni kazi, labda nimtafute tu mwingine niridhike
 
Kuvujisha picha za utupu itakuonesha ww bro jinsi ulivyo hovyo. Wanaume hatuko hivyo.achana na mambo ya wavulana. Kama wampenda msamehe pigamoyo konde songa mbele. Au lah achana naye tafuta mwingine ila achana kbs na habari zankudhalilishana.

Wanawake wanapotuamini hadi tunawapiga picha za uchi dont breach that trust. Kosa la character assassination mm hua naliona halina tofauti na kuwa muuaji kabisa. Alichofanya yy amechepuka hajaanika utupu wako. Pls be a man
 
Kuvujisha picha za utupu itakuonesha ww bro jinsi ulivyo hovyo. Wanaume hatuko hivyo.achana na mambo ya wavulana. Kama wampenda msamehe pigamoyo konde songa mbele. Au lah achana naye tafuta mwingine ila achana kbs na habari zankudhalilishana.

Wanawake wanapotuamini hadi tunawapiga picha za uchi dont breach that trust. Kosa la character assassination mm hua naliona halina tofauti na kuwa muuaji kabisa. Alichofanya yy amechepuka hajaanika utupu wako. Pls be a man
Asante mkuu... nimeshazifuta picha na clips zote, so chances za kufanya hivyo hakuna tena.

Nataman kumrudia ila najiona kukosa thamani, yaani mwanamke aondoke mbele yangu akagongwe tena siyo mara moja, then arudi aendelee kuwa wangu, nahisi kukinai sana.

Lakini pia miezi miwili imepita sasa ila bado nimeshindwa kumsahau, nikikumbuka ubaya huu mpaka natetemeka....
 
Asante mkuu... nimeshazifuta picha na clips zote, so chances za kufanya hivyo hakuna tena.

Nataman kumrudia ila najiona kukosa thamani, yaani mwanamke aondoke mbele yangu akagongwe tena siyo mara moja, then arudi aendelee kuwa wangu, nahisi kukinai sana.

Lakini pia miezi miwili imepita sasa ila bado nimeshindwa kumsahau, nikikumbuka ubaya huu mpaka natetemeka....
Nakupongeza Kaka kwa kuzifuta maana umeshaepuka jinai tayari. Nakuelewa sana unajua tunaumia tofauti kwa kuwa tunapenda na kujali kwa viwango tofauti pia. MUNGU akusaidie upite salama ktk changamoto hyo hatimaye maisha yaendelee
 
Mkuu pole sana. Allah anakupenda sana.Amekuonesha mapema hali halisi ya mtu unayempenda.Kwa sasa huwezi amini kama huyo ni hatari kwani moyo wako unakudanganya kama unampenda sana bila kujali kuwa hakupendi kwa malengo .

Ila hayo makosa anayofanya yatauma zaidi kama yakikutokea katika ndoa.Nikuambie ukweli wanaume ndio wanaweza kuchepuka bado akawa na upendo wa dhati kwa mtu wake (Yaani asioneshe dharau kwa mwenza wak ).Lakini wanawake walishapata mchepuko ujue huna chako.

Mkuu moyo unafata akili ktk maamuizi so tumia akili ili ujikomboe.ila ukitumia moyo akili ifate utaumia sana.

Usiharibu malengo yako kwa mtu uliyeimkuta ukubwani.Pia mtu mwenyewe umemkuta ana mtoto tayari .
 
Ukishaona mwanamke anakubali kupiga picha za uchi jua ni malaya huyo.
 
Wanaume tunazidi kupungua aiseee uvujishe ili ikusaidie nini tena ukivujisha na wewe utafungwa take care
 
Dah... Gonga vidogo vyake vyote Fastaa[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom