myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 147,570
- 656,090
wewe!!Mkuu pole ila potezea tu maana madem hawa wapo kama UKAWA hawajui wanataka nini
wewe!!Mkuu pole ila potezea tu maana madem hawa wapo kama UKAWA hawajui wanataka nini
Mimi mke sina huyo huyo mdogo akikaa vzr... na akiona nitamfaa mi sitaona shida pia, tena itakuwa poa zaidi ili yule fala akione milele..usifanye hivyo sababu wale ni ndugu na kwa namna moja au nyingine utamuumiza mdogo mtu kuliko dada yake.. sababu wewe unataka kumgonga na kusepa si pouwa bana
kumbe ni for future basi sawaMimi mke sina huyo huyo mdogo akikaa vzr... na akiona nitamfaa mi sitaona shida pia, tena itakuwa poa zaidi ili yule fala akione milele..
Mkuu unaweza kusamehe ukigundua kuna mtu unashare nae Ikulu?Usiwe kama nanihii kutaka kulipiza visasi. Kama bado unampenda endelea naye vinginevyo hili la kuchangamkia dushe lingine kama huwezi kulivumilia hadi linakuathiri kiasi hiki basi piga chini Mkuu.
Mmhhh inaonekana ilikua bonge la lesson Allency.We jamaa uko kama kenge, yani mpaka atoke damu ndiyo anasikia. Hapo sasa utakuwa umesikia. Kila siku tunasema hao waliokwisha zaa achana nao watakuumiza tu lakini bado unadondokea huko. Hao wako so desperate sasa wewe endelea tu afu uje kulialia hapa. Kula sepa zako usiweke kambi mkuu. Niliwahi kuweka kambi dah wako kama ruba hao
UmekoseaThe best revenge is to forgive.
Sikia kaka.Mimi mke sina huyo huyo mdogo akikaa vzr... na akiona nitamfaa mi sitaona shida pia, tena itakuwa poa zaidi ili yule fala akione milele..
Nikikutana naye tutazungumza nini mkuu???Sikia kaka.
Mtu akikukosea (kukusaliti), wewe sio mwenye kosa mpaka ikuume kiasi hiki. Tambua katika kukusaliti yeye ndiye ameshusha uaminifu wake kwako na sio wewe kwake. Picha zake za utupu itakua busara kuzifuta maana unawezakufanya kitu kibaya.
Kama utaweza, ili uchungu uishe ni lazima upate sehemu ya kuichiria hasira yako. Wasiliana nae ili muweze kukutana, na kama unahisi una hasira kiasi kikubwa sana mchukue rafiki yako uwe pamoja nae wakati mnakutana. Mwelezee rafiki ya kwa juu juu na umwambie umepanga kumkabili na kumwambia ukweli, kama mambo hayatakua mazuli aje kuingilia. Mwambie yeye akae kwa mbali ila atakapo ona mambo yamebadilika aje kusaidia usije ukaua.
Asante kwa ushauri wako mkuuUMEDHARILISHWA
NAWAZA KAMA UNGEMFUMANIA LAIVU ANAGONGWA KWENYE HICHO KITANDA CHAKO...!!!
sio kwa hasira hizo mkuu..!!
MI NAONA HASIRA ZAKO ZIMALIZE HIVI..!!
JITAHIDI KUKAA MBALI NAE KADIRI UWEZAVYO HATA KAMA PICHA ZAKE SIJUI VIDEO ZAKE ZOTE FUUUTA... (maana hizo ndizo zinazokuchochea bila wewe kujua) ...
WATU WANASAHAU MATUKIO MAKUBWA ZAIDI YA HAYO..!!
ILA KWA SHARTI LA KUKAA MBALI NA VIKWAZO..
WANAITA "KUPASHA KIPORO"Usikute huyo mume wa mtu ndiye mzazi mwenzie..Hawa watu naskia hawaachanagi, lazima wakumbushiane"those golden moments"
Ndio maana kila siku huku kuna "nyuzi za kupeana maonyo" kuhusu hawa watu.