Mpenzi mwenye ---- moja

Mpenzi mwenye ---- moja

umepotea saaaaaaaaaaaaaaaaaaaana bwana

....ah, muda hautoshi dear...majukumu yamezidi.
Hii hadithi imeishaje?

These days napata wasaa mdogo kusoma posts/ threads mbili tatu tu
 
jf kiboko, nimecheka sana. Ma jery akuje umalizie story
 
AKAAANZA OOHO HONEY NAJUA UMENIONA NAJUA UTANIACHA MIE WALAAAA SIKUTAKA KUMWONYESHA KUWA MMMH HII SIO HII....NIKAMWAMBIA NI UUMBAJI WA MUNGU....AKANIAMBIA MIMI HUWA HAISIMAMI NIKAMWAMBIA HAKUNA NENO SWEET NIMEKUELEWA , NA tigo MOJA NDIVYO ULIVYOZALIWA AKAJIBU HAPANA NILIKATWA NIKIWA NAGOMBANA NA JAMAA ALIYEKUWA ANANIIBIA DEMU WANGU ALINIKATA tigo NA KIDOLE AKANIONYEA KIDOLE CHA PILI KUTOKA GUMBA KIPO NUSU EEEEH POLE SANA SWEET YAANI POLE MNOOO....USIJALI SIWEZI KUKUACHA........BASI TUKALALA

Nisaidieni hapo kwenye bold sijaelewa kabisa
 
hii habari aisome mathcom

amu nimeisoma hii, mimi siwezi kuzuia hiyo kitu kama mke katulia basi umshukuru Mungu lakini akiamua kutoka nje huna ujanja, unatakiwa uweke mazingira ya kumfanya asitoke nje na hayo unayafanya katika hatua za mwanzo za kuanza maisha, baadae unapeta tu huna shida. Ila ikitokea akitoka basi iwe kimya2 nisijue kinachoendelea na hiyo njemba inatakiwa ikiniona tu nimerudi basi itulize boli......
 
Kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
na uvivu wote nimesomaaaa lolz.. daa duniani kuna mambo.

Ila watu wanajiamini sana lolz..
 
Huyo 'bama hadi aje tutakoma mbona? Sie tumesitisha kupeana unyumba tunakusanya nguvu za kumherehesha huyo kaka 'bama.
Pengine zinakataa au pm haionekani. Au huko abroad hawaruhusiwi pm mwee si unajua mambo ya security tena

mmh mie nshachoka. Kwani mtu anakuwaga na tigo ngapi?

Jamaa atakuwa anafanyaga zile show za wasukuma wanafanyia sokoni. Wana masanduku ya nyoka. Ila hela anazo, wewe haukuwa mvumilivu tu dada
kama la mganga wa kienyeji sijui yaani sio la kupanda ndege kabisa mwenzangu
 
Huyo 'bama hadi aje tutakoma mbona? Sie tumesitisha kupeana unyumba tunakusanya nguvu za kumherehesha huyo kaka 'bama.

mmh mie nshachoka. Kwani mtu anakuwaga na tigo ngapi?

Jamaa atakuwa anafanyaga zile show za wasukuma wanafanyia sokoni. Wana masanduku ya nyoka. Ila hela anazo, wewe haukuwa mvumilivu tu dada
nilivoona ana kitako kimoja na hana pumbu nguvu zote ziliniishia sikutamani kitu tena
ulishawai kuona mtu ana kalio moja
 
Ahahaha. :crutch:Bwana wewe usinichekeshe mwenzio, ntapata kwikwi! Aaagh. Kalio moja? Hukumuangalia vizuri bwana
hii inabidi iingie kwenye katiba mpya. Ile rasimu iko wapi kaka Kaizer?
nilivoona ana kitako kimoja na hana pumbu nguvu zote ziliniishia sikutamani kitu tena
ulishawai kuona mtu ana kalio moja
 
Last edited by a moderator:
Akaniachia elfu ishirini akasepa zake wakati usiku alikuwa kavaaa kofia za barclarys bank akaniambia kofia hizo wanapewa watu wenye million mia kuendelea sas ananichia na sh elf ishirini mie nikasema asante yesu umeniepusha na mwehu huyu.......................alipoondoka nami nikaoga nikavaa na kuondoka ile nashuka reception naona wadada wa reception wananiangalia na kunicheka nikasema mmh hawa vipi.........sikuwasemesha nikaondoka zangu...........
 
Back
Top Bottom