shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,370
Hulali?
nyani haoni ..........lake we unafanya nn
Hulali?
Huku Chechnya saa hizi ni saa sita mchana.nyani haoni ..........lake we unafanya nn
Huku Chechnya saa hizi ni saa sita mchana.
Sasa si ukaoge ulale??na huku kwetu dafur saa hizi ni saa tatu usiku
Sasa si ukaoge ulale??
Mbony Shafoo Klemeeeeeeeeeeeee!!kuku ndo wanalala saa hizi bado nalinda mpaka nione nje kuna usalama wa kulala
Mbony Shafoo Klemeeeeeeeeeeeee!!
u gotta love JF!!!,ina kila aina ya watu, ina warefu na wafupi, wembamba na wanene, wenye akili na CHADEMA, pamoja na wachekeshaji kama ma jery....kiukweli umenifurahisha sana.........u've made ma day
umeona ee mi nimemwambia hapa tunasubiri part2 ye anang'ang'ania kuuliza maswali ya pm
mwenyewe aliandika kimbea mbea ili awavute wasomaji.
Kakusikia dada next episode ataweka mabadiliko.
Kongosho na BADILI TABIA mpoooo
wapi Heaven on earth