Mpenzi au mke wako akibakwa...

Utaulizwa masuala kama why did you open the door na unajua uko peke yako? Why does he even know your address kama hukumpa? Na shutuma nyingi kama inasababishwa na the way you dress up, the way you conduct yourself in front of him

Na hofu ya kusema inazidi hasa ikiwa mbakaji ni mtu unaemjua

Na pia uwe tayari kabisa kuharibu uhusiano wako na huyo bwana ( mume/boyfriend) kwa maana kila mara atakumbushia hilo tukio. Pia kila mara yeye atabaki na hiyo taswira ya wewe ukiwa kwenye kitendo na huyo mtu kila mnapokuwa faragha!......Hivi wanaume "wanaobakwa" nao inakuwa vipi? je wanawahadithia wanawake zao?
 
Na pia uwe tayari kabisa kuharibu uhusiano wako na huyo bwana ( mume/boyfriend) kwa maana kila mara atakumbushia hilo tukio. Pia kila mara yeye atabaki na hiyo taswira ya wewe ukiwa kwenye kitendo na huyo mtu kila mnapokuwa faragha!......Hivi wanaume "wanaobakwa" nao inakuwa vipi? je wanawahadithia wanawake zao?

Hili suala ni tete, inategemea mazingira kwa kweli. Kama bila ya kumuambia unaona unaweza kuendelea kuishi, wengi wana opt kwenye hiyo lakini wakati mwengine labda imekuathiri sana kiasi cha kuwa hutaki ukaribiwe na mwanamme kwa muda na bwana ndo yupo utafanyaje?

Nadhani kabla ya masuala ya Mwanakijiji kujibiwa, kuna haja ya watu kufahamishwa emotions anazopata mtu aliyebakwa na reactions anazoweza kuchukuwa, ili mwanamme ajue ana deal nae vipi iwapo litatokea. Ukosefu wa elimu kuhusu suala hili ndio unafanya wanwake wazidi kuumia kwa kuto hadithia.
 
Hili suala ni tete, inategemea mazingira kwa kweli. Kama bila ya kumuambia unaona unaweza kuendelea kuishi, wengi wana opt kwenye hiyo lakini wakati mwengine labda imekuathiri sana kiasi cha kuwa hutaki ukaribiwe na mwanamme kwa muda na bwana ndo yupo utafanyaje?

Nadhani kabla ya masuala ya Mwanakijiji kujibiwa, kuna haja ya watu kufahamishwa emotions anazopata mtu aliyebakwa na reactions anazoweza kuchukuwa, ili mwanamme ajue ana deal nae vipi iwapo litatokea. Ukosefu wa elimu kuhusu suala hili ndio unafanya wanwake wazidi kuumia kwa kuto hadithia.

KWELI unavyosema...kitu wanaume hawaangalii ni swala zima la namna wanawake na wanaume walivyo tofauti katika kuchakatua maingiliano ya kingono. Kubakwa ni ukatili mbaya kuliko wanavyofikiria.Hakuna mwanamke anapenda kubakwa hata na mume au mpenzi tofauti na wanaume wanavyodhania. Kwa mtu mgeni kabisa ndio usiseme! Wanaume tafadhalini jaribuni kuelewa kuwa rape siyo sex bali ni udhalilishaji, ni ukatili, ni kiashirio cha "power"! Siogopi kusema kuwa endapo mpenzi wangu atabakwa sitamnyanyapaa bali nitamuonea huruma na kumfichia aibu.Sitamkumbushia wala kumlaumu.
 
Hili swali lina implications nyingi sana; vipi kwamba baada ya kubakwa mama anapata ujauzito? - wapo watu mashuhuri ambao walizaliwa kutokana na rape! vipi kama katika kubakwa akapata kilema au kuambukizwa?

Nitajibu kama ningekuwa mwanaume! (woman sensitive answer)
Kama mke kapata mimba tutajadiliana kuhusu kuterminate hiyo pregnancy (kama mwanamke ningekubali)

Kama kapata kilema sijui ni kilema gani wamaanisha; anatibiwa na tunaishi na matokeo.

Na kama kapata maambukizi, say deadly HIV; nitajadiliana naye kuhusu safe sex au kama ni risk, nitaongea naye kuhusu kuishi pamoja lakini kwa kutengana vyumba (bahati nzuri kina mama wengi wana huruma hivyo hatafurahia kuniambukiza ili tufe wote; nani atatunza watoto kama tunao). Then kuhusu mahitaji yangu ya unyumba in case hatujamiiani kabisa, naongea naye kuhusu kuoa mwanamke mwingine; but huyo mwanamke anapaswa kumrespect my first wife. (hii haijalishi nasali dini gani, coz naamini Mungu angeisapport).
 
Hilo swala ni gumu sana. Mimi binafsi nitakuwa ktk wakati mgumu wa kuikubali hiyo hali mpya.
 
Yaweza kuwa ni mpenzi wako au mke wako au mama wa watoto wako; linatokea tukio ambapo anabakwa (ujambazi, kuvamiwa, kutegeshwa n.k). Na anakuja na machozi na kukulia na kusema tukio hilo na ni kweli vipimo vya hospitali vinaonesha katendewa jambo hilo.

a. Unafanya nini?
b. Unamuamini?
c. Utamsaidia kupita kwenye tukio hilo?
d. Utaendelea kuwa naye.

Je kama wewe ndio mwanamke na tukio hilo limekutokea na unawezekano wa kulificha kwa mwenza wako je utaficha hutamwambia? Ukiamua kumwambia unatarajia nini?

Nitamwambia kwa sababu zifuatazo;-
1. anielewe vizuri kwani ninaweza kuonesha tabia fulani kutokana na athari niliyoipaka kutokana na hiyo incident
2. nimjue kwa undani; mwanamume mwenye mapenzi ya kweli atakuelewa na kukusaidia kutibu hilo jeraha; asiye kufaa atabadilika na hivyo ni bora kuachana naye mapema kuliko kuishi na insensitive guy!

Nafikiri hizo ndizo sababu za msingi zitakazonifanya nimwambie!
 
Hili swali lina implications nyingi sana; vipi kwamba baada ya kubakwa mama anapata ujauzito? - wapo watu mashuhuri ambao walizaliwa kutokana na rape! vipi kama katika kubakwa akapata kilema au kuambukizwa?

Ndiyo maana mie nikasema nitakuwa naye bega kwa bega even that I can express. Kwa sababu kama ukishirikiana naye siyo tu kwamba unaweza kuzia mimba bali hata maambukizi hatari kama VVU.

Endapo unahisi anaweza kupata mimba basi anapewa dawa za kuzia mimba kutungwa na hapo hapo anapewa dawa za kuzuia maambukizi ya VVU! Vinginevyo ni kulea bomu kwani makubwa zaidi yanaweza kumpata si yeye tu bali hata wewe pia!
 
Ndugu zangu bahati mbaya sana ubakaji mwingi hufanyika ndani ya familia na mara nyingi hata ikifahamika familia huwa zinafunika funika hiyo aibu. Matokeo yake ni trauma,mnashangaa mtoto anaanza kuwa truant ,hasomi vizuri,haambiliki kumbe ana deep seated fear ambayo inamla ndani kwa ndani.Mtoto kama huyu hata akikua akaoa ama kuolewa bado zigo hili atalibeba tu maishani mwake.Kwa kweli mtu kubakwa ni tragedy kubwa sana maishani mwake na a lot of counselling inahitajika(assuming amekuwa muwazi katika hili).
 
KWELI unavyosema...kitu wanaume hawaangalii ni swala zima la namna wanawake na wanaume walivyo tofauti katika kuchakatua maingiliano ya kingono. Kubakwa ni ukatili mbaya kuliko wanavyofikiria.Hakuna mwanamke anapenda kubakwa hata na mume au mpenzi tofauti na wanaume wanavyodhania. Kwa mtu mgeni kabisa ndio usiseme! Wanaume tafadhalini jaribuni kuelewa kuwa rape siyo sex bali ni udhalilishaji, ni ukatili, ni kiashirio cha "power"! Siogopi kusema kuwa endapo mpenzi wangu atabakwa sitamnyanyapaa bali nitamuonea huruma na kumfichia aibu.Sitamkumbushia wala kumlaumu.

Nawaelewa Tausi na Gai,

Ila naomba mfahamu kwamba confidence ya mtu kwa mwenzi wake haijengwi wakati wa matatizo na misiba tu, bali hujengwa wakati wote. Kama huwezi kumuamini mwenzi wako kwa kauli na matendo ya kawaida, basi kwenye mambo makubwa kama haya ndiyo hali itakuwa mbaya.

Kwa sababu hiyo, reactions na hatua zinazoweza kuchukuliwa baada ya rape zitategemea mahusiano ya wahusika kwa muda mrefu walioishi pamoja na siyo ya kuamua baada ya tukio!
 
Uzuri wa haya mambo huwezi jua reaction yako itakuwaje mpaka yatokee.
NI sawa na mtu anaposema akimfumania mke wake atamuambia samahani na akaondoka.
Yakitokea ndio utajua.
OTIS.
 
kuna watu ambao wanakua traumatized kiasi cha kufuta kumbukumbu hata za majina yao baada ya rape! baada ya kubakwa, just alongside hiv prophylaxis (ambayo hutolewa kupunguza uwezekano wa kupata maambukizi just in case), nadhani ni muhimu kutoa na after pill! god forbid,lakini nadhani rape, is the worst nightmare of any woman! na mtoto ambae ni rpoduct ya rape ni a constant reminder of the history. this is the only case i might agree with abortion,my apologies.
Hili swali lina implications nyingi sana; vipi kwamba baada ya kubakwa mama anapata ujauzito? - wapo watu mashuhuri ambao walizaliwa kutokana na rape! vipi kama katika kubakwa akapata kilema au kuambukizwa?
 
Yaweza kuwa ni mpenzi wako au mke wako au mama wa watoto wako; linatokea tukio ambapo anabakwa (ujambazi, kuvamiwa, kutegeshwa n.k). Na anakuja na machozi na kukulia na kusema tukio hilo na ni kweli vipimo vya hospitali vinaonesha katendewa jambo hilo.

a. Unafanya nini?
b. Unamuamini?
c. Utamsaidia kupita kwenye tukio hilo?
d. Utaendelea kuwa naye.

Je kama wewe ndio mwanamke na tukio hilo limekutokea na unawezekano wa kulificha kwa mwenza wako je utaficha hutamwambia? Ukiamua kumwambia unatarajia nini?
kubakwa na fumanizi la live lina tofauti?
 
mwalimu,sikusema umpendae, nimesema unaeona ama kuhisi anakupenda. maana yake ni kua kwenye maisha kuna watu ambao u can tell them ur dirtiest! unajua wanakukubali hata ukosee vipi. kuna watu ambao they will let u call them at 3 am just to listen to ur crying. those ar the pple u can tell anything, watakupinga kama unakosea lakini wata-support maamuzi yako! sasa mume, mama, ama dada na kaka zako wanaweza kuwa na nafasi hii maishani mwako. ni choice yao na yako pia. kuna rafiki ukimuuliza habari zangu leo atakuambia 'bado king' hajaamka coz of 1,2,3'. na wanaweza wakawa hat watu 5 tofauti,pple who will say we will get through this...nakubaliana nawe, kujiweka kwenye viatu vya mbakwaji sio rahisi, same as kujiweka kwenye viatu vya mhanga mwingine yeyote (hata mwalimu aliyeko tandahimba,lol). lakini premeditation inasaidia kwa sababu we know these things happen.of coz we cross the bridge when we come to it!
Sio rahisi kujiweka kwenye viatu vya uhanga wa ubakaji. Na inaonyesha kumpigia mtu umpendae ukishabakwa si rahisi na takwimu huonyesha kuwa wanaobakwa hawafanyi hivyo, hata kumwambia mama yako inakuwa tabu licha ya kuwa wengi wanaamini kuwa hakuna awapendae kama mama zao.
 
ooh bebii, ur innocent mind. usikimbilie kuolewa,saw? kubakwa (rape) ni kufanywa tendo la ndoa bila ridhaa yako. kufumaniwa nadhani ni kukutwa na mwenza wako ukifanya mapenzi kwa hiari na mtu mwingine, ama asiye halali
kubakwa na fumanizi la live lina tofauti?
 
ooh bebii, ur innocent mind. usikimbilie kuolewa,saw? kubakwa (rape) ni kufanywa tendo la ndoa bila ridhaa yako. kufumaniwa nadhani ni kukutwa na mwenza wako ukifanya mapenzi kwa hiari na mtu mwingine, ama asiye halali
sasa mwanaume akimfumania mkewe inakuwa ni rahisi kumsamehe kuliko akiwa amebakwa kwa nini? maana effect ni kwa mwanamke na sio kwa mwanaume au?
 
Nawaelewa Tausi na Gai,

Ila naomba mfahamu kwamba confidence ya mtu kwa mwenzi wake haijengwi wakati wa matatizo na misiba tu, bali hujengwa wakati wote. Kama huwezi kumuamini mwenzi wako kwa kauli na matendo ya kawaida, basi kwenye mambo makubwa kama haya ndiyo hali itakuwa mbaya.

Kwa sababu hiyo, reactions na hatua zinazoweza kuchukuliwa baada ya rape zitategemea mahusiano ya wahusika kwa muda mrefu walioishi pamoja na siyo ya kuamua baada ya tukio!

Babu we acha tu. Manake mtu unakuwa na hofu mara mbili. Nikisema nikianza kurushiwa shutuma na tuhuma itakuwaje? Pia nafikiri ni ile kuona haya kuhadithia udhalilishaji uliofanyiwa. Unaona bora ujifanye umeusahau tu siku ipite maana ukiuhadithia ndo kama aibu yako ushaitangaza. :(

Lakini kama ulivyosema inategemea mmeishi miaka mingapi kwa pamoja na mmepita through what. Ila kama mwanamme ndo kwanza mpenzi wa miezi mitatu au sita, imekaa vibaya.
 
Mbaya akiwa ameridhia alakini kama ni kulazimishwa basi busi kuwa naye karibu..........sawa na kugongwa na gari tu.....ila mpime kwanza kama ameathirika
 
Nitajibu kama ningekuwa mwanaume! (woman sensitive answer)
Kama mke kapata mimba tutajadiliana kuhusu kuterminate hiyo pregnancy (kama mwanamke ningekubali)

Kama kapata kilema sijui ni kilema gani wamaanisha; anatibiwa na tunaishi na matokeo.

Na kama kapata maambukizi, say deadly HIV; nitajadiliana naye kuhusu safe sex au kama ni risk, nitaongea naye kuhusu kuishi pamoja lakini kwa kutengana vyumba (bahati nzuri kina mama wengi wana huruma hivyo hatafurahia kuniambukiza ili tufe wote; nani atatunza watoto kama tunao). Then kuhusu mahitaji yangu ya unyumba in case hatujamiiani kabisa, naongea naye kuhusu kuoa mwanamke mwingine; but huyo mwanamke anapaswa kumrespect my first wife. (hii haijalishi nasali dini gani, coz naamini Mungu angeisapport).

Katika hiyo nyekundu, mtu akibakwa na ikithibitika aliembaka ana HIV, kuna tiba inaitwa Post Exposure Prophylaxis (PEP) inatolewa karibu na health centres zote... It has to be administered with 78 hrs tokea hilo tukio litendeke. Hivyo one should also think of that ili tusifikie kutengana vyumba baadae.
 
...psychological trauma na past traumatic stress, haya mambo yanaathiri zaidi mfumo wa ubongo (akili) kiasi kwamba hata
ujiandae nayo vipi, bado ushauri na msaada wa kitaalamu (counselling) utahitajika kwenu nyote wawili...

...'wanaofukia' kana kwamba hakuna lililotokea, mara nyingi huishia na tabia mpya za ajabu ajabu maishani mwao, mfano kujikojolea kitandani, kulala na taa, kuogopa watu, ulevi uliopitiliza, hasira zilizopitiliza, nk....

pamoja na majibu mengi utayoweza yapata, bado hayamaanishi ndio reactions za ukweli zitazoweza chukuliwa na mhusika wa tukio...
please note; wasomaji na wachangiaji wa topik hii kwa kuichukulia too personal, na wao wana trigger chemical reaction kwenye akili zao ambazo zinaweza kuwa na short/long term effect kwa mujibu wa mahusiano yao.
 
Back
Top Bottom