Mke wa boss wako akikutaka kimapenzi, je utakuwa Mwaminifu? Jibu lako ndio Siri ya Anguko au Mafanikio yako

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,340
51,892
MKE WA BOSS WAKO AKIKUTAKA KIMAPENZI, JE UTAKUWA MWAMINIFU? JIBU LAKO NDIO SIRI YA ANGUKO AU MAFANIKIO YAKO

Anaandika, Robert Heriel
Yule Kuhani katika Hekalu Jeusi

Mke wa Boss wako ameumbika, shape imesimama kama namba ya Lampard mchezaji wa zamani wa Chelsea. Akitembea anatikisika na kutikisa kila moyo wa mwanaume. Uzuri wake umevuka mipaka ya anga na bahari.

Kila akikuona anatabasamu na kukukonyeza na macho ya mahaba kama Jinni Samantha. Akaona haitoshi, anavizia kila boss wako akiwa hayupo anakuita chumbani kwake ili akuonyeshe vizuri na vinono anavyompaga Boss wako. Akuonyeshe Hifadhi na Amana ya Boss wako.

Unamkuta upaja uko uchi ukiwa unameremeta kwa kupakwa mafuta. Madoido na michombezo huku akijibinua na kujiviringa kama nyoka aliyemwagiwa mafuta yanazidi kuiteka tamaa yako. Hapo anayalegeza macho yake kisha anakunyooshea kidole na kukupa ishara ya kukuita kisha analamba vidole vyake akiwa anaendelea kujiviringa huenda ni kitandani, na sio tuu kitandani Bali kitanda anacholalia boss wako.

Bado umesimama ukiwa umetekewa, tamaa na utashi wako vikipigana vikali nafsini Mwako. Je utamkubalia au utamkatalia MKE wa boss wako? Vijana wa sasa wanakuambia je utapiga? Wakati unajaribu kufikiria hayo ukiwa unasoma, hapohapo umesimama fikarani Mbele ya Mke wa boss wako aliyenusu uchu akiwa amedhamiria leo hiyo lazima umyonyote kama sio kumkata Kiu yake.

Wakati unajishauri, hapohapo Mke wa boss anakuambia, usiogope, hutaki mambo mazuri, hutaki kuwa kama Boss wako? Mbona wewe ni mzuri kuliko Boss wako, Angalia ulivyo kijana mtanashati, tazama ulivyojengeka, wewe unanguvu na mkakamavu, unastahili kulimega tunda langu. Itakuwa Siri baina yetu. Alafu hautakuwa tena mtumishi Bali utakuwa Boss, hutaki kujitegemea? sikuwahi kusikia ukisema unataka kufanya biashara Fulani?"

Hapo utakuwa umejichanganya na atakuwa karibu ya Robo tatu ya ushindi, anakaribia kukushinda. Ili kukamilisha ushindi ananyanyuka pale kitandani, anakufuata mpaka ulipo kimanjonjo na mikogo, huku akihakikisha mwili wake unazidi kukuharibu vibaya kihisia ili ushindwe kufikiri vizuri. Anakusogelea mpaka mnagusana mkiwa mmesimama, anakushika mikono, mnatazamana macho yake akiwa kayalegeza haswa ni kama yupo penzini, anakuvuta kuelekea kitandani.

Je, utakuwa MWAMINIFU Kwa Boss wako au utaamua kufanya Usaliti? Jibu lako ndilo litaamua kuwa wewe ni mtu wa Aina gani. Je ni mtu wa kuanguka, kushindwa au mtu wa kusimama na kushinda.

Ili ushindwe au ufanikiwe utapimwa katika kipengele kimoja nyeti, nacho ni uaminifu. Uaminifu ndio kipengele pekee ambacho kitakufanya ufanikiwe iwe Kwa Jema au Kwa Ubaya.

Waovu pia hupenda Watu waaminifu.
Wema pia hupenda Watu waaminifu.

Hakuna Mafanikio au ushindi mahali kusiko na uaminifu. Bado haijawahi kutokea. Usaliti ndio nguzo kubwa ya kushindwa au kuanguka.

Dili zote kubwa haramu unazozijua zinahitaji Watu waaminifu.
Dili zote kubwa Halali zinahitaji Watu Waaminifu.
Uaminifu Kwa Lugha ya kitaalamu inaitwa Nidhamu. Kujisimamia, na kujidhibiti.

Uaminifu unapimwa Kwa kile unachokipenda alafu sio chako. Uaminifu unapimwa Kwa vitu vizuri unavyovutiwa navyo ambavyo sio vyako. Huwezi sema Fulani ni mwaminifu Wakati hujajua anapenda nini na kipi kinachomvutia.

Mfano wa mke wa Boss nimeutumia kuwakilisha vitu vyote vya thamani ambavyo viko katika Ulimwengu huu.
Inaweza kuwa Pesa, utajiri au Cheo n.k.

Je utakapokuwa katika mazingira ya kuiba Pesa za Kampuni unayofanyia kazi au pesa za boss wako, ukashawishiwa uibe je utakuwa MWAMINIFU?
Au utakapokuwa katika mazingira ya kumpindua boss wako, na ukashawishiwa utakubali au ndio hautakuwa mwaminifu?

Je utakapokuwa katika mazingira ya kum-cheat Mkeo au Mumeo na ukashawishiwa um-cheat je utakubali au utakuwa MWAMINIFU?

Huwezi ukaanguka kwenye Jambo lolote Kabla ya kutokuwa msaliti, yaani kutokuwa mwaminifu. Na kamwe huwezi ukafanikiwa Kwa Jambo lolote Kabla hujawa mwaminifu au haujaaminiwa.

Swali ni he, utakapoaminiwa utakuwa MWAMINIFU?
Umeomba kazi Watu wakakuamini kuwa utafanya kazi vizuri, je utakuwa MWAMINIFU?

Uaminifu upo kwenye Imani. Imani ni moja ya mambo yanayojenga utu wa binadamu. Binadamu bila uaminifu (Imani) ni kama Mnyama. Imani inahusu zaidi Roho, Wakati utashi au Akili na Upendo unahusu Nafsi.

Hadithi zote za kila Mwanadamu katika kushindwa na kushinda kwake kutahusu Uaminifu wake.
Hata Ile hadithi ya Edeni ya Kula tunda bila kujali ni hadithi ya kweli au yakubuni imesimamia ujumbe uleule yakuwa, Uaminifu. Je kile ambacho umeambiwa usikile(sio chako) ukishawishiwa ukile he utakumwaminifu au utakuwa muas(utaamua kuanguka)?

Kama hujanielewa leo unaruhusa kuuliza Maswali.
Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
MKE WA BOSS WAKO AKIKUTAKA KIMAPENZI, JE UTAKUWA MWAMINIFU? JIBU LAKO NDIO SIRI YA ANGUKO AU MAFANIKIO YAKO

Anaandika, Robert Heriel
Yule Kuhani katika Hekalu Jeusi

Mke wa Boss wako ameumbika, shape imesimama kama namba ya Lampard mchezaji wa zamani wa Chelsea. Akitembea anatikisika na kutikisa kila moyo wa mwanaume. Uzuri wake umevuka mipaka ya anga na bahari.

Kila akikuona anatabasamu na kukukonyeza na macho ya mahaba kama Jinni Samantha. Akaona haitoshi, anavizia kila boss wako akiwa hayupo anakuita chumbani kwake ili akuonyeshe vizuri na vinono anavyompaga Boss wako. Akuonyeshe Hifadhi na Amana ya Boss wako.

Unamkuta upaja uko uchi ukiwa unameremeta kwa kupakwa mafuta. Madoido na michombezo huku akijibinua na kujiviringa kama nyoka aliyemwagiwa mafuta yanazidi kuiteka tamaa yako. Hapo anayalegeza macho yake kisha anakunyooshea kidole na kukupa ishara ya kukuita kisha analamba vidole vyake akiwa anaendelea kujiviringa huenda ni kitandani, na sio tuu kitandani Bali kitanda anacholalia boss wako.

Bado umesimama ukiwa umetekewa, tamaa na utashi wako vikipigana vikali nafsini Mwako. Je utamkubalia au utamkatalia MKE wa boss wako? Vijana wa sasa wanakuambia je utapiga? Wakati unajaribu kufikiria hayo ukiwa unasoma, hapohapo umesimama fikarani Mbele ya Mke wa boss wako aliyenusu uchu akiwa amedhamiria leo hiyo lazima umyonyote kama sio kumkata Kiu yake.

Wakati unajishauri, hapohapo Mke wa boss anakuambia, usiogope, hutaki mambo mazuri, hutaki kuwa kama Boss wako? Mbona wewe ni mzuri kuliko Boss wako, Angalia ulivyo kijana mtanashati, tazama ulivyojengeka, wewe unanguvu na mkakamavu, unastahili kulimega tunda langu. Itakuwa Siri baina yetu. Alafu hautakuwa tena mtumishi Bali utakuwa Boss, hutaki kujitegemea? sikuwahi kusikia ukisema unataka kufanya biashara Fulani?"

Hapo utakuwa umejichanganya na atakuwa karibu ya Robo tatu ya ushindi, anakaribia kukushinda. Ili kukamilisha ushindi ananyanyuka pale kitandani, anakufuata mpaka ulipo kimanjonjo na mikogo, huku akihakikisha mwili wake unazidi kukuharibu vibaya kihisia ili ushindwe kufikiri vizuri. Anakusogelea mpaka mnagusana mkiwa mmesimama, anakushika mikono, mnatazamana macho yake akiwa kayalegeza haswa ni kama yupo penzini, anakuvuta kuelekea kitandani.

Je, utakuwa MWAMINIFU Kwa Boss wako au utaamua kufanya Usaliti? Jibu lako ndilo litaamua kuwa wewe ni mtu wa Aina gani. Je ni mtu wa kuanguka, kushindwa au mtu wa kusimama na kushinda.

Ili ushindwe au ufanikiwe utapimwa katika kipengele kimoja nyeti, nacho ni uaminifu. Uaminifu ndio kipengele pekee ambacho kitakufanya ufanikiwe iwe Kwa Jema au Kwa Ubaya.

Waovu pia hupenda Watu waaminifu.
Wema pia hupenda Watu waaminifu.

Hakuna Mafanikio au ushindi mahali kusiko na uaminifu. Bado haijawahi kutokea. Usaliti ndio nguzo kubwa ya kushindwa au kuanguka.

Dili zote kubwa haramu unazozijua zinahitaji Watu waaminifu.
Dili zote kubwa Halali zinahitaji Watu Waaminifu.
Uaminifu Kwa Lugha ya kitaalamu inaitwa Nidhamu. Kujisimamia, na kujidhibiti.

Uaminifu unapimwa Kwa kile unachokipenda alafu sio chako. Uaminifu unapimwa Kwa vitu vizuri unavyovutiwa navyo ambavyo sio vyako. Huwezi sema Fulani ni mwaminifu Wakati hujajua anapenda nini na kipi kinachomvutia.

Mfano wa mke wa Boss nimeutumia kuwakilisha vitu vyote vya thamani ambavyo viko katika Ulimwengu huu.
Inaweza kuwa Pesa, utajiri au Cheo n.k.

Je utakapokuwa katika mazingira ya kuiba Pesa za Kampuni unayofanyia kazi au pesa za boss wako, ukashawishiwa uibe je utakuwa MWAMINIFU?
Au utakapokuwa katika mazingira ya kumpindua boss wako, na ukashawishiwa utakubali au ndio hautakuwa mwaminifu?

Je utakapokuwa katika mazingira ya kum-cheat Mkeo au Mumeo na ukashawishiwa um-cheat je utakubali au utakuwa MWAMINIFU?

Huwezi ukaanguka kwenye Jambo lolote Kabla ya kutokuwa msaliti, yaani kutokuwa mwaminifu. Na kamwe huwezi ukafanikiwa Kwa Jambo lolote Kabla hujawa mwaminifu au haujaaminiwa.

Swali ni he, utakapoaminiwa utakuwa MWAMINIFU?
Umeomba kazi Watu wakakuamini kuwa utafanya kazi vizuri, je utakuwa MWAMINIFU?

Uaminifu upo kwenye Imani. Imani ni moja ya mambo yanayojenga utu wa binadamu. Binadamu bila uaminifu (Imani) ni kama Mnyama. Imani inahusu zaidi Roho, Wakati utashi au Akili na Upendo unahusu Nafsi.

Hadithi zote za kila Mwanadamu katika kushindwa na kushinda kwake kutahusu Uaminifu wake.
Hata Ile hadithi ya Edeni ya Kula tunda bila kujali ni hadithi ya kweli au yakubuni imesimamia ujumbe uleule yakuwa, Uaminifu. Je kile ambacho umeambiwa usikile(sio chako) ukishawishiwa ukile he utakumwaminifu au utakuwa muas(utaamua kuanguka)?

Kama hujanielewa leo unaruhusa kuuliza Maswali.
Acha nipumzike sasa

Robert Herie
Mke wa mtu tu tu tu sumu Kwenye jambo la mtu tu tu tu kaa mbali
 
MKE WA BOSS WAKO AKIKUTAKA KIMAPENZI, JE UTAKUWA MWAMINIFU? JIBU LAKO NDIO SIRI YA ANGUKO AU MAFANIKIO YAKO

Anaandika, Robert Heriel
Yule Kuhani katika Hekalu Jeusi

Mke wa Boss wako ameumbika, shape imesimama kama namba ya Lampard mchezaji wa zamani wa Chelsea. Akitembea anatikisika na kutikisa kila moyo wa mwanaume. Uzuri wake umevuka mipaka ya anga na bahari.

Kila akikuona anatabasamu na kukukonyeza na macho ya mahaba kama Jinni Samantha. Akaona haitoshi, anavizia kila boss wako akiwa hayupo anakuita chumbani kwake ili akuonyeshe vizuri na vinono anavyompaga Boss wako. Akuonyeshe Hifadhi na Amana ya Boss wako.

Unamkuta upaja uko uchi ukiwa unameremeta kwa kupakwa mafuta. Madoido na michombezo huku akijibinua na kujiviringa kama nyoka aliyemwagiwa mafuta yanazidi kuiteka tamaa yako. Hapo anayalegeza macho yake kisha anakunyooshea kidole na kukupa ishara ya kukuita kisha analamba vidole vyake akiwa anaendelea kujiviringa huenda ni kitandani, na sio tuu kitandani Bali kitanda anacholalia boss wako.

Bado umesimama ukiwa umetekewa, tamaa na utashi wako vikipigana vikali nafsini Mwako. Je utamkubalia au utamkatalia MKE wa boss wako? Vijana wa sasa wanakuambia je utapiga? Wakati unajaribu kufikiria hayo ukiwa unasoma, hapohapo umesimama fikarani Mbele ya Mke wa boss wako aliyenusu uchu akiwa amedhamiria leo hiyo lazima umyonyote kama sio kumkata Kiu yake.

Wakati unajishauri, hapohapo Mke wa boss anakuambia, usiogope, hutaki mambo mazuri, hutaki kuwa kama Boss wako? Mbona wewe ni mzuri kuliko Boss wako, Angalia ulivyo kijana mtanashati, tazama ulivyojengeka, wewe unanguvu na mkakamavu, unastahili kulimega tunda langu. Itakuwa Siri baina yetu. Alafu hautakuwa tena mtumishi Bali utakuwa Boss, hutaki kujitegemea? sikuwahi kusikia ukisema unataka kufanya biashara Fulani?"

Hapo utakuwa umejichanganya na atakuwa karibu ya Robo tatu ya ushindi, anakaribia kukushinda. Ili kukamilisha ushindi ananyanyuka pale kitandani, anakufuata mpaka ulipo kimanjonjo na mikogo, huku akihakikisha mwili wake unazidi kukuharibu vibaya kihisia ili ushindwe kufikiri vizuri. Anakusogelea mpaka mnagusana mkiwa mmesimama, anakushika mikono, mnatazamana macho yake akiwa kayalegeza haswa ni kama yupo penzini, anakuvuta kuelekea kitandani.

Je, utakuwa MWAMINIFU Kwa Boss wako au utaamua kufanya Usaliti? Jibu lako ndilo litaamua kuwa wewe ni mtu wa Aina gani. Je ni mtu wa kuanguka, kushindwa au mtu wa kusimama na kushinda.

Ili ushindwe au ufanikiwe utapimwa katika kipengele kimoja nyeti, nacho ni uaminifu. Uaminifu ndio kipengele pekee ambacho kitakufanya ufanikiwe iwe Kwa Jema au Kwa Ubaya.

Waovu pia hupenda Watu waaminifu.
Wema pia hupenda Watu waaminifu.

Hakuna Mafanikio au ushindi mahali kusiko na uaminifu. Bado haijawahi kutokea. Usaliti ndio nguzo kubwa ya kushindwa au kuanguka.

Dili zote kubwa haramu unazozijua zinahitaji Watu waaminifu.
Dili zote kubwa Halali zinahitaji Watu Waaminifu.
Uaminifu Kwa Lugha ya kitaalamu inaitwa Nidhamu. Kujisimamia, na kujidhibiti.

Uaminifu unapimwa Kwa kile unachokipenda alafu sio chako. Uaminifu unapimwa Kwa vitu vizuri unavyovutiw

Huwezi ukaanguka kwenye Jambo lolote Kabla ya kutokuwa msaliti, yaani kutokuwa mwaminifu. Na kamwe huwezi ukafanikiwa Kwa Jambo lolote Kabla hujawa mwaminifu au haujaaminiwa.



Uaminifu upo kwenye Imani. Imani ni moja ya mambo yanayojenga utu wa binadamu. Binadamu bila uaminifu (Imani) ni kama Mnyama. Imani inahusu zaidi Roho, Wakati utashi au Akili na Upendo unahusu Nafsi.

Hadithi zote za kila Mwanadamu katika kushindwa na kushinda kwake kutahusu Uaminifu wake.
Hata Ile hadithi ya Edeni ya Kula tunda bila kujali ni hadithi ya kweli au yakubuni imesimamia ujumbe uleule yakuwa, Uaminifu. Je kile ambacho umeambiwa usikile(sio chako) ukishawishiwa ukile he utakumwaminifu au utakuwa muas(utaamua kuanguka)?

Kama hujanielewa leo unaruhusa kuuliza Maswali.
Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Nimegundua pia hata waliofanikiwa kwenye mambo ya kiroho walikuwa waminifu wakaaminiwa na mbingu sababu Mungu upendezwa na watu waaminifu kwake.
Asante mleta Mada 🙏🏿
 
Hivi kufanya mapenzi ni kitu kikubwa sana mpaka tuanze kuulizana hivi wajamen?🙄

Kufanya Mapenzi ni kitu kikubwa ikiwa utafanya mapenzi na mhusika ambaye ni miliki ya mtu mwingine.
Utauawa na atakayekuua anahaki zote za kukufanyia hivyo na Roho yake haitakuwa hatiani.

Ila kufanya Mapenzi na Wahusika wasio Chini ya miliki ya mtu yeyote sio big issue Mkuu.
Ni kadiri ya maelewano yenu.
 
Back
Top Bottom